G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

Jamaa anapiga mzinga kwenye bembea za watoto kisa ameshindwa kwenye frontline.
Kuna taarifa nimesoma sehemu, alipiga mizinga 84, ila 43 ikapanguliwa yote kisa ililenga maeneo ya kijeshi, ndio jamaa wakapata hasira wakaelekezwa kwa raia.

AA12PT4w.img
Hao watoto wamelelewa na MAGAIDI wakikua wakubwa nawao watakua MAGAIDI

Kwahio acha wawahiwe kabla hawajaja kutusumbua huku DUNIANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawezi akaogopwa maana ameshindwa kuparamia kataifa kadogo jirani, kamemzingua hadi ameamua kutupa mabomu uswahilini....
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia
 
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia
Wanatumia maeneo ya kiraia kuficha silaha na kufanya kambi za jeshi za muda. Zikkllipuliwa wanalialia na kudanganya dunia eti Russia napiga maeneo ya kiraia.
 
Ukraine wanatumia maeneo ya kiraia kudicha silaha na kama kambi za kijeshi. Mrusi anawafuata hukohuko na wanabaki kukamatana wenyewe uchawi eti nani anayewapa Russia habari zao za kiintelejensia

Mumeshindwa kupiga kambi za kijeshi ambazo ndio zenye silaha kabisa mnafuata uswahilini...
 
ni aibu jeshi namba mbili duniani kupigana na kanchi kadogo na kushindwa kudili za military bases badala yake anarusha mabomu hovyo
Hapo kichwa cha kenge kimeshushiwa kwenzi tu,kenge wengine na mijusi wanalalama huku aliyeshukiwa kwenzi akiendelea kujidai jeuri hata pale atakapopata ubongo umemwagika nje ya fuvu lake🏃🏃
 
NATO iliundwa kama muungano wa kujihami, na ni dhahiri vitaifa vidogo vidogo majirani wa Urusi vinapaswa kujiunga maana hana hata aibu ya kujipima na kuvinyanyasa, ila vikijiunga NATO huwa anakaa mbali navyo, hawezi hata akakosea njia.
Ona hii ramani litaifa lote hili kuonea kajirani kama haka, japo kamelitoza kamasi...

iwjyug4vdnn81.jpg



Russia_Ukraine_Locator.svg
Mkuu ubalozi wa Germany Ukraine umepigwa na bomb na Urusi.
Hiyo ni kama Germany wenyewe wameshambuliwa, its a direct provocation.

Article No 5 ya NATO inasemaje??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Crimea ipo nchi gan ? niletee ramani nione , piq jeshi la Urusi linafanya nn kuanzia Crimea kuja Kiev , unawezaj kutaka kuitoa serikali iliyochaguliwa na wananchi ? Putin anataka alete udikteta wake huku ukraine wkt wenzake washastarabika wametoka huko kitambo
Crimea ipo Russia mkuu, daraja limejengwa na Putin mwenyewe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ubalozi wa Germany Ukraine umepigwa na bomb na Urusi.
Hiyo ni kama Germany wenyewe wameshambuliwa, its a direct provocation.

Article No 5 ya NATO inasemaje??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Kombora lilipiga jengo lililokua na consulate ya Germany embassy ambayo ilitelekezwa kitambo, acheni kujikweza, hamna jeuri ya kupiga ubalozi.
 
Mizinga ilipigwa 75, ila yote iliyoelekea kwenye kambi za kijeshi ilipanguliwa yote ndio Warusi wakapata hasira na kuanza kupiga hadi bembea za watoto, ni aibu sana mnatumia nguvu nyingi zote hizo kutetea mauaji ya wasio na hatia, sijui kwanini dini yenu huwa na kasoro kihivyo...

AA12PT4w.img
Mkuu , ata Bucha walizusha kwamba warusi wameua watu wakawatupa barabarani na kuwazika wengine kwenye makaburi ya pamoja then Warusi wakawithdraw..but Urusi wakaomba UN security council ifanye uchunguzi ukihusisha independent organ Ili kama wao wanahusika wachukuliwe hatua..tangu Urusi waombe haikuweza fanyika Zaidi ya miezi minne now coz dunia nzima inajua ukweli wahusika wakuu wa hayo mauaji ni Ukrain..na hata hao UN ni Us puppets ...so kwa hizo picha unazopost ni picha ambazo Nazis wamezipost Ili dunia ipate sympath..slogan kuu ya Nazism ni kuwafanya watu watii amri kwa nguvu yeyote...juzi tu hapo baada ya Warusi kujiondoa Liman wamechinja sana watu ambao walihisi ni pro Russians..but hutaona. Popote hizo main stream media kama BBC, cnn zikicoment chochote. So cha kukushauri jaribu kufuatilia Zaidi hiyo vita kwa undani Ili usijejikuta unashabikia mambo usiyoyafahamu
 
Hao G7 walichulua hatua Gani miaka 8 yote ambayo Ukrain ilikuwa ikiuwa watu kule Donbass, na waliichukulia USA hatua Gani ilivyoivamia Iraq, Libya etc. Mwisho wa siku utagundua ni unafiki tu unaoitawala hiyo western world. Wanajiona wao ndiyo polisi wa hii dunia.
Kwa scale ya mashambulizi inayofanya sasa hv Russia, wangefanya marekani hao wa Ukrain wangeshakufa mamilioni. Ata Ukrain yenyewe ungefanya mashambulizi kwa scale hiyo wangeshaua warusi mamilioni.
Leo hii Saudi wameshitukia kwamba hao westerners walikuwa wanawachonganisha kwa madlai Yao Ili wawauzie silaha, na wao wapate rasilimali kama mafuta ya Bure Bure, utaona Saudi na Iran now wanafanya mazungumzo ya kumaliza tofauti zao, so wataungana soon, kule north Korea na south Korea watapata akili soon, so ukiangalia vzuri machafuko yanayotokea duniani kwa sasa chanzo kikuu ni hao westerners

Uzuri Russia yeye anashambulia military installation, haangaiki na civilian structures na anatumia high precision strikes kitu ambacho warekani au NATO wasingefanya.
Na hata Leo hii ameamua kuanza kushambulia maeneo ambayo hayakuwa planned kama vituo vyao umeme, reli n.k (kitu ambacho Marekani angefanya siku ya kwanza kabisa ya mashambulizi) kutokana na Ukrain kushupaza shingo na kujiona kidume.
Well put Bro, mtoa mada akibishaKwa hoja niite mbwa niko pale
 
Kwamba huyu hapa..Huyu jamaa ndo aliyebadilisha uelekeo wa vita, ambapo mwanzoni Urusi ilikuwa inapigana vita kwa kuzingatia sheria za umoja wa mataifa, wakati Ukrain wanapigana vita kama magaidi, sasa hv anakula Sahani moja na hao nguruwe, ukirusha kombora Moja Urusi unarusha makombora 100
IMG_20221012_194855.jpg
 
Huyu jamaa ndo aliyebadilisha uelekeo wa vita, ambapo mwanzoni Urusi ilikuwa inapigana vita kwa kuzingatia sheria za umoja wa mataifa, wakati Ukrain wanapigana vita kama magaidi, sasa hv anakula Sahani moja na hao nguruwe, ukirusha kombora Moja Urusi unarusha makombora 100 View attachment 2385024
Acha tutunze hii kwa matumizi ya baadae.
 
ha ha ha!! Ona unavyotumia nguvu nyingi kutetea ukatili wa Urusi kwa raia wa Ukraine, waambieni hao Warusi wapige kambi za kijeshi za Ukraine, wapige military installations zenyewe, wanajua jinsi itakua kazi kupaka mbuzi rangi maana mabomu yote yatapanguliwa.
Kupiga raia ni uwoga wa kijinga, ila kuna vifaa vinakuja vya kulinda hao wananchi.
Mjomba kwani wewe ni Mara yako ya kwanza kuona ukatili? wacha wauane ni mara ngapi uliwahi lalamika hivi.acheni Vita iendelee
 
Urusi amekwepa military installations maana anajua mabomu yatapanguliwa, amejikita kwenye kupiga maeneo ya uraiani, apambane frontline aachane na raia.

Kupiga mabomu kwenye parking lot ndio military installation gani, hizi akili zenu za kijihadi huwa zinawachizisha

111022APUKRAINEphoto01.jpg
Wakome na bado,,,,,....wakalie kwa mashoga wenzao wawape misaada na bado watanyooshwa tu
 
Crimea ipo nchi gan ? niletee ramani nione , piq jeshi la Urusi linafanya nn kuanzia Crimea kuja Kiev , unawezaj kutaka kuitoa serikali iliyochaguliwa na wananchi ? Putin anataka alete udikteta wake huku ukraine wkt wenzake washastarabika wametoka huko kitambo
Ndo anapigwa sasa.
 
Back
Top Bottom