Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Umanamba ni kumsubiria mwanasiasa anaye tembelea V8 umpe kura tena kwa mara ya pili kisha aende bungeni aku tetee na yeye ana kutetea kwa kusema " graduate " uji ajiri . kumbuka thamani ya V8 ina anzia millions 150 , nina rafiki zangu kibao wapo home na degrees zao, Umanamba ni kuto kufikiria far syo kumfanyia kazi mzungu
Huwezi kufikiria kubadili hali ya mambo kwenye nchi yako kwa kumwangalia mwanasiasa anayetembelea V8, huko ughaibuni na kwenyewe wapo wanasiasa ambao wanafuja pesa za umma lakini raia wapo independent kutumia akili zao kujijenga wao na vizazi vijavyo......huwezi kumsusia ngedere shamba la mahindi lakini utahakikisha unamdhibiti ngedere ili mahindi yapatikane shambani......
 
Huwezi kufikiria kubadili hali ya mambo kwenye nchi yako kwa kumwangalia mwanasiasa anayetembelea V8, huko ughaibuni na kwenyewe wapo wanasiasa ambao wanafuja pesa za umma lakini raia wapo independent kutumia akili zao kujijenga wao na vizazi vijavyo......huwezi kumsusia ngedere shamba la mahindi lakini utahakikisha unamdhibiti ngedere ili mahindi yapatikane shambani......
Bro, ni hivi! Kitembea tu kunampa fursa mtu kujifunza vitu vingine. Mfano, kuna jamaa alikwenda India aliporudi karudi na idea ya biashara mpya na anapiga hela sana kwa sasa!! Kibongobongo ilikuwa ngumu kuwa na idea kama hiyo! Exposure, si lazima ukakae maisha yote huko!!

Pili! Kama kijana wako kakosa maisha yaliyosimama hapa nchi, kuna ubaya gani akatoka kuangalia sehemu zingine? Mwisho wa siku opportunities hizi tunawaachia wanasiasa na familia zao tu sisi tunaamini haziwezi kutufikia. Kuzunguka kutafuta maisha duniani kupo, maovu ya wanasiasa yapo kila mahali lakini kama kuna mahali mwanasiasa anafanya uovu na wewe maisha yanakwenda unavyoplan kwa nini usijitose!?

Iko hivi badala ya vijana kulia lia hapa nchini hakuna kazi wala mazingira mazuri ya wao kupata kipato! Watokee tena nahamasisha wizara ya mambo ya nje itanue wigo na kushawishi mataifa mbalimbali yaite vijana kutoka TZ, pengine tabia za majungu na uvivu zitaisha tukianza kujichanganya
 
Bro, ni hivi! Kitembea tu kunampa fursa mtu kujifunza vitu vingine. Mfano, kuna jamaa alikwenda India aliporudi karudi na idea ya biashara mpya na anapiga hela sana kwa sasa!! Kibongobongo ilikuwa ngumu kuwa na idea kama hiyo! Exposure, si lazima ukakae maisha yote huko!!

Pili! Kama kijana wako kakosa maisha yaliyosimama hapa nchi, kuna ubaya gani akatoka kuangalia sehemu zingine? Mwisho wa siku opportunities hizi tunawaachia wanasiasa na familia zao tu sisi tunaamini haziwezi kutufikia. Kuzunguka kutafuta maisha duniani kupo, maovu ya wanasiasa yapo kila mahali lakini kama kuna mahali mwanasiasa anafanya uovu na wewe maisha yanakwenda unavyoplan kwa nini usijitose!?

Iko hivi badala ya vijana kulia lia hapa nchini hakuna kazi wala mazingira mazuri ya wao kupata kipato! Watokee tena nahamasisha wizara ya mambo ya nje itanue wigo na kushawishi mataifa mbalimbali yaite vijana kutoka TZ, pengine tabia za majungu na uvivu zitaisha tukianza kujichanganya
umeandika sahihi kabisa, huu mwaka hautaisha lazima nitoke hapa bongo nikapate oxposure hata ya siku 30 tu.
 
Wana fanya hivyo kupunguza jam, na kuna muda ni ubinafsi ulio pitiliza ambao msingi wake ni kuanzia katika koo, familia (undugu)
Ni ubinafsi tu ns roho ya umasikini..

Ubinafsi /umimi ...unaisumbuwa sana nchi yetu kuanzia katika level ya undugu mpaka kwa viongozi wetu wajuu..

Ndio maana unakuta ni vigumu sana mtu kukuonesha fursa ya biashara anayoifanya kama inamlipa ipasavyo... akikuonea huruma ataisha kukupa maelezo tu ya jujuuu.
 
Iko hivi badala ya vijana kulia lia hapa nchini hakuna kazi wala mazingira mazuri ya wao kupata kipato! Watokee tena nahamasisha wizara ya mambo ya nje itanue wigo na kushawishi mataifa mbalimbali yaite vijana kutoka TZ, pengine tabia za majungu na uvivu zitaisha tukianza kujichanganya
Uko sahihi kabisa lakini...
Hakuna mwanasiasa wakufanya hivyo labda kwa nchi niyingine na sio TZ , ubinafsi umetawala sana fursa hapa bongo ni za kupeana "kimya kimya"..
Kama kenya rais wao alipoenda U.k kawapigia pande huko wanatarajia kupeleka wafanya kazi kama 30,000...

Angalia mshahara wa nurse UK , kisha mtu arudi hapa uniambie masuala ya uzalendo
 
Huwezi kufikiria kubadili hali ya mambo kwenye nchi yako kwa kumwangalia mwanasiasa anayetembelea V8, huko ughaibuni na kwenyewe wapo wanasiasa ambao wanafuja pesa za umma lakini raia wapo independent kutumia akili zao kujijenga wao na vizazi vijavyo......huwezi kumsusia ngedere shamba la mahindi lakini utahakikisha unamdhibiti ngedere ili mahindi yapatikane shambani......
Mkuu elewa mada kwanza , hapo nilikua namjibu mtu anasema si vyema kwenda nje kwa maana tutakuwa manamba kwa mabeberu ili hali hapa bongo graduate hatma yao ipo kwa hao wanasiasa wanaotembelea V8
 
Haya ni maneno ya kisiasa ya mdomoni tu hayafanyi kazi katika real world environment!

Hata huko nchi kama Australia na canada vijana wanatoka vijijini kwao, kuja mijini au kwenda nchii nyinginene... nasio vijana wote wanataka kufanya kazi zote huko wanchagua chagua kwasababu nchi nyingine wanancji wanalipwa na serikali benefits hata kama haqana ajira.

Na ndio maana serikali zao zikaanzosha merit based visa.. kwaajili ya kusaka wafanyakazi kutoka nchi nyingine.. !

Nikuulize unmsahuri nini kijana aliyehitimu ualimu chuo kikuu mwaka 2018 hadi leo haja pata ajira , serikali yake ilikaa takribani miaka minne bila kutoa ajira yoyote mpya..

leo hii unamshauti eti usiende kwa "mabeberu" are fckn kidding me??.
Nafasi zinatangazwa 1000 wana apply 7,000

wakikosa nafasi mnaongea kirahisi tu piga boda boda au kalime tikiti sijui mahindi... this is nonsense...!

Ushauri wangu kwa vijana wote wanaotoka familia za kipato cha chini usikubalj kudumaza akili ... kuona fursa pekee za kufanya hapa baada ya kuhitimu chuo / au fani uliyosomea ni kumiliki boda boda , kuuza vitu vya udalali mtandaoni!

Hakuna ubaya kwenye kufanya hivyo ila fanya hivyo huku ukiwa unapambana kusaka fursa...za ajira kwa fani yako au more professional career ambayo itakuongzea skills na experience kadei muda unavyokwenda..!

Huo ubeberu ni how do you perceived it??
Hata hapa mwalimu anayefundisha huko nanjilinji ndenga na maji unajuwa hali yake?

Madakatari huko bush wanalalamikia vifaa tiba hakuna mazingira magumu ya kazi na hakuna solution mtu kama huyu akiona fursa nje kwanini asiende??
"Madakatari huko bush wanalalamikia vifaa tiba hakuna mazingira magumu ya kazi na hakuna solution mtu kama huyu akiona fursa nje kwanini asiende??" hapa inaonyesha jinsi gani usivyo na uelewa, wewe ukikimbilia nje ndo vifaa tiba na mazingira ya kazi yataboreka huko bush? au unategemea mzungu atoe kwao ndo akawatibu huko bush......huna hoja zilizoshiba zaidi ya mihemko, kujaribu kumsusia ngedere shamba la mahindi.
 
"Madakatari huko bush wanalalamikia vifaa tiba hakuna mazingira magumu ya kazi na hakuna solution mtu kama huyu akiona fursa nje kwanini asiende??" hapa inaonyesha jinsi gani usivyo na uelewa, wewe ukikimbilia nje ndo vifaa tiba na mazingira ya kazi yataboreka huko bush? au unategemea mzungu atoe kwao ndo akawatibu huko bush......huna hoja zilizoshiba zaidi ya mihemko, kujaribu kumsusia ngedere shamba la mahindi.
Ndio mkuu tunategemea misaada ya vifaa tiba na madawa kutoka taasisis za nje zitusaidie..
nasio mpaka wakutangazie kuwa ni kwa hisani ya watu wa marekani etc.


Tuachane na hayo tu discuss fursa za nje ya mipaka yetu kama ilivyo dhumuni la uzi huu!!
 
Ndio mkuu tunategemea misaada ya vifaa tiba na madawa kutoka taasisis za nje zitusaidie..
nasio mpaka wakutangazie kuwa ni kwa hisani ya watu wa marekani etc.


Tuachane na hayo tu discuss fursa za nje ya mipaka yetu kama ilivyo dhumuni la uzi huu!!
Fursa zipo, sema tofauti na wakenya sisi hatujawa na watu wengi huko ambao wangeweza kusaidia kupata michongo au kualika wenzetu kwenda huko kama watalii ili mambo mengine yaendelee. Pia vijana wanaweza kwenda kupitia fursa za scholarship, ambapo wanaweza ku opt kuendelea na maisha huko. Kuna dada mmoja mkenya yupo marekani huwa anatoa video U-tube kujaribu kutoa uzoefu wake mfano kazi ambazo unatakiwa kuanza kufanya ili kuweza ku settle kabla hujatafuta fursa zaidi.......ni vizuri wale wachache wanaopata fursa kutengeneza network na wakenya kwa sababu wao tayari ni wengi huko kuweza kuwasaidia na wabongo....na pia hili la kutengeneza network na wakenya litasaidia kupata company kupunguza upweke kwa sababu watanzania wengi hawana ustahimilivu wa kuishi nje ya mipaka ya nchi yao.
 
Fursa zipo, sema tofauti na wakenya sisi hatujawa na watu wengi huko ambao wangeweza kusaidia kupata michongo au kualika wenzetu kwenda huko kama watalii ili mambo mengine yaendelee. Pia vijana wanaweza kwenda kupitia fursa za scholarship, ambapo wanaweza ku opt kuendelea na maisha huko. Kuna dada mmoja mkenya yupo marekani huwa anatoa video U-tube kujaribu kutoa uzoefu wake mfano kazi ambazo unatakiwa kuanza kufanya ili kuweza ku settle kabla hujatafuta fursa zaidi.......ni vizuri wale wachache wanaopata fursa kutengeneza network na wakenya kwa sababu wao tayari ni wengi huko kuweza kuwasaidia na wabongo....na pia hili la kutengeneza network na wakenya litasaidia kupata company kupunguza upweke kwa sababu watanzania wengi hawana ustahimilivu wa kuishi nje ya mipaka ya nchi yao.
Hapa umewasilisha vitu muhimu sana... !
 
Fursa zipo, sema tofauti na wakenya sisi hatujawa na watu wengi huko ambao wangeweza kusaidia kupata michongo au kualika wenzetu kwenda huko kama watalii ili mambo mengine yaendelee. Pia vijana wanaweza kwenda kupitia fursa za scholarship, ambapo wanaweza ku opt kuendelea na maisha huko. Kuna dada mmoja mkenya yupo marekani huwa anatoa video U-tube kujaribu kutoa uzoefu wake mfano kazi ambazo unatakiwa kuanza kufanya ili kuweza ku settle kabla hujatafuta fursa zaidi.......ni vizuri wale wachache wanaopata fursa kutengeneza network na wakenya kwa sababu wao tayari ni wengi huko kuweza kuwasaidia na wabongo....na pia hili la kutengeneza network na wakenya litasaidia kupata company kupunguza upweke kwa sababu watanzania wengi hawana ustahimilivu wa kuishi nje ya mipaka ya nchi yao.
msaada tutani, huyo dada mkenya anatumia jina gani youtube?
 
Nilicho jifunza ktk mambo haya , mukiwa wengi ktk michakato hii basi mafanikio ni makubwa kuliko mkifanya wachache coz wanao omba ni kutoka nchi nyingi za Africa an Asia hvo tuna kumbana na challenge za nchi nyingi sasa ukiomba wewe kama wewe jua Tanzania ina pigwa bao vizuri tu na pia sis vijana wa Tanzania tumezidi kuwa wajinga tupo tayari kuufata au kuujua upuuzi tena kwa gharama kubwa kuliko kujua lenye faida au maslahi nalo iwe kwa sasa au mbeleni hapo ndipo gap linaanza, information ni kitu kikubwa na chenye nguvu sna sna, baada ya kupata information kinacho fata ni kufanyia kazi , tukiwa tuna tafuta useful information na tukiungana basi tuta tusua haraka sna

note ukitaka scholarship kwa wepesi sna basi chukua postgraduate na sio undergraduate pia omba vyuo mbali mbali ili ujiweke ktk position nzuri na usinga'ng'anie vyuo vinvyofundisha kwa lugha ya kiingereza tu maana huko competition ni kubwa sna mana kuna nchi kama kenya, Nigeria nk
Pia kufanya mitihani ya ilets ya lugha ya kiingereza
Note kwa yoyote ata kayefanikiwa kusoma CANADA basi yeye kutoboa ni dk sifuri tu 😂😂😂😂 how? , ni rahisi kubaki huko huko CANADA baada ya kumaliza masomo na kupewa resident permit ( work permit ) kuliko marekani au nchi nyingi za ulaya, pia Australia na new Zealand wanafanya kama canada kama sikosei
Saivi vyuo vyote haijalishi ni vya Asia au Europe ni lazima uwe na cheti cha lugha.
 
Kwanza nikupongeze kwa moyo wako wa upendo na kujitoa ila lai au maoni yangu tumuombe mungu ili tuwe na upendo sisi sote, Watanzania tumetawaliwa na ubinafsi , roho mbaya na chuki ndio maana Leo kuna ugumu kwa sisi Ku fanikiwa , wakenya wana magroup very useful kwa kusaidiana tena vitu sensitive ila sisi wa bongo sasa ni ujinga na umbea, mkenya akifanikiwa basi zalima ata waambia wenzake A to ź ngoja nitoe usuhuda kuna mkenya aliomba mkenya aliye nje ( marekani, Germany au British ) kwa ajiri ya ku verification ya account basi dk kadhaa wakenya wa Germany - Munich , USA na England walikuja chap na wapo tayari ku msaidia, pia wana elekezana namna ya maswali ya ubalozi na kuya jibu yaani huwa nashangaa sna tena wako free sna kusaidiana ili wasafiri

Tatizo wabongo sasa mtu anaweza akajitoa hivyo ndo kwanza wakaenda kumroga au kumfitinisha… bongo siku hizi roho nzuri ni kujitafutia matatizo
 
Back
Top Bottom