Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Mengine jitafutie.Onyesha ni nchi gani kati ya hizo ulizotaja ambayo inaiuzia Kenya japo mchele wenye thamani ya nusu ya hiyo $3.6M.
Tanzania exports of rice to Kenya - 1998-2018 Data | 2020 Forecast
Mtakufa kwa njaamchele wa tz ni uchafu mtupu!! naomba serikali ipige ban kabisa!!
jina lingine cherekochereko au V.I,P
No freedom of media in Tanzania,to match Azam in what? Azam level yake ni ebru tv.Mention single media from Kenya which can match Azam media house?
hahahaaaHatari sanaa huo[emoji4][emoji4].haukunjiki..
Nikiendaga zanzibar uwa napata tabu kweli
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Pishori ni moja ya mchele usio na soko kuliko aina zote Tz.Huo ni ubwabwa, wanaupenda sana kwao huko.
Jana nimenunua kilo kumi za mchele wa pishori kutoka Mwea kwa bei ya 140Kshs per KG, halafu naona kwa Tanzania ni kama 270kshs kwa kilo ila sijui ni wa aina gani Corona yapandisha bei ya mchele
Which freedom do you have, Police beat journalists at their wish, President humiliate judiciary daily, citizens are killed by police like wild animals. HahahahaNo freedom of media in Tanzania,to match Azam in what? Azam level yake ni ebru tv.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Munafungia media companies na kuzinyima leseni eti wamekuaruza jiwe.Which freedom do you have, Police beat journalists at their wish, President humiliate judiciary daily, citizens are killed by police like wild animals. Hahahaha
Ss hyo haitawezekana yn tumbo lako ulihamishie kwng hyo ngumu cz imeandikwa utazaa kwa uchungu ila mm nmeamdikwa ntakutaftia kwa jasho.naomba nikupe uja uzito mama.
Mjinga kwa ubora wake, mchele kilo uuzwe kilo tsh 500 kwani huyo mkulima anafanya kazi ya mishonari? Mchele kilo uuzwe ksh 20?Pishori ni moja ya mchele usio na soko kuliko aina zote Tz.
Kwa sasa unaupata kwa Tshs450-500/kg mashineni mkoani Shinyanga (Kagongwa/Isaka) ilhali mzuri unaanzia Tshs1,200+/kg.
Ndo nalishia kuku wangu wa kienyeji huo.
Afu hii nyang'au inasema mchele wetu wa kiduwanzi. As if they matter.unajichekesha
Tanzania kuna kila aina ya mchele na mchele wa Tanzania unasifika Africa yote na duniani, sasa ninyi mafukara mnataka mle mchele high quality wakati pesa hamna?
Ninyi huwa tunawaletea zile takataka za shamba tena kwa bei ya juu..
Huu ndiyo huwa mnakula [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]ubwabwa wa tz huwa tunapikia wanyama wa nymbani kama vile dogy na pakaaa....haujakidhi viwango vya binadanamuu...hata tbs wanafahamu vizuriii!
2017 newsTanzania doesn't produce much rice as you are told,wakiuza mchele hapa kenya haimaanishi Wana surplusView attachment 1503460
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Mjinga kwa ubora wake, mchele kilo uuzwe kilo tsh 500 kwani huyo mkulima anafanya kazi ya mishonari? Mchele kilo uuzwe ksh 20?
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Ndio sababu Dogs hazifi kwa njaa, lakini wakenya wanakufa kwa kukosa Chakulaubwabwa wa tz huwa tunapikia wanyama wa nymbani kama vile dogy na pakaaa....haujakidhi viwango vya binadanamuu...hata tbs wanafahamu vizuriii!
Kipindi cha mavuno mpaka 400 unapata kilo 1 ya mchele mashambani, kama unataka connections semaMjinga kwa ubora wake, mchele kilo uuzwe kilo tsh 500 kwani huyo mkulima anafanya kazi ya mishonari? Mchele kilo uuzwe ksh 20?
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Hiyo rice mnalima wenyewe au mna import? Ni organic food au GMO foods?Not everyone,kila mtu ananunua kinachompendeza wapo wanaonunua rice because of aroma, Wakenya wengi wanapenda ule mchele ukipikwa haushikani. Kuna kipindi nilikua Tanzania nikaenda kwenye hotel nilipewa wali ambao umeshikana Kama ugali, hata nilishindwa kuula maana our rice unaweza hata ukauhesabu baada ya kupika.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app