black foreigner
Member
- Jul 29, 2021
- 24
- 45
Ntakujia very soon mkuu...Kama una miaka 3 toka umalize andaa 1m utafite scholarship za Sweden ambazo hazihitaji uwe na ma A
Mwezi wa 10 unaomba chuo, then wa 12 unaomba ufadhili masomo mwezi wa 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakujia very soon mkuu...Kama una miaka 3 toka umalize andaa 1m utafite scholarship za Sweden ambazo hazihitaji uwe na ma A
Mwezi wa 10 unaomba chuo, then wa 12 unaomba ufadhili masomo mwezi wa 8
Hapa chances unapewa 3. Sasa waliofanikiwa hapa watupe marejesho ya mbinuKuna maswali ya msingi kwenye hi application form ya hii scholarship kwa waelewa wanaweza kutusaidia vizuri
Evelyn Salt naona unamchokoza Per Diem wakati unajua yupo kazini saaa hii ngoja alipwe mshahara ndio atakuja ku commentCc: Per Diem muzee ya Norwei 😁
Hajatupa update siku nyingi kidogo, nateseka mie kama shabiki wakeEvelyn Salt naona unamchokoza Per Diem wakati unajua yupo kazini saaa hii ngoja alipwe mshahara ndio atakuja ku comment
Sio rahisi kihivyo.Kachanjwe kwanza tuone km wanaweza kukufikiria.Seat ya mbele mje wakuu, utakuta huu Uzi unanifikisha new york
Ubarikiwe sana Mkuu kwa ushauri.CC: SueIsmael
Nyingi bado dirisha liko wazi kwa wanaotaka kuanza mwisho wa mwaka huu au mwanzo wa mwaka ujao. Baadhi hizi hapa:
Canada: Scholarships for Non-Canadians
UK: Scholarships | Chevening
Sweden: https://studyinsweden.se/scholarships/#
Switzerland: Scholarships
EU EMJMD Catalogue
USA: Education & Culture | U.S. Embassy in Tanzania
Kwa wanaotafuta ufadhili wa masomo nchi nyingine:
1. Hakikisha unatafuta taarifa katika sehemu sahihi, maana matapeli ni wengi. Anza na tovuti za balozi za nchi husika, tovuti ya wizara ya nje, TCU, tovuti za vyuo husika, nk
2. Umahiri katika lugha ya kiingereza (kama ndiyo lugha ya kufundishia) ni muhimu sana.
3. Jitahidi kutafuta makundi au mtandao wa wanufaika wa ufadhili unaotafuta (alumni groups) kabla ya kuomba.
4. Hakikisha shahada/stashahada utakayosomea inatambulika na TCU kabla ya kusomea.
Kila la kheri!
Credit: CC: SueIsmael
THANKS
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Tupo pamoja sana
Ubarikiwe sana Mkuu kwa ushauri.
Hiyo 1m ni kwa ajili ya nini?
Shukrani,nimekupata vemaHauwezi kupata resident permit bila ya kuapata visa na ili upate visa, itategenmea unaenda vipi kama mtalii, expert, kusoma au kutembelea ndugu etc.
Labda upate job offer /scholarship au Ndoa au kama unapesa za kwenda kujisomesha mkuu !
Mkuu unaweza kunieleza gharama zote za visa,nauli na michakato yote kwa ujumla hadi kufika Canada na kuanza kutafuta kazi kule?Hauwezi kupata resident permit bila ya kuapata visa na ili upate visa, itategenmea unaenda vipi kama mtalii, expert, kusoma au kutembelea ndugu etc.
Labda upate job offer /scholarship au Ndoa au kama unapesa za kwenda kujisomesha mkuu !