Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Dvprogram.state.gov

Ni official website ya kuapply Green card lottery/ diversity visa lottery program ya Marekani
 
Na application bado zina3ndelea hadi November 8 ...
 
Asante kwa tag, naomba mwenye taarifa ya namna ya kuingia Canada au mchongo wa wazi anijuze l...nasema wa wazi mfano kupitia scholarship etc. maana siku hizi kupigwa kwingi
Watafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hilo
 
Watafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hilo
Hawa wahindi sio magumashi??

Taasisi zipo nyingi ila kwa mchongo wa shule global educational link ndio funga kazi...

Ingia insta angalia kqzi wanayo piga...

Hawa wengine bado sija waelewa labda kama kuna mtu ana ushahidi

Eduflyx wata kuchaji USD3000 hawa wahindi kwenda ng’ambo... na kazi ni labour sio za kukaa ofisini japo kama sija waamini bado

Wenye uhakika nao na walio wahi kwenda kupitia hao wanq weza kutoa ushuhuda
 
30957ED3-5A4B-49A7-B7C6-A5F5FACDDE8B.png
 
Hawa wahindi sio magumashi??

Taasisi zipo nyingi ila kwa mchongo wa shule global educational link ndio funga kazi...

Ingia insta angalia kqzi wanayo piga...

Hawa wengine bado sija waelewa labda kama kuna mtu ana ushahidi

Eduflyx wata kuchaji USD3000 hawa wahindi kwenda ng’ambo... na kazi ni labour sio za kukaa ofisini japo kama sija waamini bado

Wenye uhakika nao na walio wahi kwenda kupitia hao wanq weza kutoa ushuhuda
Global mi niliend nao kusoma abroad lakini sasa utapeli anh unalipa 20m+ ada aizidi 3m nolichoka plus ukipata shida imekula kwako tuulize tunaowajua ata atutaki wasikia
 
Hawa wahindi sio magumashi??

Taasisi zipo nyingi ila kwa mchongo wa shule global educational link ndio funga kazi...

Ingia insta angalia kqzi wanayo piga...

Hawa wengine bado sija waelewa labda kama kuna mtu ana ushahidi

Eduflyx wata kuchaji USD3000 hawa wahindi kwenda ng’ambo... na kazi ni labour sio za kukaa ofisini japo kama sija waamini bado

Wenye uhakika nao na walio wahi kwenda kupitia hao wanq weza kutoa ushuhuda
Mi nilienda kwao pale ni mtz ceo afu mbona sema tu vigezo nilikuw sina nmeonganisha shule mpaka masters so sina experience akanambia Canada watakataa alinijibu vizur tu ata kabla sijaanza process
 
WTANZANIA ACHENI UJINGA

UNAMPLEKAJE MTOTO WAKO KUSOMA INDIA??

KAMA UNAMPELEKA INDIA NI BORA MPELEKE ULAYA KAMA DEBMARK, NORWAY, HOLLAND, SWISS. Uhakika wa Kazi atakua nao kwenye hizo nchi.

ASIA umnapoteza MUDA NA WAKATI. mtoto anarudi TZ MAZIGANYANZA
 
Back
Top Bottom