Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Wapo wanaofanya haya masuala ya Dating na wanafanikiwa..

Kiufupi kabla ya WhatsApp/fb na n.k kile kipindi kabla hakuna devices za android na ios ... nilikuwa napenda kuchat for fun tu website kama hi5, waplog ,etc na baadae ndio kuingia kwenye hizi Dating sites...

Nilikuwa na marafiki kadhaa wa kike kutoka U.k Scotland na U.S hawa nimedumu nao zaidi ya miaka mitano tukichat online pamoja na mawasiliano ya kawaida ya simu ,skype ns WhatsApp.
Wawili wameshaolewa na mmoja nilipoteza mawasilano nae...

Nilikuwa bado yanki nasoma , sina kazi...

Imagine mtu ana kuinvite uende U.k /U.S unachungulia nauli kwenye bookung website unapagawa...

Kama hizo offer ningezipata sasa ingekuwa raha sana..!!
Kwa sasa imekuwa ngumu kupata wachumba kupitia Dating site,Wanageria wamewatapeli wanawake wa kizungu,watu weusi hatuaminiki tena
 
Hv sisi tuliosoma B.A ed, tukiomba hizo kazi ili tupate visa, tunafit kweli vigezo, Yaan mwalimu wa Tanzania awe recruited Ulaya [emoji3],

Au labda unaweza kuomba nje ya profession yako, ila ukatumia cheti chako cha chuo
 
Wakuu, njia ingine nzuri zaidi ya kutoka nje na kujitayarisha kuwa mfanyabiashara wa bidhaa.

Ila lazima uwe mfanyabiashara smart unaelewa biashara na masoko, sheria mbalimbali na viwango vya nchi husika na kadhalika.

Bidhaa nyingi Ulaya sasa hivi zimekuwa haba kutokana na masuala kama ugonjwa wa UVIKo-19 ambao umesababisha biashara nyingi ndogo kufa.

Kwa mfano waweza kuamua kuwa wasafirisha nje, bidhaa ambazo ni "hot cake" katika maduka ya huko kama maparachichi, na sasa hivi kama kule UK wanahitaji sana Viazi kwa ajili ya chips.

Suala ambalo wazungu siku zote wanataka ni viwango, kuanzia kuvuna hadi kupakia bidhaa kwa viwango vinavyoridhisha.

Kwa mfano ukipaki parachichi wengine wataki upaki nne katika kifurushi na uweke alama zote muhimu kwenye kifurushi chako.

Maparachichi yanahitajika sana lakini ukumbuke washindana na wazalishaji wa nchi zingine hivyo uwe smart.

Bidhaa kama Viazi ni haba kwa sasa khasa Uingereza ambapo jamaa zangu waliko pale wasema viazi vimeadimika.

Hivyo ukiwa Tanzania watakiwa kuwa na storage, na packaging yako iwe katika viwango na uweze kuwa wahifadhi viazi vya kuweka kwenye ubaridi frozen chips ambapo vyaweza kuingia moja kwa moja kwenye kikaangio.

Hizi biashara zipo maana wahindi, wachina na raia kutoka nchi zingine za Afrika kama Ghana na Nigeria hupeleka kule bidhaa kama mihogo, mchicha na mbogamboga zingine.

Ila kama ambavyo nimekuwa nikisema humu siku zote, hizi shughuli zatakiwa kuanzia kwanza nyumbani Tanzania kisha wajijenga na kuanza kusafirisha bidhaa hizo ndani ya nchi kisha waweka "base" ya wateja na baadae kuendelea nje ya nchi.

Lakini masuala kama kuvuna, kupakia, kufanya "labelling", kuwashirikisha shirika la viwango, na mamlaka zingine ni jambo la muhimu kabla hujasafirisha bidhaa nje.

Ila kwa sasa suala la ugonjwa wa UVIKO-19 limewapa sababu nchi nyingi za Ulaya na Marekani kutumia nafasi hiyo kuzinyanyasa nchi maskini nyingi zikiwa za Afrika kwa kuziweka katika orodha jhyekundu au RED LIST.

Hiyo yaleta taabu kwa kiasi kikubwa kwani ni wale wenye fedha na matajiri ndo watoweza kujitenga mahotelini kwa gharama za kwao.
 
Kwa sasa imekuwa ngumu kupata wachumba kupitia Dating site,Wanageria wamewatapeli wanawake wa kizungu,watu weusi hatuaminiki tena
Dating site nyingi hazifai na zimekuwa target ya wadukuzi na wahalifu wa chini kwa chini.

Ukiwa makini waweza kupata wachumba kupitia mitandao rasmi iloyopo ila uwe smart katika idara ya "presentation"😉

Ila ni vipi utagundua kuwa wawasiliana na mtu genuine?
 
Hv sisi tuliosoma B.A ed, tukiomba hizo kazi ili tupate visa, tunafit kweli vigezo, Yaan mwalimu wa Tanzania awe recruited Ulaya [emoji3],

Au labda unaweza kuomba nje ya profession yako, ila ukatumia cheti chako cha chuo
Bado walimu wa sayansi na hesabu wanahitajika.

Marafiki zangu wengi walokwenda Ulaya na BA kama za ed. sasa hivi ni manesi waandamizi.

Walitumia fursa wakabadili kozi.

Zamani ilikuwa rahisi kubadili kozi ukiwa na viza ya uanafunzi ila sasa imekuwa ngumu kidogo.

Ila bado wapo walimu wa kiafrika katika vyuo vya kawaida kama Accounts inalipa uzuri.
 
Wakuu, njia ingine nzuri zaidi ya kutoka nje na kujitayarisha kuwa mfanyabiashara wa bidhaa.

Ila lazima uwe mfanyabiashara smart unaelewa biashara na masoko, sheria mbalimbali na viwango vya nchi husika na kadhalika.

Bidhaa nyingi Ulaya sasa hivi zimekuwa haba kutokana na masuala kama ugonjwa wa UVIKo-19 ambao umesababisha biashara nyingi ndogo kufa.

Kwa mfano waweza kuamua kuwa wasafirisha nje, bidhaa ambazo ni "hot cake" katika maduka ya huko kama maparachichi, na sasa hivi kama kule UK wanahitaji sana Viazi kwa ajili ya chips.

Suala ambalo wazungu siku zote wanataka ni viwango, kuanzia kuvuna hadi kupakia bidhaa kwa viwango vinavyoridhisha.

Kwa mfano ukipaki parachichi wengine wataki upaki nne katika kifurushi na uweke alama zote muhimu kwenye kifurushi chako.

Maparachichi yanahitajika sana lakini ukumbuke washindana na wazalishaji wa nchi zingine hivyo uwe smart.

Bidhaa kama Viazi ni haba kwa sasa khasa Uingereza ambapo jamaa zangu waliko pale wasema viazi vimeadimika.

Hivyo ukiwa Tanzania watakiwa kuwa na storage, na packaging yako iwe katika viwango na uweze kuwa wahifadhi viazi vya kuweka kwenye ubaridi frozen chips ambapo vyaweza kuingia moja kwa moja kwenye kikaangio.

Hizi biashara zipo maana wahindi, wachina na raia kutoka nchi zingine za Afrika kama Ghana na Nigeria hupeleka kule bidhaa kama mihogo, mchicha na mbogamboga zingine.

Ila kama ambavyo nimekuwa nikisema humu siku zote, hizi shughuli zatakiwa kuanzia kwanza nyumbani Tanzania kisha wajijenga na kuanza kusafirisha bidhaa hizo ndani ya nchi kisha waweka "base" ya wateja na baadae kuendelea nje ya nchi.

Lakini masuala kama kuvuna, kupakia, kufanya "labelling", kuwashirikisha shirika la viwango, na mamlaka zingine ni jambo la muhimu kabla hujasafirisha bidhaa nje.

Ila kwa sasa suala la ugonjwa wa UVIKO-19 limewapa sababu nchi nyingi za Ulaya na Marekani kutumia nafasi hiyo kuzinyanyasa nchi maskini nyingi zikiwa za Afrika kwa kuziweka katika orodha jhyekundu au RED LIST.

Hiyo yaleta taabu kwa kiasi kikubwa kwani ni wale wenye fedha na matajiri ndo watoweza kujitenga mahotelini kwa gharama za kwao.
Mkuu napataje connection ya kuuza bidhaa za asili nje (culture)
 
Mkuu napataje connection ya kuuza bidhaa za asili nje (culture)
Kwa mfano ukitaka uwe na duka la kuuza bidhaa za utamaduni kama viny'ago na vingine ni jambo zuri kama utatafuta mshirika ambae ni mkazi au raia wa hiyo nchi ya kigeni.

Connection yake rahisi ni njia ya mtandao kwamba waanza kutangaza bidhaa zako mtandaoni kisha kufikia kuanzisha kutuma bidhaa hizo hukohuko nje.

Mwisho wa siku ukipata connection na mtu wa huko utapata fursa ya kuingia kama mjasiriliamali na utapata viza hiyo.

Mara paap. una duka katikati ya mitaa ya huko eneo la tukio na hapo waanza kutoka.

Hadi sasa hakuna duka la bidhaa za kitamaduni huko Ulaya na linalojulikana.

Hivyo connection ni mitandao wewe mwenyewe kujitengeneza uzuri kiasi cha kuvutia wateja watarajiwa na watu wengine wenye interest na wewe.

Dunia ya leo usitegemee mtu akakufanyia tu connection hivihivi bila pa kuanzia.
 
Nimekupata vyema mkuu!!

Tupe uafafanuzi uelewa wako kuhusu canada express entry -

kwa mtu ambaye hana elimu ya juu wala experience ya miaka kadhaa ya kazi anaweza kufanikiwa???
Kuna vigezo vingi wanaangalia hiyo ya experience ni kigezo kimoja wapo kisha wanacalculate credits.
Baadhi ya vigezo ni;
Education level
Experience
Age
Language profficiency(English/French)
 
Kwa sasa imekuwa ngumu kupata wachumba kupitia Dating site,Wanageria wamewatapeli wanawake wa kizungu,watu weusi hatuaminiki tena
Unachokisema ni kweli.
Lakini bado inawezekana .. ni wewe tu na jinsi gani unchat na muhusika wako , kuna wayu akili hazijakuwa anachata na mchuchu anamuomba hela sasa utaachaje kuonekana tapeli hahahahaha
 
Hv sisi tuliosoma B.A ed, tukiomba hizo kazi ili tupate visa, tunafit kweli vigezo, Yaan mwalimu wa Tanzania awe recruited Ulaya [emoji3],

Au labda unaweza kuomba nje ya profession yako, ila ukatumia cheti chako cha chuo
Inawezekana ndio ..unaweza ukaijkita kwenye kufundisha lugha ya kiswahili, unakuta wacongo au wakenya ndio wanafundisha kiswahili zaidi nje badala yetu..

Ni suala la ufuatiliajo tu ..mkuu ..
Unaweza kupata kazi hata kwenye vi junior schools community college, au zile scholarship za foreign students exchange au wanafunzi kubadilishana tamaduni za nchi zao..!
 
Back
Top Bottom