Fursa za biashara U.A.E (Dubai)

Fursa za biashara U.A.E (Dubai)

Kak mm npo interest sana apo # 2 na # 5..ebu nielekeze vizur inahitaji mtaji wa kuanzia kam sh.ngapi hvi.?na inakuaje upatkanaj wake
Mkuu kwenye mtaji sijajua exactly lakini nimezunguka maduka ya vifaa vya umeme kama bulb na soket and cables ni cheap sana. Nimeleta hapa uzi huu ili pia wazoefu wasaidie
 
Nataka kufanya biashara ya vipidozi,naomba muongozo wako

Ulishawahi kufanya before? Au unafanya? Kama unafanya unaweza kuniagiza nijaribu kufanya research ya price huku then nikutajie then upime
 
Mm nauza madini ya vito (gemstone) soko lipoje uko


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kama walivyosema wengine kuna mtaa unaitwa city of gold hapo wanauza gemstone za aina mbali mbali na kununua pia.
 
+971554157299 Namba yangu unaweza kunicheki whatsapp kwa msaada zaidi
 
Mazao gani yanaweza kubamba hapo?? Mfano korosho n.k
 
ki ukweli dubai vitu ni bei rahisi japo sikukaa sana ila nililiona hilo,kuna vitu nilinunua mall of emirates(moe) vilikuwa ni bei rahisi mpaka nikashangaa, mfano nilinunua flash ya gb 8 kwa dirham 10 ambayo ni sawa ni aprox 4600/= ambapo huku kwa jk sijui ingekuwaje,pia nguo ni bei rahisi sana,kwa wenye mitaji kweli pale mahali panafaa sana,pia usafiri sio ghali sana cause kuna option mbili,ya kwanza ni kufly directly to dubai from dar(hii ni expensive kidogo) na nyingine ni ya kupitia doha(hii ni cheap ukilinganisha na ya kwanza).Ni hayo tu

mkuu hio njia ya doha ndio unaendaje kama unawezakuielezea kidogo cos ya dubai kweli iko expensive
 
mkuu hio njia ya doha ndio unaendaje kama unawezakuielezea kidogo cos ya dubai kweli iko expensive

Option A.kwa emirates directly to Dubai ni Kama USD 848.38 kwa emirates.

Option B.dar- doha- Dubai ni Kama USD 674.26
Hizo ni nauli za round trip.tax included
 
Samahani wote ambao mmeona kama nimeanzisha uzi alafu nikakimbia. Unajua leo ni weekend huku and nilikua nimepumzika and muda si mrefu nitaingia kwenye ibada kusali. Naombeni mnisamehe nikitoka kanisani tutaongea vizuri na kushauriana.

Kaka kuna Kanisa huko, namaanisha Kanisa la wazi, sio lile la kujificha, maana najua hizo nchi haziruhusu kitu chochote chyenye kuonyesha Ukristo (misalaba, bible ect)
 
izi fursa zimekuja kipindi kibaya ... dah.... ila asante kwa taarifa
 
Dubai kuna airport 3 international, Kwa ndege inayotoka Africa zaidi wanatumia airport ya DXB ambayo ni terminal 1 au 3 au airport ya al maktoum airport hii ni mpya iko njia ya Abu Dhabi kiasi km 50 toka Dubai,lakini kijiografia Dubai na sharjah ni mji mmoja,mfano wake kama Dar, na pale kibaha
Kaka ahsante sana kwa michango yako yote kwenye huu uzi na ninakufuatilia kwa makini. Naomba kujua upatikanaji wa vifaa vya ujenzi huko hasa bei ya saruji.....
 
Kaka ahsante sana kwa michango yako yote kwenye huu uzi na ninakufuatilia kwa makini. Naomba kujua upatikanaji wa vifaa vya ujenzi huko hasa bei ya saruji.....

Ndugu yangu kuhusu vifaa vya ujenzi vipo kila aina tena kwa bei nzuri kulinganisha na kwetu,kuhusu saruji sina uzoefu nao sana lakini niliwahi kununua hapa nakumbuka ilikuwa kiasi kama Tshs 12 elfu Kwa mfuko ila ni kiasi miaka 3 iliyopita Kwa sasa sifaham
 
Kaka kuna Kanisa huko, namaanisha Kanisa la wazi, sio lile la kujificha, maana najua hizo nchi haziruhusu kitu chochote chyenye kuonyesha Ukristo (misalaba, bible ect)

Nyie ndio mnaanzisha udini kwenye uzi,,,we kama ukijua kuna kanisa au hamna itakusaidia nini? Au unataka kwenye kusali Dubai?

Uliza kitu alicholeta mkuu hapo hayo mambo ya kutoka nje ya mada hayapendezi kwakweli maana kuna mtu akija na akili fupi akikujibu uzi ndo ushaharibika.
 
Nyie ndio mnaanzisha udini kwenye uzi,,,we kama ukijua kuna kanisa au hamna itakusaidia nini? Au unataka kwenye kusali Dubai?

Uliza kitu alicholeta mkuu hapo hayo mambo ya kutoka nje ya mada hayapendezi kwakweli maana kuna mtu akija na akili fupi akikujibu uzi ndo ushaharibika.

pole kwa kukwazika

Kaka hukuona tatizo lilikoanzia?
mtoa mada alisema anaenda kanisani tena kwenye nchi sio tu ya Kiarabu bali pia ya kiislamu, wewe uoni ametengeneza maswali yaliyo nje ya mada?
kwa nini asingesema ana udhuru tu?

siku zote maelelzo unayoyatoa unayotoa kujieleza kama hujayadeviate kutoka kwenye mzizi halisi wa hoja hapawezi kamwe kuwa na maswali mengi lakini ukichanganya habari ndio unatoa mwanaya wa watu kupekenyua visivyokuwa kwenye mzizi mkuu wa maada

anyway tuache haya mambo
 
pole kwa kukwazika

Kaka hukuona tatizo lilikoanzia?
mtoa mada alisema anaenda kanisani tena kwenye nchi sio tu ya Kiarabu bali pia ya kiislamu, wewe uoni ametengeneza maswali yaliyo nje ya mada?
kwa nini asingesema ana udhuru tu?

siku zote maelelzo unayoyatoa unayotoa kujieleza kama hujayadeviate kutoka kwenye mzizi halisi wa hoja hapawezi kamwe kuwa na maswali mengi lakini ukichanganya habari ndio unatoa mwanaya wa watu kupekenyua visivyokuwa kwenye mzizi mkuu wa maada

anyway tuache haya mambo

Dubai sio nchi ya kiislamu sema ni nchi yenye waislamu 99.9% ni sawa leo hii useme Zanzibar ni nchi ya Kiislamu. Nchi ya kiislamu ni yenye kutumia Shaariyah.

Any way kama ulivyosema tuache haya mambo.
 
naomba kujua wapi yalipo maduka/masoko/shopping mall ya simu,kompyuta,memory cards,flash,tablet na bei zake.
pia ningependa kujuzwa kuhusu biashara ya nguo na vipodozi.
Natanguliza shukrani zangu.
Nalog off
 
naomba kujua wapi yalipo maduka/masoko/shopping mall ya simu,kompyuta,memory cards,flash,tablet na bei zake.
pia ningependa kujuzwa kuhusu biashara ya nguo na vipodozi.
Natanguliza shukrani zangu.
Nalog off

Maduka yote hayo yanapatikana mtaa wa Naif
 
habari zenu wana jf. Leo nataka niwaambie kuhusu fursa za biashara ndani ya falme za kiarabu na wadau wengine wenye uzoefu na huku wanaweza kuongezea ambapo sijapagusia.
Uwepo wangu huku kwa kipindi cha zaidi ya mwezi nimeweza kujifunza na kutafiti fursa mbali mbali ambazo kwa mfanyabiashara mwenye mtaji mdogo, wa kati na mtaji wa juu anaweza kufaidika na fursa hizi. Either kwa kuagiza mzigo au kuja mwenyewe na kustudy fursa hizo then akapata idea ya biashara gani anaweza kuifanya.
Kwa haraka haraka fursa ambazo nimeziona ni kama zifuatazo
1. Biashara ya nguo.
2.biashara ya vifaa vya ujenzi na umeme
3. Biashara ya vipodozi
4. Magari ya biashara au ya matumizi binafsi
5. Spea za magari
6. Tende kwa msimu huu wa ramadan
7. Simu, laptops. Tablets n.k

unaweza kuuliza swali nikakupa msaada kadri ya uelewa wangu

kaka, je naweza kukuagiza kamzigo kangu ka million moja nikaletewa mzigo?
Naomba nijibu kaka nina shida kubwa sana. Unaweza ukanipigia kunitumia smhs unisauri kaka yngu mpendwa. Mimi mama yako wa miaa 55 smu yangu ni no. 0713 68 96 65
 
Back
Top Bottom