Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto

itabidi akamzalishe chapchap, japo bibi atakuwa anamzidi akili kwenye mambo ya uzazi dogo atakuwa na wakati mgumu
 
Igweeeeeee!! 😍😍
Umemwaga madini tupu.!!
 
Ng'ombe wa mahali wanakuwa hivyo?
 
Golf Club ya Dar ndio iko kama jangwa hivyo full mivumbi😁, si bora wangefanyia uwanja wa taifa mule
 
Hii ndoa ikifila 14 Feb 2026 utakuwq ni MUUJIZA...

.Gold digger amekutana na Gari ya Mshahara ..
Huyo Mbugila wa Kuitwa Azizi Ki inawezekana akakutana na yaliomfika simp wa karne ya sasa McPilipili 🤣 kabla ya Mama Samia kuachia madaraka ngwe ijayo.

Atabakishiwa kende tu😀 huku mwanamke akiwa kashajengewa apartment za kutosha za kuchukua kodi maeneo muhimu mjini DSM.
 
Aziz Ki atakuja kujua kwanini huyo Hamisa aliachwa na wanaume wengi na wenye fedha na kumzalisha tu baada ya mwaka hivi, sasa hivi yuko katika ulevi wa mapenzi, subiri ulevi wa mapenzi uishe..!!
Atapoanza kwenda kugongwa Dubai kwa madau ya million 30/30 yale Mbukinabe atajua hajui. Malaya mpenda pesa hafugwagi ndani na huwa haridhiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…