Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

CC: SueIsmael

Nyingi bado dirisha liko wazi kwa wanaotaka kuanza mwisho wa mwaka huu au mwanzo wa mwaka ujao. Baadhi hizi hapa:

Canada: Scholarships for Non-Canadians

UK: Scholarships | Chevening

Sweden: https://studyinsweden.se/scholarships/#

Switzerland: Scholarships

EU EMJMD Catalogue

USA: Education & Culture | U.S. Embassy in Tanzania


Kwa wanaotafuta ufadhili wa masomo nchi nyingine:
1. Hakikisha unatafuta taarifa katika sehemu sahihi, maana matapeli ni wengi. Anza na tovuti za balozi za nchi husika, tovuti ya wizara ya nje, TCU, tovuti za vyuo husika, nk
2. Umahiri katika lugha ya kiingereza (kama ndiyo lugha ya kufundishia) ni muhimu sana.
3. Jitahidi kutafuta makundi au mtandao wa wanufaika wa ufadhili unaotafuta (alumni groups) kabla ya kuomba.
4. Hakikisha shahada/stashahada utakayosomea inatambulika na TCU kabla ya kusomea.

Kila la kheri!
Credit: CC: SueIsmael

THANKS
Ubarikiwe sana Mkuu kwa ushauri.
 
Ubarikiwe sana uliyeanzisha huu uzi pamoja na wale wote mliochangia, wabongo wengi hatuna exposure ndio tabu inapoanzia.
Karibu sana mkuu, tunahitaji taarifa zaidi.. information is power!💪🏾
 
Scholarship za Mauritius...
Wente changamoto za uwezo wa kifedha nawangependa kujiendeleza zaidi..

Screenshot_20210818-010007_Drive.jpg
 
Scholarship postgraduate za japan zilipita kimya kimya.. wabongo walisha apply..
Screenshot_20210818-011333_Brave.jpg
 
Vigezo vya scholatship za Phd huwa ni zipi mara nyingi, mwez wa kwanza niliomba scholarship ya Sida ambayo masomo yalikuwa aug. Siku kidhi vigezo sababu sikuwa nimepublish. Na wao walitak uwe n 2 papers ulizochapisha.
 
Hauwezi kupata resident permit bila ya kuapata visa na ili upate visa, itategenmea unaenda vipi kama mtalii, expert, kusoma au kutembelea ndugu etc.
Labda upate job offer /scholarship au Ndoa au kama unapesa za kwenda kujisomesha mkuu !
Mkuu unaweza kunieleza gharama zote za visa,nauli na michakato yote kwa ujumla hadi kufika Canada na kuanza kutafuta kazi kule?
 
Back
Top Bottom