- Thread starter
- #81
Asante somo yangu...hadi raha kuwa na somo kama wewe...
Mbona nikiolewa siachiki mie....!
Hahahahaha ila usibe mjuba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante somo yangu...hadi raha kuwa na somo kama wewe...
Mbona nikiolewa siachiki mie....!
jama nmerudi tena, nipeni maujuzi kuhusu kaimati, nkishazikaanga, ile shira yake ndo sjaipatia, naomba kuelekezwa ili zisiwe kama visheti
Shira umeifanya nzito sana. Iengeze maji
Weka futari(chakula) upendacho kula na unahitaji kupika ila tu hukijui/umesahau namna ya kupika tutakumbushana biidhnillah en shaAllah......
Mrs Kharusy Angel Nylon rasai Ennie gorgeousmimi na wengine.....
Wacha wee. MashAllah
Basi nlifkir umempikia weye lol.....
Duuuu hahahaahaaaNami nlijua kapiga kwako siku alopata mwaliko.
Kabla hatujawa Mr and Mrs
Napenda sana vipopoo sijui kama wanavijua humu jf
Basi nlifkir umempikia weye lol.....
Binafsi navijua japo wachepukwaji na wachepukaji watakuja na tafsiri zao
unitumie na mimi.....
hivi Dar sehem gani wanauza marashii my dear.....
Asante somo yangu...hadi raha kuwa na somo kama wewe...
Mbona nikiolewa siachiki mie....!
Hiki hapa chetezo unaweka mkaa ukimaliza unasafisha
Asante...ila nlivyo mvivu kukoleza moto sasa...
Asante...ila nlivyo mvivu kukoleza moto sasa...
Mimi naweka mkaa wangu kwenye jiko la gas dkk 5 nyingi moto ushashika.