Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Nikupe link kwani wewe bando lako walifanyia Nini? Kila siku unalipwa buku Saba pale lumumba chukua buku ukanunue bando ukaperusi,au Leo hutapewa maana CCM wapo dodoma kwa mkutano mkuu wa chama?.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Mengine jitafutie.Onyesha ni nchi gani kati ya hizo ulizotaja ambayo inaiuzia Kenya japo mchele wenye thamani ya nusu ya hiyo $3.6M.
Tanzania exports of rice to Kenya - 1998-2018 Data | 2020 Forecast
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app