Goodchance
Member
- Jun 27, 2014
- 19
- 18
- Thread starter
- #61
sasa kwa sababu hi yo naomba uni pm namba yako ili tuweze kuongea vizuri
+971554157299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kwa sababu hi yo naomba uni pm namba yako ili tuweze kuongea vizuri
Kwa wenye uzoefu naomba kufahamu kama ukinunua simu 100pcs na ukazitoa kwenye mabox yake na kuziweka kwenye begi ambalo unasafiri nalo kama mzigo (cargo) na kushuka nao hapo Dar airport kuna kufunuliwa na TRA na kuanza kuombana ushuru? Otherwiz Goodchance jiandae kunitembeza hapo Dubai soon hata kama ni kwa kuja kujionea tu...
Simu mpya mwisho ni 5 tu zaidi ya hapo unalipia ushuru.
Simu mpya mwisho ni 5 tu zaidi ya hapo unalipia ushuru.
Nyie ndio mnaanzisha udini kwenye uzi,,,we kama ukijua kuna kanisa au hamna itakusaidia nini? Au unataka kwenye kusali Dubai?
Uliza kitu alicholeta mkuu hapo hayo mambo ya kutoka nje ya mada hayapendezi kwakweli maana kuna mtu akija na akili fupi akikujibu uzi ndo ushaharibika.
Hi vipi waweza kujua bei ya flash Adata original 4gb na 8gb zinapatikana kwa bei gani, pia gharama ya usafiri wa ndege kwenda na kurudi inatakiwa uwe na burget ya bei gani
Hiyo Fly Dubai ina Offer maana wanatengeneza jina la ndege yao(ni route mpya)kuanzia sasa mpaka mwezi wa kwanza katikati sikushauri kuja Dubai maana kwa ajiri ya holiday ambazo zimekwishaanza hoteli na bidhaa zipo juu sana,Formula one inaanza Abu dhabi Jmosi hii Hoteli zipo full na cost ya vitu imepanda sana,December yote ipo busy.Kibiashara au Kimatembezi si wakati mzuri kama pesa yenyewe ni ya kuungaunga...
Ebu ingia booking.com na utazame bei ya hizo hoteli kwa December hizo ni hoteli ndogo sana na ndio kimbilio la waafrika lakini pamoja na udogo wake December zinakuwa juu check Booking.com lakini miezi ya 3-9 ata kwa tsh 28,000/ unapata chumba
Booking.com lazima itakua bei juu hata Kama ikiwa sio peak time ila mie nawapigia cm halafu nawatumia email wana niletea confirmation via email... Anyway sijui kwa wengine Lakini I get best rate always...