Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Habari za wakati huu;
Mkoa wa Tabora ni mooa ulioko Karibi na Eneo la Magharibi mwa Tanzania.Ni mmoja katika ya Mikoa ya mwanzoni kabisa kukua.Ni mkoa wenye idadi kubwa sana ya watu ukiwa mkoa wa pili kwa idadi ya watu ukaichilia Mkoa wa Dar es Salaam.
Kutokana na Idadi hii ya watu Mkoa huu una fursa nyingi sana za kiuchumi na kibiashara ambazo ziaweza kusaidia katika Ujenzi wa uchumi wa Mkoa wenyewe na maeneo ya JIRANI.
Je ni shughuli gani za kiuchumi na kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika Mkoa huu.Karibu Tujadili zaidi.Iwapo wewe ni Mkazi wa Mkoa huu unaweza kuleta mawazo ambayo yatahamasisha zaidi kukua kwa mkoa huu kiuchumi na kibiashara.
Karibu Tujadili
Mkoa wa Tabora ni mooa ulioko Karibi na Eneo la Magharibi mwa Tanzania.Ni mmoja katika ya Mikoa ya mwanzoni kabisa kukua.Ni mkoa wenye idadi kubwa sana ya watu ukiwa mkoa wa pili kwa idadi ya watu ukaichilia Mkoa wa Dar es Salaam.
Kutokana na Idadi hii ya watu Mkoa huu una fursa nyingi sana za kiuchumi na kibiashara ambazo ziaweza kusaidia katika Ujenzi wa uchumi wa Mkoa wenyewe na maeneo ya JIRANI.
Je ni shughuli gani za kiuchumi na kibiashara ambazo zinaweza kufanyika katika Mkoa huu.Karibu Tujadili zaidi.Iwapo wewe ni Mkazi wa Mkoa huu unaweza kuleta mawazo ambayo yatahamasisha zaidi kukua kwa mkoa huu kiuchumi na kibiashara.
Karibu Tujadili