Fursa za Kibiashara, Democratic Republic of the Congo

Fursa za Kibiashara, Democratic Republic of the Congo

Muziki kivipi?? mimi hapa nina kazi yangu nimeajiriwa hapa na INGO moja inanilipa vizuri namshukuru Mola wangu ... si kosa ku share fursa na kama wewe unaona ni upuuzi basi sawa na hauna haja ya kunikejeli mimi nimetimiza wajibu wangu wa kwa tanzania wenzangu

Msumeno Ondoa Shaka Mkuu I was just Kidding Ila Samahani Kama Nimekukwaza, Tupo Pamoja Daima.
 
biashara za kuzunguka nazikubali sana, najikusanya nipate mtaji lazima nifike mpaka sudan kupeleka mzigo!
 
Dhahabu sikushauri ... ziko sana hasa kwa waasi ilawanakuuzia then wanawatonya washikaji wanakuja kuzichukua baadae.. na ujue pia kwa rwanda ukikamatwa 20 years jela unless upitia serekarini ambako sina ujuzi nako.. wapigaji wanatoka lakini ni risk sana.. si dhahabu hata alimasi na mawe menigine GOMA ndo kwao...

Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!
 
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!

we jamaa utakuwa na roho ngumu sana
 
Ila kwa maelezo, food 5$ bei sana, guest 20$

Bado njia za kufika huko gharama, yawezekana kuna market, ila inahtaji mtaji na survey sana kabla ya kubeba mzigo na kwenda nao
 
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!

Aisee!!!! Wengine waoga kweli
 
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!

kijana unaonekana jasiri, nitakupm unifanyie kazi yngu
 
we jamaa utakuwa na roho ngumu sana

Siyo roho ngumu kaka, NINA NJAA NA PESA NA HUWA SISHIBI! Sehem yoyote yenye conflict ni pesa, kuna vitu utavikuta kule ambavyo bei zake ni bure ukileta huku kwenye amani ni gold, na kuna vitu vya kijinga ambavyo unavichukua huku na kuvipeleka kule wanakuamkia!
 
Aisee!!!! Wengine waoga kweli

Uoga wako.......! Nyie dada zetu hamtakiwi kurisk sana, ni wachache wenye mioyo mipana na uwezo wa kupokea mabadiliko yoyote positively, kuna dada mmoja tulikkuwa tunamwita BAJA, wachaaa!
 
Uoga wako.......! Nyie dada zetu hamtakiwi kurisk sana, ni wachache wenye mioyo mipana na uwezo wa kupokea mabadiliko yoyote positively, kuna dada mmoja tulikkuwa tunamwita BAJA, wachaaa!

Uoga unakuja pale tukishakumbana na matatizo mbalimbali katika biashara na haswa za kusafiri kiasi una risk kupoteza maisha au kubakwa we acha tu mkuu
 
Uoga unakuja pale tukishakumbana na matatizo mbalimbali katika biashara na haswa za kusafiri kiasi una risk kupoteza maisha au kubakwa we acha tu mkuu

tena wale waasi wa FDR wakishajua wewe ni mbongo wanaona kama zali
wanakubaka vibaya sana wapuu.zi wale, mpaka BBC wamewaanzishia kipind cha ubakaji!
 
halafu mkuu msumeno samahani kama unaweza kufahamu hili, mtanzania akitaka kuanzisha biashara kule taratibu zimekaaje, yaani kufungua ofisi.....nchi zingine wanakuwa strict sana kwa wageni, vipi huko?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Asante kwa kutupatia gudnews! mi lazima nilifanyie kazi hili. Mahala penye risk ya usalama wangu ndo huwa nagonga nyundo mm.. Wengine tushauza roho zetu! The higher the risk the higher the return.
 
Last edited by a moderator:
thanx alot bro,nilishawahi kusikia kuhusu dagaa wa mwanza,wewe uko sehemu gani uko congo?na pia ili kufika goma ni lazma kupitia lubumbashi au hata kigoma kwa njia ya maji ntafika huko?ipi ni rahisi na safe koz hali ya kisiasa baadhi ya maeneo si njema sana,thanks in advance!
 
I plan to come and scout the area...nani yupo huko atoe mwelekeo at least tuwe na idea
 
eeeeeh! hii ndio ile kitu wajanja tunasemaga weka deal mezani, ujanja kusaka pesa....shukurani zangu nyingi kwako mleta mada
 
je unaishi huko.gharama za malzi na na unafikaje. eg. ndege au road au boti
Waungwana niko hapa DRC na leo nimeona ni vyema kushare fursa za kibiashara hapa.. Kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kuwa kuwa Mtanzania hapa DRC hasa hapa Goma ni ujiko,, wacongo wanatupenda sana na wanadhani kuwa sisi ni watu waaminifu na wenye upendo na jasiri. kwa haraka haraka hizi ni bidhaa ambazo waweza uza bila kuwa na shaka

1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa

asante sana kwa leo n
 
Waungwana niko hapa DRC na leo nimeona ni vyema kushare fursa za kibiashara hapa.. Kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kuwa kuwa Mtanzania hapa DRC hasa hapa Goma ni ujiko,, wacongo wanatupenda sana na wanadhani kuwa sisi ni watu waaminifu na wenye upendo na jasiri. kwa haraka haraka hizi ni bidhaa ambazo waweza uza bila kuwa na shaka

1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa

asante sana kwa leo n

mkuu, angalia na fursa ya kufundisha chuo kikuu, vipo wanahitaji wahadhiri?
 
Back
Top Bottom