Mtu anahisi akitaarifu watu wengine yeye atakosa au ni sisi tu Tanzania na ubinafsi wetu??#COVID19 - Nishaurini wakuu chanjo yaniogopesha
Habari ndugu zangu. Nisiwachoshe niende kwenye mada Nina SCHOLARSHIP TATU. 1. Oslo university NORWAY 2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA 3. Maseno university, Kisumu KENYA. Kusoma degree ya pili. Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona...www.jamiiforums.com
Haya safari zimeiva, wanao baki bakini wanao enda ndio hao...
Kila MTU ana pambana kimya kimya hii ndio Tanzania aiseeee hahahahahaha
Angalia walio view huu Uzi ni wengi mno, na wanao shughulika nao ni wengi kimya kimya... Ndio choyo ina anzia hapo...Mtu anahisi akitaarifu watu wengine yeye atakosa au ni sisi tu Tanzania na ubinafsi wetu??
Hapo kwenye vyeti vya lugha ndio kipengele mkuu. Kufaulu kwake hadi upate ni kazi kweli kweli ..mengine yanaezekana kabisaHapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...
Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...
Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...
Sijui sisi tuna taka nini???
Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc
Alafu ana taka kwenda kusoma!?
Labda usome hapa hapa...
Hakuna jambo gumu, ni uvivu tu wa kuangaikia jambo lenyewe...Hapo kwenye vyeti vya lugha ndio kipengele mkuu. Kufaulu kwake hadi upate ni kazi kweli kweli ..mengine yanaezekana kabisa
Kwa tunaotaka kusoma bachelor na age inasoma 35 scholarship tunapata?Fursa ni nyingi, ila ni nyepesi sana kwa waajiriwa wa serikalini...
Kwa mfano kwa sasa kuna online trainings nyingi sana una chagua una taka nini ila ni lazima uwe mtumishi na zote ni moja kwa moja kutoka nchi washirika ktk maendeleo...
Na hizi online zimekuja baada ya kuingia maswala ya Uviko19 na mawimbi yake...
Ingia ubalozi wa uholanzi ktk page yao fb, Indonesia, Germany, UK, China etc utaona watu wanavyo kula maskolaships
Updates:
View attachment 1899696
Kwa tunaotaka kusoma bachelor na age inasoma 35 scholarship tunapata?
Shukrani mkuu
Jaribu bahati yako... Skolashipusi ni nyingi kiongozi, tukingoja mtu wa kukusogezea uta kesha...
Zipo nyingi sana na ndio msimu wake huu
Zime funguka
Za Korea
Za Japan
Za urusi
Za Australia
Za USA
Za UK
Za Taiwan
Za hong Kong
Zipo nyingi sana, kama utajifungia bila kuangaza macho dunia ina zungukaje na wewe uendeje, basi utakuwa umepishana na mengi unayo yatamani
6Was9
Thanks sana mkuu
Jaribu bahati yako... Skolashipusi ni nyingi kiongozi, tukingoja mtu wa kukusogezea uta kesha...
Zipo nyingi sana na ndio msimu wake huu
Zime funguka
Za Korea
Za Japan
Za urusi
Za Australia
Za USA
Za UK
Za Taiwan
Za hong Kong
Zipo nyingi sana, kama utajifungia bila kuangaza macho dunia ina zungukaje na wewe uendeje, basi utakuwa umepishana na mengi unayo yatamani
6Was9
Kuna scholarship zimetangazwa na ubalozi wa korea kusini ingia page yao ya instagram pale kuna direct links
Weka link mkuu page za insta zipo nyingi
Pia kuzingatia vigezo muhimu vya aina ya picha inayotakiwa yaaani passport sizeApplication za Diversity visa Lottery ya U.S / Green card tayari miefunguliwa..
Inahitajika uwe na vali Electronic PASSPORT /temporary psili uweze kuapply katika shindano hili!!