Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mobeto Hamissa ni mjasiriamali aliyekubuhuView attachment 3237151
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo familia ya Hamisa Mobetto ilihitaji kama Mahari ya kumuoza binti yao.
View attachment 3237153
Tukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
View attachment 3237152
Soma: Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
Kuna mabinti waliolewa na bikra lakini ndoa hazikudumu. Kwa hiyo haya mambo hakuna mwenye ufundi nayo. Ni neema ya Mungu tuWell said mkuu watu wasichukulie opinion zao kama ndio fact, kila mtu ana mtazamo wake. Ndoa yake haiwezi kudumu au kutodumu kwa sababu ni single mum.
Ni kweliKikubwa jamaa akitoka kwenye peak ndoa iendelee... the guy is young and foolish, while bi dada is older and strategist, so kheri kwao....
And the to me the only beautiful part about this wedding, wanae wamepata present father figure, they will turn out amazing kama hii ndoa ikidumu kwa uzuri
Emannuel ebue wa kizazi kipyaHuyu jamaa atakuja ajute maisha yake yote.
Kabisa mkuu nakubaliana na wewe 💯Kuna mabintu waliolewa na bikra lakini ndoa hazikudumu. Kwa hiyo haya mambo hakuna mwenye ufundi nayo. Ni neema ya Mungu tu
KafanyajeKwa Single mother.
Naona mliooa malaya wastaafu mmempata simp wa kuwawakilishaHalafu bi harusi sio bikira ila mwamba kalipa mahari nono.
Nyie mliooa mabikira mlilipa mahari ya mbuzi wangapi?
Timu kataa ndoa na timu usioe mwanamke asiye bikira endeleeni kupiga porojo zenu jamaa keshamchukua demu
Tafuta hela acha majunguNaona mliooa malaya wastaafu mmempata simp wa kuwawakilisha
Hela natafuta dada anguTafuta hela
Hii ndoa ikifila 14 Feb 2026 utakuwq ni MUUJIZA...hamisa mobeto ni single maza watoto 3 kila mmoja na baba yake
anaolewa na rich kid azziz k mwenye 78m salary
kwenye maisha kuna kitu kinatwa bahati
Duuh kumbe we changu 😁Hela naitafuta nikiwa katika biashara ya dada poa
KWELI YANGA TUTAPATA UBINGWA MSIMU HUU? DAAH WACHAAA TUONE,View attachment 3237151
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo familia ya Hamisa Mobetto ilihitaji kama Mahari ya kumuoza binti yao.
View attachment 3237153
Tukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
View attachment 3237152
Soma: Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
Halafu alivyokua mtandare usishangae akitimba kwenye harusi 😀😀😀Bila shaka Chibu yupo anacheka
Huyu mwamba katudhalilisha, hatuwezi kuwa na mchezaji simp. Injinia amuuze tuKWELI YANGA TUTAPATA UBINGWA MSIMU HUU? DAAH WACHAAA TUONE,
Usinitubue maumivu yangu ... Nimeanza kuliaaaa tenaa!makutupora nimelia sana🥲