Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napataka huko kwa bakhresa mkuu, unaweza tusaidiane vijana wenzio tujikwamue mkuu, Naomba feedback kama utaftilia huko kwa bakhresaLaki 5 walinzi?. Mana unguja mishahara ya walinzi kampuni ndogo ni 180 na unapewa malazi japo ya hovyo kwa hovyo na chakula unakula cha hotelin unapolinda.
Kampuni inayolipa mishahara minono hapa ni G7 ni 300 na hao garda 250 nasikia bahrexa ana kampunj hiyo na inalipa 500 sijajua inaitwaje mkuu
Mm sasahiv mkuu ni mpishi (chef) hoteli moja hapa mjini magharibi kwenye pastry na bakery. Soon pia nitaenda kuongeza elimu ili niwez kukaa na hot kitchen. Mambo ya kukesha usku na kirungu nilishaacha. Kwa nn usije mwenyew mana zanzibar makampuni y ulinz ya kukulipa 250 yapo na mengine yanakupa na makaziNapataka huko kwa bakhresa mkuu, unaweza tusaidiane vijana wenzio tujikwamue mkuu, Naomba feedback kama utaftilia huko kwa bakhresa
Mkuu na kazi za store au warehousing hata za viwandani au kwenye magodown naomba nidondosheeLeo Friday 7 June 2024 deadline 12 June 2024
I opened a small beachfront a year ago in Kilimajuu, Matemwe and now I am looking for a reliable Chef with experience in advanced cooking techniques and seafood grilling.
What are the main duties?
- Prepare high quality dishes
- Ensure meals are prepared on time
- Process fish and seafood
- Keep contact with the local fishermen
- Monitor food stock and place orders
- Keep cleaniness in the kitchen
- Oversee the maintenance of the kitchen
To be a successful Chef, you should be a good communicator (English is a must) with the ability to produce good quality foods at all sections. You should also be a team player and be able to effectively communicate with our Bar Staff to make sure orders are accurate and delivered promptly.
Location: Kilimajuu, Matemwe
Working hours: 6 days in a week, sunday off
If you are interested in, please send me your resume to hello@spicymamazanzibar.com or apply in Whatsapp: +36306971428 with your cv.
Nifanyie mchongo hapo kwenye u Chief kuna,nije PMMm sasahiv mkuu ni mpishi (chef) hoteli moja hapa mjini magharibi kwenye pastry na bakery. Soon pia nitaenda kuongeza elimu ili niwez kukaa na hot kitchen. Mambo ya kukesha usku na kirungu nilishaacha. Kwa nn usije mwenyew mana zanzibar makampuni y ulinz ya kukulipa 250 yapo na mengine yanakupa na makazi
Kwa zanzibar auMkuu na kazi za store au warehousing hata za viwandani au kwenye magodown naomba nidondoshee
Sijambo boss.. Vipi maendeleo?Home girl hujambo?
Mabaya, naumwaSijambo boss.. Vipi maendeleo?
Pole sana boss. Unaumwa nini?Mabaya, naumwa
Kiuno 😜Pole sana boss. Unaumwa nini?
Popote kiongozi ila ingekuwa dar ingependeza maana naishi dar au kama Zanzibar unaweza ukafanyia interview ukiwa dar sawa maana hofu yangu unaweza kuchoma nauli ya boat hadi zanzibar kwa interview alafu mambo yakawa hayoko sawaKwa zanzibar au
Ikiwepo utaona hapahapaPopote kiongozi ila ingekuwa dar ingependeza maana naishi dar au kama Zanzibar unaweza ukafanyia interview ukiwa dar sawa maana hofu yangu unaweza kuchoma nauli ya boat hadi zanzibar kwa interview alafu mambo yakawa hayoko sawa
Uko mkoa ganHabari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni