Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Mkuu, Vibali gani inahitajika kuwa na vyo ili uweze ku export bidhaa nje?
1. Wahitaji export license/Certificate ya Tanzania na hiyo utaipata kutoka wizara ya viwanda na biashara.

Kwenye suala kama la viny'ago nafikiri wizara ya maliasili pia yahusika kwa issue ya bidhaa zitokanazo na miti.

Pia wahitaji import licence kule unakopeleka bidhaa na kufuata sheria zao kama vile

1. Sheria ya kuingiza bidhaa za kutoka nje ya Ulaya
2. Kuna namba maalum importer hupewa yaitwa EORI yaani Economic Operator Registration Identification Number ni lazima uwe nayo.

3. Biashara yako iwe imesajiliwa na ni jambo la uzuri kuwa na mshirika wa biashara wako alie ndani ya nchi ufanyayo import.

Hii inasaidia kwenye kulipa tax na mambo mengine kama ofisi na kadhalika.

Unaweza kuwatafuta watu waingizao bidhaa Ulaya kama bwana mmoja maarufu aitwa Dewji nafikiri bado afanya hizi biashara za import.

4. ufahamu kila bidhaa ina Code au namba maalum kwa ajili ya tax.

5. Uwe makini na labelling, marking na sheria zote za masoko.

6. ufahamu namna ya kutoa mizigo kutoka customs au utumie kampuni mwenyeji.

Na mwisho, ufahamu namna ya kuweka invoices na rekodi zote za biashara yako.

Mkuu, fika ofisi za Dar-es-Salaam Chambers of Commerce kwa elimu zaidi au TanTrade watakusaidia kukupa mwanga zaidi.

Mimi nimekupatia dondoo kiasi, ila watakiwa kujiandaa khaswa.
 
Nimepata mwanga !
Hapo kila hatua inahitaji muda wa ufuatliaji pamoja na taarifa sahihi!
 
Hv sisi tuliosoma B.A ed, tukiomba hizo kazi ili tupate visa, tunafit kweli vigezo, Yaan mwalimu wa Tanzania awe recruited Ulaya [emoji3],

Au labda unaweza kuomba nje ya profession yako, ila ukatumia cheti chako cha chuo
-Ulaya labda ukafundishe Kiswahili.

-Andaa CV zako kulingana na kazi iliyotangazwa (HII NI SIRI NAKUPA WEWE TU). Mfano umesomea ualimu ila nafasi iliyotangazwa ni ulinzi, andaa CV inayoonyesha umewahi kufanya kazi ya ulinzi na uingie google au tafuta mtu akupe ABCs za hiyo kazi.
-Kazi za nje nyiñgi ni manual wengi ndio maana wanaitwa wabeba box, hivyo huhitaji CV ya kutisha. Kule unaenda kutumika sio kuwa bosi.
 
Nimekupata vyema mkuu!!

Tupe uafafanuzi uelewa wako kuhusu canada express entry -

kwa mtu ambaye hana elimu ya juu wala experience ya miaka kadhaa ya kazi anaweza kufanikiwa???
Pitia uzi huu huko hata mimi nimeelezea hiyo ya Canada.

 
-Ulaya labda ukafundishe Kiswahili.

-Andaa CV zako kulingana na kazi iliyotangazwa (HII NI SIRI NAKUPA WEWE TU). Mfano umesomea ualimu ila nafasi iliyotangazwa ni ulinzi, andaa CV inayoonyesha umewahi kufanya kazi ya ulinzi na uingie google au tafuta mtu akupe ABCs za hiyo kazi.
-Kazi za nje nyiñgi ni manual wengi ndio maana wanaitwa wabeba box, hivyo huhitaji CV ya kutisha. Kule unaenda kutumika sio kuwa bosi.
Yes ni muhimu sana , kuaanda CV mpya amabayo itakuwa related na job title/description.. kuliko 1 hiyo hiyo kuforward kila job post!
 
oi ma bro naombeni mnisaidie kutengeneza cv
Njia nzuri kwako tumia "templates" yaani mifano ya CV kutoka katika MS Office latest kama 2019 au 365.

Itengeneze CV yako uzuri na iwe imeshiba.

CV nzuri huwa na mambo makuu manne.

1. Historia yako wewe ni nani na unataka nini.

2. Historia ya kazi unayofanya au ulizofanya na kipindi ulichofanya kazi hizo na waorodhesha sehemu zote za kazi.

3. Elimu yako vyuo ulivyosoma na miaka ya kukaa vyuoni.

4. Ujuzi (skills) kama unao.

Hapa utofautishe kati ya elimu na ujuzi waweza kusoma shahada ya elimu lakini wewe ni mjuzi wa computer kwa upande wa Office Package kama matumizi ya Excel.

Mwisho , References za watu ambao wanakufahamu na wanaweza kuulizwa kuhusu character yako na kuthibitisha kuhusu kazi unayofanya au ulizofanya.

Sasa nimekupa dondoo weye endelea jazilizia.

Fanya majaribio ya kuandika CV yako mpaka iwe inavutia mwajiri mtarajiwa.
 
Pitia uzi huu huko hata mimi nimeelezea hiyo ya Canada.

Yes mkuu nilishawahi upitia huu uzi, ngoja tuendelee kukusanya taarifa!
 
-Ulaya labda ukafundishe Kiswahili.

-Andaa CV zako kulingana na kazi iliyotangazwa (HII NI SIRI NAKUPA WEWE TU). Mfano umesomea ualimu ila nafasi iliyotangazwa ni ulinzi, andaa CV inayoonyesha umewahi kufanya kazi ya ulinzi na uingie google au tafuta mtu akupe ABCs za hiyo kazi.
-Kazi za nje nyiñgi ni manual wengi ndio maana wanaitwa wabeba box, hivyo huhitaji CV ya kutisha. Kule unaenda kutumika sio kuwa bosi.
Hayo ulooleza hapo kiuhalisia ni ngumu.

Huwezi kugoogle kazi fulani halafu ukaipachika katika CV yako.

Au kazi nyingi kwa kuwa ni za manual basi wapata tu kazi kirahisi.

Labda kama waongelea exploitation ukafanye kazi ya ulinzi kisha ulipwe dola 5 kwa saa.

Au ukafanye kazi kwewye ujenzi uje kulipwa njurugu.
 
Hayo ulooleza hapo kiuhalisia ni ngumu.

Huwezi kugoogle kazi fulani halafu ukaipachika katika CV yako.

Au kazi nyingi kwa kuwa ni za manual basi wapata tu kazi kirahisi.

Labda kama waongelea exploitation ukafanye kazi ya ulinzi kisha ulipwe dola 5 kwa saa.

Au ukafanye kazi kwewye ujenzi uje kulipwa njurugu.
Ulaya hakuna kazi ya dola 5 kwa saa ..acha kupotosha watu
 
Binafsi, mimi sijakuelewa mkuu... andika tena pole pole
Nataka pata kibali cha kukaa canada,ili ikitokea fursa nikiapoly iwe rahis mm kupata kazi

Swali,je nikipata kibali cha kukaa canada ni lazima niende huko hapo hapo?
 
Nataka pata kibali cha kukaa canada,ili ikitokea fursa nikiapoly iwe rahis mm kupata kazi

Swali,je nikipata kibali cha kukaa canada ni lazima niende huko hapo hapo?
Hauwezi kupata resident permit bila ya kuapata visa na ili upate visa, itategenmea unaenda vipi kama mtalii, expert, kusoma au kutembelea ndugu etc.
Labda upate job offer /scholarship au Ndoa au kama unapesa za kwenda kujisomesha mkuu !
 
Kama una miaka 3 toka umalize andaa 1m utafite scholarship za Sweden ambazo hazihitaji uwe na ma A

Mwezi wa 10 unaomba chuo, then wa 12 unaomba ufadhili masomo mwezi wa 8
Nakufuatilia kwa makini mkuu!

Hebu tupe details sasa kwa undani kuanzia links za vyuo ambavyo ni rahisi kupata hizo scholarship na process zake zinavyokuwa !
 
Njia nzuri kwako tumia "templates" yaani mifano ya CV kutoka katika MS Office latest kama 2019 au 365.

Itengeneze CV yako uzuri na iwe imeshiba.

CV nzuri huwa na mambo makuu manne.

1. Historia yako wewe ni nani na unataka nini.

2. Historia ya kazi unayofanya au ulizofanya na kipindi ulichofanya kazi hizo na waorodhesha sehemu zote za kazi.

3. Elimu yako vyuo ulivyosoma na miaka ya kukaa vyuoni.

4. Ujuzi (skills) kama unao.

Hapa utofautishe kati ya elimu na ujuzi waweza kusoma shahada ya elimu lakini wewe ni mjuzi wa computer kwa upande wa Office Package kama matumizi ya Excel.

Mwisho , References za watu ambao wanakufahamu na wanaweza kuulizwa kuhusu character yako na kuthibitisha kuhusu kazi unayofanya au ulizofanya.

Sasa nimekupa dondoo weye endelea jazilizia.

Fanya majaribio ya kuandika CV yako mpaka iwe inavutia mwajiri mtarajiwa.
Good idea!
 
Back
Top Bottom