Yaani unataka kusagwa na kukobolewa kama Ester UlayaMI nataka mpenzi wa jinsia yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unataka kusagwa na kukobolewa kama Ester UlayaMI nataka mpenzi wa jinsia yangu
Daah inabd nikutafte nianze kuapplyYes immigrants Makes money Abroad
Watafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hiloAsante kwa tag, naomba mwenye taarifa ya namna ya kuingia Canada au mchongo wa wazi anijuze l...nasema wa wazi mfano kupitia scholarship etc. maana siku hizi kupigwa kwingi
Thank uu nitafanya hvoWatafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hilo
Watafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hilo
Hawa wahindi sio magumashi??Watafute eduflyx wapo holiday inn qu unawez watafuta insta kwa jina hilo
Global mi niliend nao kusoma abroad lakini sasa utapeli anh unalipa 20m+ ada aizidi 3m nolichoka plus ukipata shida imekula kwako tuulize tunaowajua ata atutaki wasikiaHawa wahindi sio magumashi??
Taasisi zipo nyingi ila kwa mchongo wa shule global educational link ndio funga kazi...
Ingia insta angalia kqzi wanayo piga...
Hawa wengine bado sija waelewa labda kama kuna mtu ana ushahidi
Eduflyx wata kuchaji USD3000 hawa wahindi kwenda ng’ambo... na kazi ni labour sio za kukaa ofisini japo kama sija waamini bado
Wenye uhakika nao na walio wahi kwenda kupitia hao wanq weza kutoa ushuhuda
Mi nilienda kwao pale ni mtz ceo afu mbona sema tu vigezo nilikuw sina nmeonganisha shule mpaka masters so sina experience akanambia Canada watakataa alinijibu vizur tu ata kabla sijaanza processHawa wahindi sio magumashi??
Taasisi zipo nyingi ila kwa mchongo wa shule global educational link ndio funga kazi...
Ingia insta angalia kqzi wanayo piga...
Hawa wengine bado sija waelewa labda kama kuna mtu ana ushahidi
Eduflyx wata kuchaji USD3000 hawa wahindi kwenda ng’ambo... na kazi ni labour sio za kukaa ofisini japo kama sija waamini bado
Wenye uhakika nao na walio wahi kwenda kupitia hao wanq weza kutoa ushuhuda
Kumbe ni magumashi mzeeGlobal mi niliend nao kusoma abroad lakini sasa utapeli anh unalipa 20m+ ada aizidi 3m nolichoka plus ukipata shida imekula kwako tuulize tunaowajua ata atutaki wasikia