GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Muziki kivipi?? mimi hapa nina kazi yangu nimeajiriwa hapa na INGO moja inanilipa vizuri namshukuru Mola wangu ... si kosa ku share fursa na kama wewe unaona ni upuuzi basi sawa na hauna haja ya kunikejeli mimi nimetimiza wajibu wangu wa kwa tanzania wenzangu
Dhahabu sikushauri ... ziko sana hasa kwa waasi ilawanakuuzia then wanawatonya washikaji wanakuja kuzichukua baadae.. na ujue pia kwa rwanda ukikamatwa 20 years jela unless upitia serekarini ambako sina ujuzi nako.. wapigaji wanatoka lakini ni risk sana.. si dhahabu hata alimasi na mawe menigine GOMA ndo kwao...
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!
Nilikuwa nasoma thread taratiibu ili nisome mpaka mwisho ndiyo nirejee kupost, nimefika kwenye hii post mwili umepiga paaaa! hapo kwenye mawe, mawe, maweeee! hapo ndiyo kwenye pesa ya bure (siyo halali kuita faida, NI PESA YA BURE!), msiogope usalama, ni ujanja wako tu na kujiepusha watu wasikusome, umenunua mzigo leo unasema kesho unasafiri wewe ondoka leoleo na upite njia tofauti kabisa, kusurvive kwenye mazingira ya hatari is an art and a science, na pesa za kwenye sehem zenye migogoro ziko nyingi sana na ni za bure kwa wajanja tu!kufa ni popote, hata kariakoo watu wanapigwa risasi mchana kweupeee!
we jamaa utakuwa na roho ngumu sana
kijana unaonekana jasiri, nitakupm unifanyie kazi yngu
we jamaa utakuwa na roho ngumu sana
Aisee!!!! Wengine waoga kweli
Uoga wako.......! Nyie dada zetu hamtakiwi kurisk sana, ni wachache wenye mioyo mipana na uwezo wa kupokea mabadiliko yoyote positively, kuna dada mmoja tulikkuwa tunamwita BAJA, wachaaa!
Uoga unakuja pale tukishakumbana na matatizo mbalimbali katika biashara na haswa za kusafiri kiasi una risk kupoteza maisha au kubakwa we acha tu mkuu
Waungwana niko hapa DRC na leo nimeona ni vyema kushare fursa za kibiashara hapa.. Kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kuwa kuwa Mtanzania hapa DRC hasa hapa Goma ni ujiko,, wacongo wanatupenda sana na wanadhani kuwa sisi ni watu waaminifu na wenye upendo na jasiri. kwa haraka haraka hizi ni bidhaa ambazo waweza uza bila kuwa na shaka
1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa
asante sana kwa leo n
Waungwana niko hapa DRC na leo nimeona ni vyema kushare fursa za kibiashara hapa.. Kwanza kabisa napenda kuwafahamisha kuwa kuwa Mtanzania hapa DRC hasa hapa Goma ni ujiko,, wacongo wanatupenda sana na wanadhani kuwa sisi ni watu waaminifu na wenye upendo na jasiri. kwa haraka haraka hizi ni bidhaa ambazo waweza uza bila kuwa na shaka
1. Khanga ,, akina mama wa ki congo wanapenda sana khanga ukileta utauza
2. Viatu vya kimasai... vyapendwa sana hapa... kwa wale wenye mitaji midogo hapa ni mahala pake
3. Nguo japo wameeanza kwenye China na Dubai , lakini bado wateja wa anguo jina la Tanzania linauza sana ( sijui kwa nini)
4. Mchele hakuna na kama upo si huu wa Tanzania wenye ladha.. na ukiupata bei haikamatiki wanakula akina fulani tu wengi wanjilia huu unaofanana na makande
5.maharagwe ya bukoba na kigoma utauza hapa
6. Alminium windows na door hakuna na ujenzi unaaza kwa kasi sana .. ukiwekeza utavuna pesa.. sijaona dirisha la alminum hapa.
7. Samaki na dagaa hasa wa mwanza -- waliwa sana hasa huko vijijini na Goma ndo soko kubwa
asante sana kwa leo n