Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto

Fuso mbili za Ng’ombe, Mahari ya Hamisa Mobetto

View attachment 3237151
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo familia ya Hamisa Mobetto ilihitaji kama Mahari ya kumuoza binti yao.
View attachment 3237153
Tukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
View attachment 3237152

Soma: Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
Mobeto Hamissa ni mjasiriamali aliyekubuhu
 
Kikubwa jamaa akitoka kwenye peak ndoa iendelee... the guy is young and foolish, while bi dada is older and strategist, so kheri kwao....

And the to me the only beautiful part about this wedding, wanae wamepata present father figure, they will turn out amazing kama hii ndoa ikidumu kwa uzuri
Ni kweli

Japo haya mambo hayatabiriki..
 
View attachment 3237151
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo familia ya Hamisa Mobetto ilihitaji kama Mahari ya kumuoza binti yao.
View attachment 3237153
Tukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
View attachment 3237152

Soma: Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
KWELI YANGA TUTAPATA UBINGWA MSIMU HUU? DAAH WACHAAA TUONE,
 
Back
Top Bottom