Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

Fursa hizo
 

Attachments

  • IMG-20240601-WA0045.jpg
    IMG-20240601-WA0045.jpg
    39.7 KB · Views: 23
  • IMG-20240601-WA0048.jpg
    IMG-20240601-WA0048.jpg
    47.8 KB · Views: 22
  • IMG-20240601-WA0049.jpg
    IMG-20240601-WA0049.jpg
    38.4 KB · Views: 25
  • IMG-20240529-WA0033.jpg
    IMG-20240529-WA0033.jpg
    42 KB · Views: 21
WALE WA KAZI YOYOTE 2/6/2024

Hlw...Nahitaji vijana wa kufany kaz kiwandani.kiwanda cha BORA..kiwanda kipo Tazara ..pembeni ya kiwanda cha sigara kama yupo tuwasiliane malipo ni bei ya viwandan kwa mujibu wa sheria ....njoo juumatatu ya tr.03/06/mda wa sa moja kamili uwe getini... usikae nnje ya get jitambulishe kwa walinz kama unaenda ofice ya IJOBRA COMPANY. Ama pga sim...
0623092464(supervisor) nahitaji watu wanaokaa karibu na wnye utayar wa kufanya night shift.

NI WANAUME TU.
(Wanawake idadi ishatimia)
Hakuna malipo toyote kupata kazi.
 
WALE WA KAZI YOYOTE 2/6/2024

Hlw...Nahitaji vijana wa kufany kaz kiwandani.kiwanda cha BORA..kiwanda kipo Tazara ..pembeni ya kiwanda cha sigara kama yupo tuwasiliane malipo ni bei ya viwandan kwa mujibu wa sheria ....njoo juumatatu ya tr.03/06/mda wa sa moja kamili uwe getini... usikae nnje ya get jitambulishe kwa walinz kama unaenda ofice ya IJOBRA COMPANY. Ama pga sim...
0623092464(supervisor) nahitaji watu wanaokaa karibu na wnye utayar wa kufanya night shift.

NI WANAUME TU.
(Wanawake idadi ishatimia)
Hakuna malipo toyote kupata kazi.
Naona kama hili tangazo limekaa kimtego halijanyooka kueleza kuwa kiwanda cha bora nikiwanda kinajihusisha na uzalishaji wa nini ili mtafuta kazi afahamu anaenda kiwanda cha nondo,bati au bidhaa gani.
Pia tangazo limeeleza kuwa kazi na malipo ni kwa mujibu wa sheria za kazi viwandani je mtanzania gan anajua sheria za malipo hayo na pia nimalipo ya day payment,weekly or monthly
Kwenu studio[emoji1696]
 
Naona kama hili tangazo limekaa kimtego halijanyooka kueleza kuwa kiwanda cha bora nikiwanda kinajihusisha na uzalishaji wa nini ili mtafuta kazi afahamu anaenda kiwanda cha nondo,bati au bidhaa gani.
Pia tangazo limeeleza kuwa kazi na malipo ni kwa mujibu wa sheria za kazi viwandani je mtanzania gan anajua sheria za malipo hayo na pia nimalipo ya day payment,weekly or monthly
Kwenu studio[emoji1696]
Kilichokaa kimtego achana nacho mkuu soma meseji zangu vizuri. Ukiona una wasiwasi wowote na tangazo lolote liache au ignore thread nzima. Relax mkuu mana mm nayakopi tu
 
👨🏽‍💻 Habari, natafuta kijana wa kuuza juice ya miwa, mshahara makubaliano
Location bunju
Whatsap
0764229605
 
👨🏽‍💻Pharm tech wa kike mwenye uzoefu kazi ipo dar msasani, Duka ni Jumla na reja reja contact hiyo mchek mhusika whaspp +255 622 364 117
 
👨🏽‍💻 Habari kaka natafuta mdada wa kusaidiana nae kazi ya hotel ni sehem ndogo tu awe mchangamfu atokee maeneo ya goba au mbezi maana ofisi Iko Masana mshahara 120,000 Kwa mwezi anicheck kwenye namba hii 0656281070 Anahitajika Kwa haraka
 
👨🏽‍💻 Am looking for for the following Positions
1. Route to Market Sales Manager - 2
Experiences 5+ years working experiences in Beverage Industries
2. SalesMan - 3
2+years of working experiences in Beverage Industries
Interested Candidates send your CV to hr@coolblue.co.tz
Deadline Is very Urgent...
 
Hizi
 

Attachments

  • IMG-20240523-WA0044.jpg
    IMG-20240523-WA0044.jpg
    49.8 KB · Views: 18
  • IMG-20240605-WA0039.jpg
    IMG-20240605-WA0039.jpg
    96 KB · Views: 16
22
 

Attachments

  • IMG-20240605-WA0047.jpg
    IMG-20240605-WA0047.jpg
    75.3 KB · Views: 18
  • IMG-20240605-WA0046.jpg
    IMG-20240605-WA0046.jpg
    215 KB · Views: 20
  • IMG-20240605-WA0040.jpg
    IMG-20240605-WA0040.jpg
    37.2 KB · Views: 21
Back
Top Bottom