Mtoto Tajiri
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 300
- 173
Nadhani wataka ya biashara Dungu (super roof)nzuri yatakiwa kuwa Disel na manual ambayo bei yake ni kama $7800 model ya 2004 ukinunua watakiwa kuitolea viti ili ushuru wake ushuke (around 7.5ml)ila ikiwa na viti itapanda sana.Automatic ambayo ni Petrol ni cheaper almost $5200 lakini si nzuri kibiashara.
Habari zenu wana jf. Leo nataka niwaambie kuhusu fursa za biashara ndani ya falme za kiarabu na wadau wengine wenye uzoefu na huku wanaweza kuongezea ambapo sijapagusia.
Uwepo wangu huku kwa kipindi cha zaidi ya mwezi nimeweza kujifunza na kutafiti fursa mbali mbali ambazo kwa mfanyabiashara mwenye mtaji mdogo, wa kati na mtaji wa juu anaweza kufaidika na fursa hizi. Either kwa kuagiza mzigo au kuja mwenyewe na kustudy fursa hizo then akapata idea ya biashara gani anaweza kuifanya.
Kwa haraka haraka fursa ambazo nimeziona ni kama zifuatazo
1. Biashara ya nguo.
2.Biashara ya vifaa vya ujenzi na umeme
3. Biashara ya vipodozi
4. Magari ya biashara au ya matumizi binafsi
5. Spea za magari
6. Tende kwa msimu huu wa Ramadan
7. Simu, laptops. Tablets n.k
Unaweza kuuliza swali nikakupa msaada kadri ya uelewa wangu
vp mkuu nifanyeje ili niwe naagiza mabalo ya mitumba na nitayapokelea wapi na nani ataniletea!
Duuh!! Huu uzi umenivutia sana. Ningependa tu kujua samsung tv siries 7 huko ni bei gan?
Plz naeza pata exchange rate kiongoz wangu tzs na ya huko?
Lucky!! 2naeza chat Kwa watsup?
Me/Ke? If 2nd nitakuomba tufuatane wote huko...Mie nataka kuja uko next year mwezi July, vipi utakuwa bado upo uwe mwenyeji wangu jaman
Nataka kufanya biashara ya vipidozi,naomba muongozo wako
ki ukweli dubai vitu ni bei rahisi japo sikukaa sana ila nililiona hilo,kuna vitu nilinunua mall of emirates(moe) vilikuwa ni bei rahisi mpaka nikashangaa, mfano nilinunua flash ya gb 8 kwa dirham 10 ambayo ni sawa ni aprox 4600/= ambapo huku kwa jk sijui ingekuwaje,pia nguo ni bei rahisi sana,kwa wenye mitaji kweli pale mahali panafaa sana,pia usafiri sio ghali sana cause kuna option mbili,ya kwanza ni kufly directly to dubai from dar(hii ni expensive kidogo) na nyingine ni ya kupitia doha(hii ni cheap ukilinganisha na ya kwanza).Ni hayo tu
Mkuu bado unatuma mizigo?+971504374387 Karibu sana