Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Crimea ni UkraineDaraja la Crimea ilikuwa military installation? Acha wapigwe kwa ugaidi walioufanya Crimea.
Hizo air defence siyo kitu jipya mkuu...kwa Aina ya mashambulizi anayofanya Urusi, Israel mwenyewe amesema mfumo wao hauwezi fua dafu. Labda kama wangepewa hizo air defence Zaidi ya 1000 na ziwekwe kwenye kila Mita za mraba ndo zingeweza saidia.Cha muhimu kufahamu ni kwamba anachofanya mrusi ni kuoverwelm mifumo ya ulinzi kwa kurusha makombora mengi so wakati mfumo wa ulinzi ukiangaima na hayo makombora, mrusi anaulocate huo mfumo ulipo, then kinachofuata anatumia zile Hypersonic missiles au zile kamikaze drones za my Iran ( geran 2)kudungua hiyo mifumo. Cha kufahamu ni kwamba hakuna mfumo wowote wa kujihami ambao kwa sasa unaweza kudungua hizo Hypersonic missiles, na ni technologist ambayo kwa sasa walioweza kubreak through ni Urusi na China pekee..Mmarekani bado hajawezaUkraine wamepokea kifaa cha kwanza, kitasaidia pakubwa dhidi ya mashambulizi ya uraiani, ili turudi kwenye frontline, Mrusi anabinywa kote.
Labda Mrusi wa BuzaUkraine wamepokea kifaa cha kwanza, kitasaidia pakubwa dhidi ya mashambulizi ya uraiani, ili turudi kwenye frontline, Mrusi anabinywa kote.
Dini gani mkuu? Unanifaham mimi? Mamaangu Mkriso na Babaangu Mkristo tena dhehebu la Roman Catholic! Jinalangu Frank ila siko tayar kushabikia upuuzi alafu nikajuficha kwemye mgongo wa dini.Mahaba ya kidini yanakupofusha unashindwa kuona picha na kuielewa, iangalie tena upate aibu....
![]()
Hizo air defence siyo kitu jipya mkuu...kwa Aina ya mashambulizi anayofanya Urusi, Israel mwenyewe amesema mfumo wao hauwezi fua dafu. Labda kama wangepewa hizo air defence Zaidi ya 1000 na ziwekwe kwenye kila Mita za mraba ndo zingeweza saidia.Cha muhimu kufahamu ni kwamba anachofanya mrusi ni kuoverwelm mifumo ya ulinzi kwa kurusha makombora mengi so wakati mfumo wa ulinzi ukiangaima na hayo makombora, mrusi anaulocate huo mfumo ulipo, then kinachofuata anatumia zile Hypersonic missiles au zile kamikaze drones za my Iran ( geran 2)kudungua hiyo mifumo. Cha kufahamu ni kwamba hakuna mfumo wowote wa kujihami ambao kwa sasa unaweza kudungua hizo Hypersonic missiles, na ni technologist ambayo kwa sasa walioweza kubreak through ni Urusi na China pekee..Mmarekani bado hajaweza
Dini gani mkuu? Unanifaham mimi? Mamaangu Mkriso na Babaangu Mkristo tena dhehebu la Roman Catholic! Jinalangu Frank ila siko tayar kushabikia upuuzi alafu nikajuficha kwemye mgongo wa dini.
Hizo ni propaganda...don't fall on them...mifumo Yao ingekuwa inafanya kazi Leo hii Ukrain wasingekuwa na GizaHamnaa alishambulia kwa 75 ila 41 zikapanguliwa maana zililenga maeneo nyeti, ila zikaachwa hizo zilizopiga bembea na uswazi.
Kifaa kimeshapokelewa....
Nahisi umekula ugoro wwUkristo sio kitu cha kuigwa, hauwezi ukashabikia litaifa lote hilo kujaribu kuparamia na kudhulumu kataifa kadogo tena kwa kupiga makazi ya watu mabomu na kuua wengi kisha ukajiita Mkristo, aidha utakua majirani zako hapo ni hawa watu wa muddy na wameshakuteka akili maana hainiingii akilini.
mabomu yalitupwa 75 ila yakapanguliwa 41 ambayo yalilenga sehemu nyeti, maeneo ya uswazi hayakua yamelindwa, Ukraine hawakujua kwa mlivyo waoga mtashambalia hata bembea za watoto, ila kifaa cha kwanza kimewasili, mtabinywa kote, ili turudi frontline huko mnako pakimbia kama ukoma...
Ona mlivyo waoga mnafuata watoto kwenye bembea..
![]()
We uliyajuaje hayo are you a five star general kwenye jeshi la Ukraine - sijui back ground yako kielimu ni ipi? Who told you, you can easily bring down hypersonic missiles - FYI, all designated targets were hit na ushahidi upo - wewe unatuletea story za vijiweni kwa lengo la kujifariji tu - pole sana.Hivi umesahau mapema mwaka huu ulitwambia kwamba jeshi la Urusi linaelekea kuishiwa missiles nk, sasa za juzi zilitoka kwenye Dunia gani?? Na bado the worst is yet to COME tuone kama NATO na kiranja wao mkuu watatia pua ya moja kwa kwa moja kwenye vita hii - endeleeni kujifariji.
Hilo neno propaganda ndio ushakua msamiati wenu.
Jamaa yenu anaonekanaga hero kwamba anahutubia akiwa front line...kumbe anatumia green screen technology..wataalamu wa mambo wanasema huenda jamaa yupo Poland kwa sasa
View attachment 2385510
View attachment 2385511
Yupo PolandHuyu mlimpa 24 hours, leo bado yupo tena rais kabisa.
Amejificha huko, Huku akitumia green screen kuhadaa watu kwamba yupo front lineWow! Kumbe hadi amekua na jeuri ya kufanya ziara za kimataifa, safi sana.
Hamnaa alishambulia kwa 75 ila 41 zikapanguliwa maana zililenga maeneo nyeti, ila zikaachwa hizo zilizopiga bembea na uswazi.
Kifaa kimeshapokelewa....