G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

G7 waazimia kuongeza jitihada baada ya Urusi kuanza kushambulia uraiani

Hii vita marekani ameyaingiza mataifa mengi kwenye huu mgogoro kububusa na marekani anachochea hii vita kwa sababu ana maslahi makubwa sana ktk hii vita

Mataifa mengi yameisha anza kumshitukia kwa kitendo chake cha kuuza gesi yake kwa bei kubwa sana ili kuua uchumi wa ulaya. Ule mtego aliopewa China kuhusu taiwan, ilikuwa china ajichanganye ili naye aangushwe kiuchumi ila china imeshitukia mtego na hata kitendo cha Opec kukataa kuongeza uzalishaji wa mafuta ni mwendelezo wa kishitukia dhamila mbovu ya marekani ktk mgogoro wa Ukraine. Hao wanaojiita G7 wanapelekeshwa tu kibubusa na marekani.

Naombea hii vita ichukue muda mrefu kwani ninaamini kuna mengi sana tutayaona. Marekani atajikuta amebaki peke yake ktk ufadhili wa vita ya Ukraine kwani nchi nyingi zitakuwa zimetambua madhumuni ya marekani ktk vita hiyo
Viongozi karibu wote wa Ulaya ni vibaraka wa Marekani. Wamepitishwa kwa msaada wa Marekani ndio maana wanashindwa kumsaliti mfadhili wao japo wanaona chumi zao zikianguka.

Ukweli raia hawataki NATO kabisa ndo maana maandamano hayaishi.
Ngoja Decemba ifike kutanuka
 
Baada ya Urusi kushindwa kwenye frontline na kukiuka miiko ya kivita na kuanza kupiga mabomu yake uswahilini, G7 wamekutana kwenye kikao cha dharula na kuazimia kuongeza juhudi ili kuhakikisha hizi mbinu za Urusi zitadhitiwa pia ili ngoma irudi kwenye mapigano baina ya wanajeshi.

=======

Leaders of the G7 group of rich nations have said they will back Ukraine for "as long as it takes" in the wake of Monday's major Russian missile strikes.

The group, which met for emergency virtual talks, said it would keep on giving military and humanitarian aid.

Nato also said it would stand with Ukraine for as long as necessary.

At least 19 people were killed and scores more injured, as Russian missiles hit regions across Ukraine, including central Kyiv.

Strikes continued into Tuesday, with civilians advised to stay in air raid shelters.

Russian President Vladimir Putin said the attacks were in retaliation for a strike on a key bridge linking Russia with occupied Crimea, for which he blamed Ukraine.

Western leaders were quick to condemn the Russian escalation, and the G7 on Tuesday reiterated its commitment to Ukraine.

"We will continue to provide financial, humanitarian, military, diplomatic and legal support and will stand firmly with Ukraine for as long as it takes," the group said in a statement.

The bloc also condemned Mr Putin's recent attempts to annex four regions of Ukraine with self-styled referendums.

Ukrainian President Volodymyr Zelensky asked the G7 for further air defence capabilities.

MSN
Putin ni kichaa kama vichaa wenzie weny chuki kisa wamekosa ajira
 
Hao G7 walichulua hatua Gani miaka 8 yote ambayo Ukrain ilikuwa ikiuwa watu kule Donbass, na waliichukulia USA hatua Gani ilivyoivamia Iraq, Libya etc. Mwisho wa siku utagundua ni unafiki tu unaoitawala hiyo western world. Wanajiona wao ndiyo polisi wa hii dunia.
Kwa scale ya mashambulizi inayofanya sasa hv Russia, wangefanya marekani hao wa Ukrain wangeshakufa mamilioni. Ata Ukrain yenyewe ungefanya mashambulizi kwa scale hiyo wangeshaua warusi mamilioni.
Leo hii Saudi wameshitukia kwamba hao westerners walikuwa wanawachonganisha kwa madlai Yao Ili wawauzie silaha, na wao wapate rasilimali kama mafuta ya Bure Bure, utaona Saudi na Iran now wanafanya mazungumzo ya kumaliza tofauti zao, so wataungana soon, kule north Korea na south Korea watapata akili soon, so ukiangalia vzuri machafuko yanayotokea duniani kwa sasa chanzo kikuu ni hao westerners

Uzuri Russia yeye anashambulia military installation, haangaiki na civilian structures na anatumia high precision strikes kitu ambacho warekani au NATO wasingefanya.
Na hata Leo hii ameamua kuanza kushambulia maeneo ambayo hayakuwa planned kama vituo vyao umeme, reli n.k (kitu ambacho Marekani angefanya siku ya kwanza kabisa ya mashambulizi) kutokana na Ukrain kushupaza shingo na kujiona kidume.
Duh raia gan waliuliwa na leo wanaipigania nchi yao au wao kuuliwa wanapenda ? kabla ya uvamiz wa Urusi huko Crimea uliwai sikia uasi ndan ya Ukraine ? after sinamia haki maana wote hawakusaidii chochote
 
Don't believe Ukrainians, they are naught kids. Hiyo picha imekuwa cropped..unajua nyuma ya hayo magari lilikuwa na kitu Gani. Majeshi ya Ukrain wanasifika kwa kutumia magari ya kiraia na kukaa maeneo ya kiraia Ili kukwepa kugundulika mapema. Ukiona Urusi ameshambulia hayo magari ujue ameyafuatilia na kuwa na uhakika kwamba Kuna connection na hayo Majeshi. Pia ufahamu kwenye vita Kuna madhara, usitegemee lishambuliwe kambi jeshi alafu magari yaliyopo hapo yakabaki salama.
Huo mfumo wa kujikinga unaongelea hapa umeshakula overwhelmed kutokana na idadi ya makombora na mashambulizi , coz unaweza Kuta yanakuja makombora kumi yakapanguliwa mawili. So bado haujawa effective kwenye kuzuia mashambulizi, napia Ukrain anaogopa kutumia kwenye kuzuia mashambulizi yote Ili usiwe rahisi kugundulika, coz ukitumia kufanya interception maana yake utaonekana ulipo so inawarahisishia warusi kufanya mashambulizi Zaidi.
kwa akili yako kama mbuz , jeshi gan linaeza tumia hako kagari kadg kupigana na jeshi namba mbili duniani pia kwann Urusi aingie kiev , hv yeye wakimwingilia Moscow ataona ni sawa ?
 
Kenge kwa kuwa sio msikivu,hahitaji kuhurumiwa ,aanze kujihudumia mwenyewe kwaanza ndipo ahurumiwe[emoji1732][emoji1732]
ni aibu jeshi namba mbili duniani kupigana na kanchi kadogo na kushindwa kudili za military bases badala yake anarusha mabomu hovyo
 
Daraja la Crimea ilikuwa military installation? Acha wapigwe kwa ugaidi walioufanya Crimea.
Crimea ipo nchi gan ? niletee ramani nione , piq jeshi la Urusi linafanya nn kuanzia Crimea kuja Kiev , unawezaj kutaka kuitoa serikali iliyochaguliwa na wananchi ? Putin anataka alete udikteta wake huku ukraine wkt wenzake washastarabika wametoka huko kitambo
 
Hii vita marekani ameyaingiza mataifa mengi kwenye huu mgogoro kububusa na marekani anachochea hii vita kwa sababu ana maslahi makubwa sana ktk hii vita

Mataifa mengi yameisha anza kumshitukia kwa kitendo chake cha kuuza gesi yake kwa bei kubwa sana ili kuua uchumi wa ulaya. Ule mtego aliopewa China kuhusu taiwan, ilikuwa china ajichanganye ili naye aangushwe kiuchumi ila china imeshitukia mtego na hata kitendo cha Opec kukataa kuongeza uzalishaji wa mafuta ni mwendelezo wa kishitukia dhamila mbovu ya marekani ktk mgogoro wa Ukraine. Hao wanaojiita G7 wanapelekeshwa tu kibubusa na marekani.

Naombea hii vita ichukue muda mrefu kwani ninaamini kuna mengi sana tutayaona. Marekani atajikuta amebaki peke yake ktk ufadhili wa vita ya Ukraine kwani nchi nyingi zitakuwa zimetambua madhumuni ya marekani ktk vita hiyo
yaan Marekan ndo mchochez , ila yule alieaswa asivamie akasem anafanya mazoez tu badala akavamia kwel bado akaombwa akae mezan azungumze ila hakusikia , huyu ni mwema sana , UKOSEFU WA AJIRA UNATUZALISHIA VICHAA MTAANI
 
Putin ni kichaa kama vichaa wenzie weny chuki kisa wamekosa ajira

Jamaa anapiga mzinga kwenye bembea za watoto kisa ameshindwa kwenye frontline.
Kuna taarifa nimesoma sehemu, alipiga mizinga 84, ila 43 ikapanguliwa yote kisa ililenga maeneo ya kijeshi, ndio jamaa wakapata hasira wakaelekezwa kwa raia.

AA12PT4w.img
 
Mataifa 7 yanayo muogopa mrusi! Kweli mrusi ni balaa yani mataifa 7 yanaungana kumjadili?

NB: Hapo sijagusia NATO, umoja wa mataifa 30 maoga yanayo muogopa mrusi.
ndio maana mwizi huwa mnamkimbiza wengi kwa vile hamumuogop , ila upuuz wa Urusi ni kosa kumuonya , UKOSEFU WA AJIRA UNATUZALISHIA VICHAA WENGI MTAANI
 
ha ha ha!! Ona unavyotumia nguvu nyingi kutetea ukatili wa Urusi kwa raia wa Ukraine, waambieni hao Warusi wapige kambi za kijeshi za Ukraine, wapige military installations zenyewe, wanajua jinsi itakua kazi kupaka mbuzi rangi maana mabomu yote yatapanguliwa.
Kupiga raia ni uwoga wa kijinga, ila kuna vifaa vinakuja vya kulinda hao wananchi.
Mkuu nahisi unafuatilia sana main stream media tena zenye mlengo wa west ndo maana unakosa taarifa kwamba kambi za jeshi la Ukrain zinakula kichapo Cha mbwa mwizi. Waziri wa ulinzi huwa anatoa updates kila siku, the main target huwa ni hizo kambi na target kuu ni zile ambazo zina mercenaries...so kusema urusi wanaogopa kambi za jeshi siyo kweli
 
Mkuu nahisi unafuatilia sana main stream media tena zenye mlengo wa west ndo maana unakosa taarifa kwamba kambi za jeshi la Ukrain zinakula kichapo Cha mbwa mwizi. Waziri wa ulinzi huwa anatoa updates kila siku, the main target huwa ni hizo kambi na target kuu ni zile ambazo zina mercenaries...so kusema urusi wanaogopa kambi za jeshi siyo kweli

Mizinga ilipigwa 75, ila yote iliyoelekea kwenye kambi za kijeshi ilipanguliwa yote ndio Warusi wakapata hasira na kuanza kupiga hadi bembea za watoto, ni aibu sana mnatumia nguvu nyingi zote hizo kutetea mauaji ya wasio na hatia, sijui kwanini dini yenu huwa na kasoro kihivyo...

AA12PT4w.img
 
Mizinga ilipigwa 75, ila yote iliyoelekea kwenye kambi za kijeshi ilipanguliwa yote ndio Warusi wakapata hasira na kuanza kupiga hadi bembea za watoto, ni aibu sana mnatumia nguvu nyingi zote hizo kutetea mauaji ya wasio na hatia, sijui kwanini dini yenu huwa na kasoro kihivyo...

AA12PT4w.img
Unafanya makosa kuhusisha uislamu katika huu mzozo,Putin na vingozi wenzie ni Waislam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya makosa kuhusisha uislamu katika huu mzozo,Putin na vingozi wenzie ni Waislam?

Sent using Jamii Forums mobile app

ila waislamu mnashabikia mauaji na maukatili ya Putin mkidhani mnakomoa Marekani ila mnajidanganya.....mtaishia aibu tu maana yana mwisho, hauwezi ukawaua watu wote wa Ukraine.....
Huyo huyo Putin kuna wakati aliwanyoosha sana waislamu, nashangaa leo mnajitoa ufahamu kizembe hivi.
 
Waaache maneno wapeleke majeshi yao yakapigane mstari wa mbele vitani.
Mkuu adui alikuwa Kyiv akatolewa na kurudi zake donbas huko ndo anamaliziwa hiyo ya juzi ni panik baada ya kuvunjwa hilo daraja, mizinga 83 kaua 19, most of them were un target, ni weakens za jamaa yako putin sasa G7 hii Putin amepiga ndimu mzinga wa nyuki mwisho wa putin unakaribia
 
Hao G7 walichulua hatua Gani miaka 8 yote ambayo Ukrain ilikuwa ikiuwa watu kule Donbass, na waliichukulia USA hatua Gani ilivyoivamia Iraq, Libya etc. Mwisho wa siku utagundua ni unafiki tu unaoitawala hiyo western world. Wanajiona wao ndiyo polisi wa hii dunia.
Kwa scale ya mashambulizi inayofanya sasa hv Russia, wangefanya marekani hao wa Ukrain wangeshakufa mamilioni. Ata Ukrain yenyewe ungefanya mashambulizi kwa scale hiyo wangeshaua warusi mamilioni.
Leo hii Saudi wameshitukia kwamba hao westerners walikuwa wanawachonganisha kwa madlai Yao Ili wawauzie silaha, na wao wapate rasilimali kama mafuta ya Bure Bure, utaona Saudi na Iran now wanafanya mazungumzo ya kumaliza tofauti zao, so wataungana soon, kule north Korea na south Korea watapata akili soon, so ukiangalia vzuri machafuko yanayotokea duniani kwa sasa chanzo kikuu ni hao westerners

Uzuri Russia yeye anashambulia military installation, haangaiki na civilian structures na anatumia high precision strikes kitu ambacho warekani au NATO wasingefanya.
Na hata Leo hii ameamua kuanza kushambulia maeneo ambayo hayakuwa planned kama vituo vyao umeme, reli n.k (kitu ambacho Marekani angefanya siku ya kwanza kabisa ya mashambulizi) kutokana na Ukrain kushupaza shingo na kujiona kidume.
Kuna watu mna mapenzi makubwa sana na mzee Putingo.
 
Back
Top Bottom