Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Dunia ni kizungumkuti. Wazungu koko, ni mkosi kwenye hii sayari.
 
jifunze kuwa mstaarabu. ulikuwa na uwezo wa kuanzisha thread yako na ndo maana kuna watu huwa wanakusema kuwa una tatizo kujiona ni much know. kila mtu ana uwezo wa kuelezea kwa kiwango anachotaka au anachoona kinafaa kulingana na muktadha. si ustaarabu kudhani wewe ndo unajua kila kitu na hii inasababisha sasa wenye akili waone kuwa ni mjivuni.

kama ulikuwa na ya kuongeza haikuwa na ulazima kuja kuandika ulichoandika. unayotaja yote nayafahamu na kama kuyaandika watu wameandika vitabu vyenye kurasa mbalimbali. kuna ambaye ameandika kurasa mia na mwingine ameandika kurasa 1000. but bado hakuna anayesema ulichosema wewe. busara na hekima ni jambo muhimu sana.nliona sehemu kuna watu wameandika kuwa huwezi mfikia hata nusu xxxx. na wenye akili wakaja kukutetea kuwa lengo ni kila mtu kuandika anachokifaham kwa namna anavyotaka na si kushindana sababu mwisho wa siku hizi zoooote ni tafsiri tu hakuna mwenye ukweli halisi au aliyevumbua ukweli.


Umepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....

Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...

Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
 
Mkuu,

Haya yalishaisha siku nyingi sana na niliomba radhi kwa wewe na wale ambao waliielewa text yangu tofauti na nilivyotaka kumaanisha...

Naomba jambo hili liishe mkuu na sikuwa lengo la mashindano na sijawahi kushindana wala kufikiria hivyo hata siku moja,kilichotokea ni watu wachache kutokuelewa kile nilichomaanisha kwenye post hiyo.....

Siwezi kumzuia mtu kuwaza atakavyo mkuu,nipo JF kwa zaidi ya miaka 6 sasa,sijawahi kabisa kushindana na mtu yoyote kwasababu sioni sababu ya kufanya hivyo na nimekuwa naandika mambo mengi sana hapa.Watu wanaoona hivyo ni fikra zao tu au labda ni uoga wao.....

Nashukuru kwa kunielewa mkuu....
 
nashukuru.tuish kwa amani haina haja ya kugombana/kulumbana si sote bado vijana. sikuwa nmeiona hiyo text. tuendelee kushare uzoefu mbalimbali.karibu sana.
 
Good story.....
 
Clone ipo mpaka kwa wasanii wengi wanaovuma wamesha kufa mfano mzuri comedian dave chappele,eminem,dr dre nk wamewareplace na clones.nimekusoma napoleone
Ichi kitu nimekiona katika movie flan imetoka mwaka huu.... kuna lines mzungu anazisema kwamba kwann blacks wako physical fit, wako accurate na wana speed, wana muono halisi(ingawa hapa sijui alimaanisha nn(true vision)).... so wanachofanya, kuna family ya mtaalamu wa nurology anawabadili memory na kupachika memory ya mzungu..... so yule mbongo anakuwa mzungu...
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mkuu hapo kwenye human Clones umenikumbusha series moja inaitwa Orphan Black.
 
Hahahaaa...

Nimecheka sana ila sio mbaya mmejitahidi kuandika na kusimuliana vyema lakini kumbuka uchawi upo tena wa aina nyingi sana duniani ni uchawi wa kila namna unafanyika tofauti ni majina na sehemu tu...!! ila uchawi ni ule ule.

kumbukeni yote kwa yote hizo habari ni watu walikaa wakahisi na kuandika juu ya habari hizo, Freemasonry na illuminati ambao mungu wao anaitwa the baphomet ni vyama ambavyo sio vya siri kwa sababu kila huduma zao na kila kitu chao kipo wazi na vinajulikana, kuna vyama ambavyo ni vya siri la hasha ni siri kweli kweli.


Yote kwa yote sitaeleza mengi kwa sababu hata mimi nilikuwa mfuatiliaji mzuri na nikabahatika kupata wakala ambaye alinifanyia mpango wa kuingia kwenye chama fulani hivi kilicho anzishwa hapa Tanzania na afrika ya mashariki mwaka 1948.


Endeleeni kujifunza mengi zaidi lakini ukweli ni kwamba hamjaweza kufikia hata robo ya ukweli kuhusu mambo yao.

Ukweli ni mpaka mwanachama halisi atakapo amua kuwaambia na yeye pia hawezi kujua vyote ni kwa sababu ya matabaka tofauti ( levels )


Yote kwa yote muwe na siku njema iliyo na amani tele.
 
tugusie kidogo jina la hicho chama, mm ni member wa chama fulani lakini sio freemason tunajihusisha na jua na sayari
 
Mkuu nipe address I naonekana wewe mwanachama mtiifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…