FY2021/22 Serikali kutoa Trilioni 11 kulipa madeni ya nyuma

Kwa jicho lako limeona hapo lakini bihinde the scane watu wanakamuliwa kupitia tozo mbalimbali kama ilivyo kwa bitozo., ni kama vile unajenga huku unabomoa kule.,
 
Wakandarasi vicheko,
Wazabuni vicheko,
Watumishi vicheko,
Watoa huduma vicheko,

Tuacheni utani huyu mama anapiga kazi sana tu,
Mama oyeeeeeee dore gumba kuendesha Nchi ni Hekima na Maarifa fanya kile unauwezo nacho huwezi kumfurahisha kila Mtu.

#PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Asee bonge la KPI!
 
RAIS ANATOA? HIZI LUGHA.......
 
Waliotufikisha hapo na magenge yao wako kimya kama hawaoni..

Ona hili balaa la awamu ya 5 na mzigo waliomuachia madam president 👇

 
Kama sijaelewa hivi hayo madeni anawalipa kina nani maana wadai wenyewe hali zao mbaya
 
Ni jambo jema,asante kutujuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…