Fursa za biashara U.A.E (Dubai)

Fursa za biashara U.A.E (Dubai)

Nadhani wataka ya biashara Dungu (super roof)nzuri yatakiwa kuwa Disel na manual ambayo bei yake ni kama $7800 model ya 2004 ukinunua watakiwa kuitolea viti ili ushuru wake ushuke (around 7.5ml)ila ikiwa na viti itapanda sana.Automatic ambayo ni Petrol ni cheaper almost $5200 lakini si nzuri kibiashara.

Mkuu mm nilikuwa naulizia bei za Engine peke yake!
 
Habari zenu wana jf. Leo nataka niwaambie kuhusu fursa za biashara ndani ya falme za kiarabu na wadau wengine wenye uzoefu na huku wanaweza kuongezea ambapo sijapagusia.
Uwepo wangu huku kwa kipindi cha zaidi ya mwezi nimeweza kujifunza na kutafiti fursa mbali mbali ambazo kwa mfanyabiashara mwenye mtaji mdogo, wa kati na mtaji wa juu anaweza kufaidika na fursa hizi. Either kwa kuagiza mzigo au kuja mwenyewe na kustudy fursa hizo then akapata idea ya biashara gani anaweza kuifanya.
Kwa haraka haraka fursa ambazo nimeziona ni kama zifuatazo
1. Biashara ya nguo.
2.Biashara ya vifaa vya ujenzi na umeme
3. Biashara ya vipodozi
4. Magari ya biashara au ya matumizi binafsi
5. Spea za magari
6. Tende kwa msimu huu wa Ramadan
7. Simu, laptops. Tablets n.k

Unaweza kuuliza swali nikakupa msaada kadri ya uelewa wangu

vp mkuu nifanyeje ili niwe naagiza mabalo ya mitumba na nitayapokelea wapi na nani ataniletea!
 
vp mkuu nifanyeje ili niwe naagiza mabalo ya mitumba na nitayapokelea wapi na nani ataniletea!

Tafuta mtu alie hapa unaemwamini halafu muelekeze unataka bidhaa gani, ziko njia nyingi zakutuma huko ukitaka haraka ukitaka kwa muda mrefu zote zipo,
 
Duuh!! Huu uzi umenivutia sana. Ningependa tu kujua samsung tv siries 7 huko ni bei gan?
 
Plz naeza pata exchange rate kiongoz wangu tzs na ya huko?

Hizo bei ukigawanya kwa 3.66 utapata Us dollar au ukizidisha kwa 390 utapata Tsh.Kama nilivyosema inatakiwa kujua ni lini mda wa kufuata mzigo,kipindi cha summer kunakuwa na punguzo kubwa sana.
 
ki ukweli dubai vitu ni bei rahisi japo sikukaa sana ila nililiona hilo,kuna vitu nilinunua mall of emirates(moe) vilikuwa ni bei rahisi mpaka nikashangaa, mfano nilinunua flash ya gb 8 kwa dirham 10 ambayo ni sawa ni aprox 4600/= ambapo huku kwa jk sijui ingekuwaje,pia nguo ni bei rahisi sana,kwa wenye mitaji kweli pale mahali panafaa sana,pia usafiri sio ghali sana cause kuna option mbili,ya kwanza ni kufly directly to dubai from dar(hii ni expensive kidogo) na nyingine ni ya kupitia doha(hii ni cheap ukilinganisha na ya kwanza).Ni hayo tu

#winston
niaje ndugu nlikuwa nahitaj unipe mxaada wa kupata bidhaa toka duba waelekea ww n mzoefu kidogo nkiwa nahitaj kununua nguo za kike kiume viatyu , vipodoz urembo perfumes , xaa , n kama nahitaj mtaji wa tshs ngapi ?? ..... msaada tafadhal na nahitaj mtu wa kwenda kunichukulia huo mzigo namba yng n 0719821774 n check tafadhal nahitaj tuwacliane
 
Back
Top Bottom