ChalaX Nyato
Member
- Aug 24, 2024
- 92
- 167
Sina roho mbaya, lakini naamini Kijana wetu atajuta sanaaa. Ndoa ya mkataba hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaamini macho yao 😀😀Wakaka wa jf wanatukana🤣
Nawaombea heri ndio maana nawachana kwa mienendo yao isiyofaa. Ningekua siwatakii heri ningekaa kimya au kuwapongeza kwa mabaya yao.Mkuu mbona huwa huwaombei heri kabisa wanawake, una issue gani binafsi na hawa mama zetu?
Hawa watoto kawazaa na dada zake au shangazi zake?Mfano mwanamke type ya Hamisa Mobeto single mother mwenye watoto watatu kila mtoto ana baba ake mwanamke kama huyu ni red flag.
Halafu Huyo Hamisa hajamzidi umri Janja kweli??Huyu dogo yatamkuta ya kina ndikumana
Well said mkuu watu wasichukulie opinion zao kama ndio fact, kila mtu ana mtazamo wake. Ndoa yake haiwezi kudumu au kutodumu kwa sababu ni single mum.Kama kuna watu wanahonga range kwa huyo single mother, ni nini kinakufanya uamini hamisa kuolewa na aziz ki ni bahati.
Kwangu mimi naona kawaida tu, zaidi ya hizi maneno za mitandaoni. Single mothers wanaolewa hata wakivuka 40 huku mitaani
A woman is a gatekeeper of sex and fertility, nothing can happen without a woman's consent and to know if a man is serious is by marrying her or atleast visitting her perents to introduce himself official. Any woman accept a man to impregnant her without that happen she is an idiot and she deserve whatever shit comes with consequencies of her poor decisionHawa watoto kawazaa na dada zake au shangazi zake?
Me nawatakia kila la kheri kwenye maisha yao ya kujenga familia, ila hamisa pisi ya ukwel wallah, naona wivuuuuu.Wakaka wa jf wanatukana
Wamefura sana kwenye hizi post hadi najiuliza walimchangia huyo Azizk?najiuliza hawa ni viumbe wa namna gani humu?Wakaka wa jf wanatukana🤣
Wao wenyewe Hamisa wanamtaka tatizo hela ndio hawana😂Wamefura sana kwenye hizi post hadi najiuliza walimchangia huyo Azizk?najiuliza hawa ni viumbe wa namna gani humu?
Na kuachana ni matokeo tu
nikiwa naye siruhusiwi kuota au kuangalia uumbaji wa allah?Si una mke wewe!
Mtashangaa wanadumu.Anafikiri wakina vunjabei waliopiga na kusepa ni wajinga
Hawawezi kudumu, hapo demu kafata hela na spotlight tu na maisha ya soka huwa sio marefuMtashangaa wanadumu.
Na hapo tunaambiwa sherehe itaongozwa na ustaadh hatujaonja, je ingekuwa Katoliki wanakoogelea wangeandikajeTukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
Halafu bi harusi sio bikira ila mwamba kalipa mahari nono.Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30