Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Duh siku hizi umekuwa mtumwa wa tamaduni wa kiarabu mzeeDuh me muislamu huko mnaenda nyie
Umezidiwa akili na waarabu? Akina Muhammad na akina maswahaba abubakar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh siku hizi umekuwa mtumwa wa tamaduni wa kiarabu mzeeDuh me muislamu huko mnaenda nyie
Uongorich kid azziz k mwenye 78m salary
hamisa mobeto ni single maza watoto 3 kila mmoja na baba yake
anaolewa na rich kid azziz k mwenye 78m salary
kwenye maisha kuna kitu kinatwa bahati
Wanataka kumpangia Aziz maamuzi yake binafsi na matumizi ya pesa zake.Wakaka wa jf wanatukana[emoji1787]
ngumu kutabiri Hali ya ndoa itakuwajeHuyu jamaa atakuja ajute maisha yake yote.
View attachment 3237151
Nyota wa Klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki amekamilisha utaratibu wa mahari kwa ajili ya kumuoa Hamisa Mobetto, Aziz Ki ametoa jumla ya Ngo'mbe 30 ikiwa kama sehemu tu ya mahitaji mengine ambayo familia ya Hamisa Mobetto ilihitaji kama Mahari ya kumuoza binti yao.
View attachment 3237153
Tukio hilo limefanyika katika viwanja vya Golf Jijini Dar Es Salaam na ndoa tayari imepangwa kufanyika Kesho. Februari 19 ndio siku ya sherehe ya ndoa yao.
View attachment 3237152
Soma: Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
Ndo kitu pekee wanaweza 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 bomu avae mwingine wanateseka waoWakaka wa jf wanatukana🤣
Kikubwa jamaa akitoka kwenye peak ndoa iendelee... the guy is young and foolish, while bi dada is older and strategist, so kheri kwao....Kama kuna watu wanahonga range kwa huyo single mother, ni nini kinakufanya uamini hamisa kuolewa na aziz ki ni bahati.
Kwangu mimi naona kawaida tu, zaidi ya hizi maneno za mitandaoni. Single mothers wanaolewa hata wakivuka 40 huku mitaani
Dogo janja yupo wapi jamanBaada ya mwaka na nusu, Aziz Ki hataamini kuachwa na huyo mwanamke, ndio atajua kuna wanawake hawaolei na mwanaume bali wanaolewa na fedha tu
Mkuu mbona huwa huwaombei heri kabisa wanawake, una issue gani binafsi na hawa mama zetu?Anafikiri wakina vunjabei waliopiga na kusepa ni wajinga
Hamna ndoa hapo, mmoja yupo kimaslahi zaidingumu kutabiri Hali ya ndoa itakuwaje