G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

Jamaa yenu anaonekanaga hero kwamba anahutubia akiwa front line...kumbe anatumia green screen technology..wataalamu wa mambo wanasema huenda jamaa yupo Poland kwa sasa
View attachment 2385510
View attachment 2385511

Yupo Poland - jamaa huyu mbwiya unga akili zake sio nzuri hata kidogo ndio maana anakuwa easily manipulated na Anglo-Saxon gang - hana uchungu wowote na Taifa lake wala Waukraine wenzake anatumika tu kama robot,, lakini tunako elekea mbio zake zinakaribia ukingoni hana jinsi.
 
Trubarg kakufafanulia mambo kisomi kabisa lakini kwa kuwa wewe ni mbishi tu by default ie asili yako hasa hasa upendi kabisa Merikani kukosolewa au kuona anazidiwa kete na mataifa shindani, ukiona hivyo unakeleka kweli kweli -mpaka unafukia hatua ya kutumbukiza masuala ya DINI.

Nakushauri revisit post #83 ya mzalendo Trubarg imeandikwa kisomi sana lakini kwenye lay language ambayo kila mtu mwenye akili timamu anaelewa vizuri tu save mwenzetu MK254.

Trubag ndio nini hiyo, tunaongea kuhusu tunachoshuhudia sio hizo nadharia mnazojaza huku....
 
NATO iliundwa kama muungano wa kujihami, na ni dhahiri vitaifa vidogo vidogo majirani wa Urusi vinapaswa kujiunga maana hana hata aibu ya kujipima na kuvinyanyasa, ila vikijiunga NATO huwa anakaa mbali navyo, hawezi hata akakosea njia.
Ona hii ramani litaifa lote hili kuonea kajirani kama haka, japo kamelitoza kamasi...

iwjyug4vdnn81.jpg



Russia_Ukraine_Locator.svg
Hilo la kijani tunaliita kubwa jinga.

URUSI NI KUBWA JINGA LA DUNIA.
 
Wakati mwingine wewe unakuwaga burudani tosha- Zelensky kaondoka mkuku Ikulu kwenda kusalimisha roho yake kwa jirani Poland wewe unasema yupo kwenye ziara ya Kiserikali, hama kweli ukishangaa ya MUSA utaona ya Filauni.

Zelensky ameondoka ziara ya siku mbili kama rais wa nchi, mumejazana humu kuleta propaganda, baada ya hizo siku mbili sijui mtaficha wapi aibu, ila majihadi huwa hamna aibu lazima mtasema kingine.
 
Zelensky ameondoka ziara ya siku mbili kama rais wa nchi, mumejazana humu kuleta propaganda, baada ya hizo siku mbili sijui mtaficha wapi aibu, ila majihadi huwa hamna aibu lazima mtasema kingine.

Wacha kuleta ujinga wako hapo, mujaheedin wako kwenu huko Kenya - nani kakwambia Tanzania tuna tatizo na Al Shaabab - kwa akili zenu za roho na mbaya mgependa sana balaa hilo liikumbe Tanzania kwani atuwajui? msione tunanyamaza mkafikiri tu wajinga, nimelazimika kuyasema haya kwa sababu nimeona umezidi sana, kazi zenu fitina tu mwanzo mwisho, kukumbilia kwenye NGO na taasisi nyingine za kimataifa kujaribu kuzuhia ujenzi wa bomba la mafuta linalo jengwa kutoka Uganda kuja Tanga Tanzania, mlipo shindwa mradi huo kupitia nchini mwenu ndio mkabuni Plan "B" ili tukose wote!! Hapo sijagusia masuala ya kuhamisha Wamasai kutoka Loliondo, hata hapo mnataka kujiingiza na Vi NGO mshenzi kujaribu kuharibia sifa Tanzania.

Leo hii nimeona Mtanzania mwenzetu akilalamika kwamba umesema yeye ni Mujaheedin, just imagine mtu wa watu kakwambia yeye ni mkristo wa dhehebu la Kikatoliki, sasa wewe huu ubavu wa kubatiza/twisha dini hisiyo yake unatok
a wapi au una ajenda zako za siri afatiliwe kwa karibu - unapenda penda penda sana kupandikiza chuki za kidini kiaina/kimtindo unafikiri hatuna akili za kukusoma kisaikolojia - hayo yafanyeni nchini mwenu sio Tanzania - nimeona nisikulazie DAMU.
 
Wacha kuleta ujinga wako hapo, mujaheedin wako kwenu huko - nani kakwambia Tanzania tuna tatizo na Al Shaabab - kwa akili zenu za roho mbaya mgependa sana balaa hilo liikumbe Tanzania kwani atuwajui, msione tunanyamaza mjatuoni tu wajinga, nimelazimika kuyasema haya kwa sababu nimeona umezidi sana, fitina tu mwanzo mwisho kukumbilia kwenye NGO na taasisi nyingine za limataifa kujaribu kuzuhia ujenzi wa bomba la mafuta linalo jengwa kutoka Uganda kuja Tanga Tanzania, mlipo shindwa .mradi huo kupitia nchini mwenu ndio mkabuni Plan "B" ili tukose wote!! Hapo sijagusia masuala ya kuhamisha Wamasai kutoka Lolijondo, hata hapo mnataka kujiingiza na Vi NGO mshenzi, leo hii nimeona Mtanzania mwenzetu alilalamika kwamba unasema yeye ni Mujaheedin kakwambia yeye ni mkristo wa dhehebu la Kikatoliki sasa huu ubavu wa kubatiza/twisha dini hisiyo yake unatok
a wapi au una ajenda zako za siri afatiliwe kwa karibu - unapenda penda penda sana kupandikiza chuki za kidini kiaina unafikiri hatuna akili za kukusoma - yafanyeni nchini mwenu sio Tanzania - nimeona nisikulazie DAMU.

Hatuongei kuhusu Tanzania, haihusiki kwenye vita, na mtatokwa povu zote takbirr ha ha ha
 
unatuchagulia pa kupiga. hii ni vita. kwan marekan ilivyopiga horoshima ilikuwa sio raia
 
Hatuongei kuhusu Tanzania, haihusiki kwenye vita, na mtatokwa povu zote takbirr ha ha ha

Tell you what? Usichukulie kila anaye changia hapa ni "average Joe' Zungumza yanayo husu vita huko Ukraine lakini huna haki ya kuwabatiza baadhi ya watanzania kwamba ni Mujaheedin au sujui wafia DINI!!
 
Kutokana na drones za Iran kuendelea kuchanja mbuga hadi makao makuu ya Ukrain
IMG_20221013_175613.jpg
(Kiev) bila upinzani wowote wa maana. Jeshi la Ukrain Limebakia na option mbili tu.
1. Kuacha kamikaze Drone za Iran zishambulie maeneo Yao critical, kama kambi za jeshi na other facilities.
2. Watumie fighter jets kupambana na hizo drones maana mifumo Yao ya ulinzi imeonekana kutokufanya kazi dhidi ya hizo drones, kwa kifupi hazidunguliki na kwa asilimia Zaidi ya 90 zimefanikiwa kutekeleza malengo.
Ndani ya siku tatu Ukrain umepoteza fighter jets Zaidi ya tatu ambazo waliamua zitumike kupambana na hizo drones. Kumbuka Urusi hatumi drones Peke yake zinakuwa na backup ya fighter jet zao. Sasa wakati pilots wa Ukrain wakiuma meno kudungua hizo drones ambazo kwanza hazina gharama ( Kombora linalotumika linagharama 50times ya bei ya drone) fighter jet za Urusi zinabakia na kazi ndogo tu ya kujichapia na kuzidungua hizo ndege zao. Ndege zingine pia zinaishia kudondoka katika jitihada za kuzidungua hizo drones.
IMG_20221013_175628.jpg
 
Bwana akbar akar umetoweka, turudi frontline acheni kuhangaika na uswazi, kuna vifaa vimekuja kulinda huko.


Front line ipi unayoiongelea??-- vita vya zamani ndivyo vilikuwa na front line, vita vya leo sio rahisi kuiona au kuipata front line kwani inahusisha zaidi na tactics za "hit and run" au remotely controll assaults tactics kwa hali hiyo alichofanya Mrusi kupiga tagets rrandomly ni sawa ili akili ya Zelensky zikae sawa na ajue kwamba anapigana na super power na nchi za magharibi na USA zinampa kibure huku ni yeye na nchi yake ndio wanaangamia, idiot Zelensky.
 
Front line ipi unayoiongelea??-- vita vya zamani ndivyo vilikuwa na front line, vita vya leo sio rahisi kuiona au kuipata front line kwani inahusisha zaidi na tactics za "hit and run" au remotely controll assaults tactics kwa hali hiyo alichofanya Mrusi kupiga tagets rrandomly ni sawa ili akili ya Zelensky zikae sawa na ajue kwamba anapigana na super power na nchi za magharibi na USA zinampa kibure huku ni yeye na nchi yake ndio wanaangamia, idiot Zelensky.

Mliyoikimbia na kwenda kupiga bembea za watoto...takbirr, ila kuna vifaa vinakuja vya kukinga dhidi yake.
 
Back
Top Bottom