Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza


Haya safari zimeiva, wanao baki bakini wanao enda ndio hao...

Kila MTU ana pambana kimya kimya hii ndio Tanzania aiseeee hahahahahaha
Mtu anahisi akitaarifu watu wengine yeye atakosa au ni sisi tu Tanzania na ubinafsi wetu??
 
Yani mpaka una pata degree ya kwanza alafu hujui jinsi ya kupata ya pili?!

Aisee wengi humu nawaonea huruma mno, nikitu kidogo mno ila watu wana teseka utazani assignment za kukodolezea...

Una jiuliza hizo assignments walikuwa wana fanyaje?

Kweli ng'ombe wa masikini hazai hahahaha... Tuendelee kujifunza bilq kuchoka
 
Mtu anahisi akitaarifu watu wengine yeye atakosa au ni sisi tu Tanzania na ubinafsi wetu??
Angalia walio view huu Uzi ni wengi mno, na wanao shughulika nao ni wengi kimya kimya... Ndio choyo ina anzia hapo...

Nime weka njia chache, za ubalozi na agencies mbalimbali... Huto ona MTU ana kuja kushare na wengine... Ana malizana nazo huko huko...

Atakuja hapa akiwa amekwama sehemu au kuuliza kama majibu yametoka, utazani tuliomba pamoja hahahahaaha
 
Hapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...

Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...

Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...

Sijui sisi tuna taka nini???

Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc

Alafu ana taka kwenda kusoma!?

Labda usome hapa hapa...
Hapo kwenye vyeti vya lugha ndio kipengele mkuu. Kufaulu kwake hadi upate ni kazi kweli kweli ..mengine yanaezekana kabisa
 
Hapo kwenye vyeti vya lugha ndio kipengele mkuu. Kufaulu kwake hadi upate ni kazi kweli kweli ..mengine yanaezekana kabisa
Hakuna jambo gumu, ni uvivu tu wa kuangaikia jambo lenyewe...

Kuna baadhi hawaitaji hayo mavitu mzee...
 
Fursa ni nyingi, ila ni nyepesi sana kwa waajiriwa wa serikalini...

Kwa mfano kwa sasa kuna online trainings nyingi sana una chagua una taka nini ila ni lazima uwe mtumishi na zote ni moja kwa moja kutoka nchi washirika ktk maendeleo...

Na hizi online zimekuja baada ya kuingia maswala ya Uviko19 na mawimbi yake...

Ingia ubalozi wa uholanzi ktk page yao fb, Indonesia, Germany, UK, China etc utaona watu wanavyo kula maskolaships


Updates:


View attachment 1899696
Kwa tunaotaka kusoma bachelor na age inasoma 35 scholarship tunapata?
 
Kwa tunaotaka kusoma bachelor na age inasoma 35 scholarship tunapata?

Jaribu bahati yako... Skolashipusi ni nyingi kiongozi, tukingoja mtu wa kukusogezea uta kesha...

Zipo nyingi sana na ndio msimu wake huu

Zime funguka
Za Korea
Za Japan
Za urusi
Za Australia
Za USA
Za UK
Za Taiwan
Za hong Kong

Zipo nyingi sana, kama utajifungia bila kuangaza macho dunia ina zungukaje na wewe uendeje, basi utakuwa umepishana na mengi unayo yatamani

6Was9
 

Jaribu bahati yako... Skolashipusi ni nyingi kiongozi, tukingoja mtu wa kukusogezea uta kesha...

Zipo nyingi sana na ndio msimu wake huu

Zime funguka
Za Korea
Za Japan
Za urusi
Za Australia
Za USA
Za UK
Za Taiwan
Za hong Kong

Zipo nyingi sana, kama utajifungia bila kuangaza macho dunia ina zungukaje na wewe uendeje, basi utakuwa umepishana na mengi unayo yatamani

6Was9
Shukrani mkuu
 

Jaribu bahati yako... Skolashipusi ni nyingi kiongozi, tukingoja mtu wa kukusogezea uta kesha...

Zipo nyingi sana na ndio msimu wake huu

Zime funguka
Za Korea
Za Japan
Za urusi
Za Australia
Za USA
Za UK
Za Taiwan
Za hong Kong

Zipo nyingi sana, kama utajifungia bila kuangaza macho dunia ina zungukaje na wewe uendeje, basi utakuwa umepishana na mengi unayo yatamani

6Was9
Thanks sana mkuu
 
Hakuna wano safirisha bidhaa, nje ya nchi??
kama Dubai, U.K etc??
 
Kwa tunaotaka kusoma bachelor na age inasoma 35 scholarship tunapata?
Usjilimit sana kwa umri mzee ,pambana sasa... kimbiza kimbiza utimize malengo yako fasta
 
Application za Diversity visa Lottery ya U.S / Green card tayari miefunguliwa..

Inahitajika uwe na vali Electronic PASSPORT /temporary psili uweze kuapply katika shindano hili!!
 
Application za Diversity visa Lottery ya U.S / Green card tayari miefunguliwa..

Inahitajika uwe na vali Electronic PASSPORT /temporary psili uweze kuapply katika shindano hili!!
Pia kuzingatia vigezo muhimu vya aina ya picha inayotakiwa yaaani passport size
 
Back
Top Bottom