Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Nimekupata vyema mkuu!!

Tupe uafafanuzi uelewa wako kuhusu canada express entry -

kwa mtu ambaye hana elimu ya juu wala experience ya miaka kadhaa ya kazi anaweza kufanikiwa???
Kwa ulewa wangu hii ni system ya visa merits hapa ndio shida inapo anza kwa umbumbu wangu maana ili wakupe visa watemetengeneza system ya kukupa scores au marks kwa maana ikiwa wana shida na watu wa graphics design na hii ni currently seriously needing wata angalia chuo ulichosoma , level uliyofikia hapo chuoni, experience yako kwenye kazi na umahiri kisha wata angalia umri wako note wana taka kijana, sasa hapo kwa kila kipengele wanakupa score au marks sikumbuki vizuri ila nahisi kuanzia kitu 50% na kuendelea ndio wana consider hvo unaweza ukafika hata 70 % basi wana kupa visa wewe na familia yako yote
 
Kwa ulewa wangu hii ni system ya visa merits hapa ndio shida inapo anza kwa umbumbu wangu maana ili wakupe visa watemetengeneza system ya kukupa scores au marks kwa maana ikiwa wana shida na watu wa graphics design na hii ni currently seriously needing wata angalia chuo ulichosoma , level uliyofikia hapo chuoni, experience yako kwenye kazi na umahiri kisha wata angalia umri wako note wana taka kijana, sasa hapo kwa kila kipengele wanakupa score au marks sikumbuki vizuri ila nahisi kuanzia kitu 50% na kuendelea ndio wana consider hvo unaweza ukafika hata 70 % basi wana kupa visa wewe na familia yako yote
Mkuu hapa nilikosea ni hvi minimum requirements ni 67% out of 100 pia watakuuliza kuhusu kutumia lugha iwe English au french kama unataka ku apply nikupe address website yao
 
Mkuu hapa kweli ulikosa bahati maana hapa kuna urahisi sana , mimi nimezijua wa kati wa kulipia sasa nilidhani usha jaribu kulipia kupitia credit card au visa card kwa haraka haraka syo hela nyingi ila hzo system za ulupiaji sasa ndio shida na sisi labda visa card na pia kwa utafiti wangu wageni wakija hapa bongo pia huwa wanatumia sna
Zipo dating sites/app ambazo unaweza kuchat kibish bila ya kulipia..

japo nyingi sasa ili uweze kufanya baadhi ya vitu kwenye hiyo app wanakulimit ili ulipie ... lakini still unaweza zitumia kibishi kama unaona izo features hata ukizikosa hazina madhara kwako!.
 
Mkuu hapa nilikosea ni hvi minimum requirements ni 67% out of 100 pia watakuuliza kuhusu kutumia lugha iwe English au french kama unataka ku apply nikupe address website yao
Yes share tu hizo websites mkuu...
 
images (3) (2).jpeg


images (3) (1).jpeg


Royal Caribbean cruise ship..
Meli za kitalii zinazosafiri nchi mbali mbali port of entry..
Unaweza kuapply kama unapenda kusafiri majini.. kutoka nchi m9ja kwenda nchi nyingine!

Zina hotels, malls- maduka, restaurants, n.k

Hii hapa chini ni website yao ya nafasi za kazi waazotoa unawe,a kuapply..


Kuwa makanini na websites nyingine zinazofanana na hiyo juu, usije tapeliwa, interview zao wanafanya kwa skype na hautaombwa pesa yoyote kutoka kwao

Angalia Department unayofit , then tengeneza C.V/ RESUMe pamoja na cover letter nzuri...

Hahahaha Achana na cv zetu za kibongo izi za kuandika marital status na primary school!!
 
Nafasi za kazi based on Department
Royal Caribbean!
Screenshot_20210815-022124_Chrome.jpg
 
Carnival Corp

Hii pia ni cruise ship company unaweza search na kuapply kazi mbali mbali.
Ina meli nyingi na kila meli wamepost nafasi zakazi walizonazo. So unaweza ku browse moja baada ya nyingine!


Ukiona web yoyote ya kuapply kazi wanakuomba utume pesa western union..etc juwa ni matapeli..

Hizi sites zote ni free kuapply

Screenshot_20210815-030611_Chrome.jpg
 
Kwani i sisi Tz tunakwama? Ila wapo wa Tz wengi wanao apply kimya kimya mpaka wakose au wapate labda ndio watakupa mwongozo!!
Wana fanya hivyo kupunguza jam, na kuna muda ni ubinafsi ulio pitiliza ambao msingi wake ni kuanzia katika koo, familia (undugu)
 

Yes share tu hizo websites mkuu...
Mzigo mzima upo hapa
www.Canada. ca
Hyo ndio website yao official ni free of charge , utatakiwa uji register ili uwe na account kisha utachagua categories ya experience yako kama ni type gani, maana huwa wana anzia type o, type A , type B, type C na kuendelea kuwa makini upate score 67 na kuendelea ili wakupe visa , kila la kheri ndugu zangu
 
Wana fanya hivyo kupunguza jam, na kuna muda ni ubinafsi ulio pitiliza ambao msingi wake ni kuanzia katika koo, familia (undugu)
Huo ni ujinga wa kiwango cha lami, una punguza jam wakati end of the day unajikuta uko peke yako au mupo 2 kisha wa kenya wapo 200, na Nigeria 300 huku Uganda wapo 150. come on Tanzania huwezi kupunguza jam wakati wanaomba ni dunia nzima Huo ukichaa mkubwa kuwahi kutokea pia usisahau zile East European countries nazo zinaomba ktk Huo Huo mchakato , sasa wewe mtanzania utazuia jam gani ikiwa jam yako tu ya tazara bado ipo vile vile 😂😂😂😂😂 jokes guys
 
Yaani tumefundisha vijana wetu hadi chuo, leo hii tuwahimize wakatafute fursa ughaibuni? yaani jitihada zote hizo ziishie kuwafaidisha mabeberu ambao wao hawataki kuzaa watoto zaidi ya kufuga mbwa.....vijana wawezeshwe kutumia fursa zilizopo nchini kujijenga wao, familia zao na taifa kiujumla....tuachane na wakenya wao walishajitoa kitambo kuwa manamba huko ughaibuni....
 
Yaani tumefundisha vijana wetu hadi chuo, leo hii tuwahimize wakatafute fursa ughaibuni? yaani jitihada zote hizo ziishie kuwafaidisha mabeberu ambao wao hawataki kuzaa watoto zaidi ya kufuga mbwa.....vijana wawezeshwe kutumia fursa zilizopo nchini kujijenga wao, familia zao na taifa kiujumla....tuachane na wakenya wao walishajitoa kitambo kuwa manamba huko ughaibuni....
Umanamba ni kumsubiria mwanasiasa anaye tembelea V8 umpe kura tena kwa mara ya pili kisha aende bungeni aku tetee na yeye ana kutetea kwa kusema " graduate " uji ajiri . kumbuka thamani ya V8 ina anzia millions 150 , nina rafiki zangu kibao wapo home na degrees zao, Umanamba ni kuto kufikiria far syo kumfanyia kazi mzungu
 
Huo ni ujinga wa kiwango cha lami, una punguza jam wakati end of the day unajikuta uko peke yako au mupo 2 kisha wa kenya wapo 200, na Nigeria 300 huku Uganda wapo 150. come on Tanzania huwezi kupunguza jam wakati wanaomba ni dunia nzima Huo ukichaa mkubwa kuwahi kutokea pia usisahau zile East European countries nazo zinaomba ktk Huo Huo mchakato , sasa wewe mtanzania utazuia jam gani ikiwa jam yako tu ya tazara bado ipo vile vile 😂😂😂😂😂 jokes guys
Nazani una elewa... Ndio maana hata walio fanikiwa kwenda nje (watanzania) iwe kusoma, kuoa au kuolewa, biashara etc hawawez kukupa ABC... Na sababu zina fahamika...
 
Back
Top Bottom