Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Mahitaji
Boga
Sukari
Tui jepesi la nazi
Tui zito
Hiliki
Namna ya kutaarisha
Menya boga lako then katakata vipande
Lichemshe na maji kwa muda mdogo kama dakika 15 alafu mwaga maji....
Weka tui jepesi na hiliki
Weka sukar
Wacha ichemke
Mimina tui zito acha ichemke kwa dakika 5.....
Tayar kwa kuliwa
Nb hayo matui yasiwe mengi kutokana na boga ni laini kuiva ..
Ngoja namimi nimwibie ufundi mswitie...Nawashukuru sana huwa nawafuatilia japo kimya kimya.Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.
Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe
Dada farhina, miim naomba kujuzwa jinsi ya kupika makaroni ya kuku.. Ntashukuru sanaWeka futari(chakula) upendacho kula na unahitaji kupika ila tu hukijui/umesahau namna ya kupika tutakumbushana biidhnillah en shaAllah......
Mrs Kharusy Angel Nylon rasai Ennie gorgeousmimi na wengine.....
Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.
Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe
farkhina na faluda je??Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.
Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe
Ngoja namimi nimwibie ufundi mswitie...Nawashukuru sana huwa nawafuatilia japo kimya kimya.
Bibie samahani lakini, nyumbani wapi?Mahitaji
Boga
Sukari
Tui jepesi la nazi
Tui zito
Hiliki
Namna ya kutaarisha
Menya boga lako then katakata vipande
Lichemshe na maji kwa muda mdogo kama dakika 15 alafu mwaga maji....
Weka tui jepesi na hiliki
Weka sukar
Wacha ichemke
Mimina tui zito acha ichemke kwa dakika 5.....
Tayar kwa kuliwa
Nb hayo matui yasiwe mengi kutokana na boga ni laini kuiva ..
farkhina na faluda je??
Mm faluda huchemsha zile Chinese grass na maji kwanza halafu na mimina kwenye maziwa niliyochemsha na kuweka sukari.
Namimina kwenye vibakuli km vinne naweka arki kila kibakuli na flavour yake. Naweka kwa fridge tayar kwa kula.
Uzuri wa hii isiwe ngumu sana so unakisia yale majani yasiwee mengi.
Nb:
Ukiitoa kwenye fridge ukakuta ni ngumu na si makusudio yako USITUPE TAFADHALI rudisha jikoni engezea na maziwa au maji kwa kiasi utachopenda weka frijini...
Hongera sana ulitengeneza za samaki au nyama
Bibie samahani lakini, nyumbani wapi?
Zenji....why?
Labda kavutiwa na mapishi yako anataka alete posa yakhee!!
Inatamanisha hiyo! hili jukwaa halifai kupita swaum ikiwa kali. Maana hapa mate yanandondoka na ni usiku, ingekuwa mchana si kasheshe!
Ntapendekeza alete kwako......am somebody's wife