Fursa za Kibiashara, Democratic Republic of the Congo

Fursa za Kibiashara, Democratic Republic of the Congo

Ngoja nijipange kama nitaweza kuwa natoa khanga za Tanzania naleta Congo huko nanunua Vitenge naleta TZ,
Naomba mwongozo
 
Nauli ya dar mpaka Goma kwa Gari ni bei gani mkuu
 
Kiongozi msumeno kama nikitaka kuja Congo unaweza kunisaidia connection au wapi naweza kuanzia mm kwasasa nipo kigoma pia ningependa kujua bei ya kuuzia bidhaa kwa congo mfano khanga,viatu vya kimasai nk
 
pole sana kiongozi Zanzibarspices but never give up
 
Fursa Nzuri .
Na je Vip Gharama za Malazi / Chakula / na Sequrity.
 
Kaka bado upo Goma? natarajia kuwa Uvira mwishoni mwa mwezi huu. Tatizo la goma ni security.
 
Kiongozi msumeno kama nikitaka kuja Congo unaweza kunisaidia connection au wapi naweza kuanzia mm kwasasa nipo kigoma pia ningependa kujua bei ya kuuzia bidhaa kwa congo mfano khanga,viatu vya kimasai nk

Vipi umefanikiwa kwenda Goma?kuna vitu nataka tudiscus
 
Shukrani best ! Vp uaminifu wa watu wa huko ktk kufanya nao biashara.Pia pale mpakani ktk kuvusha bidhaa kuna garama kubwa ? Inakuweje ulete vitenge wakati huko ndo vinapatikana kwa wingi ?
 
Hebu nitajie makadirio Ya bei Ya mchele per kg na mafuta Ya mawese per litre
 
Huu Uzi nilikua mzuri sana,yile jamaa alio uleta hawezi kutu upande tena kuhusu Congo wakati huu?
 
Back
Top Bottom