BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Bongo alishutumiwa na Kiongozi wa Upinzani Nchini Gabon, Jean Ping akwa Wizi wa Kura katika Uchaguzi wa mwisho uliofanyika mwaka 2016 ambapo matokeo yalionesha ameziwa Kura 6,000.
Ping alifutiwa 'Passport' yake na kuzuiwa kusafiri nje ya Gabon kwa miaka 5 baada ya kujitangaza kuwa mshindi wa Urais. Hadi sasa Familia ya Bongo imetawala Nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 55.
===========
Gabon's President Ali Bongo Ondimba has announced that he will seek a third term in office in presidential elections planned for August.
The Bongo family has already ruled Gabon for 55 years.
Ali Bongo took over in 2009 from his father Omar Bongo, who had himself been in power for more than 40 years.
The last elections held in 2016 were marred by claims of fraud. Mr Bongo defeated opposition candidate Jean Ping by less than 6,000 votes.
Mr Ping declared himself the winner and contested those results.
His passport was later confiscated and he was only allowed to leave the country this year after a five-year travel ban.
BBC