Ni moja ya nchi maarufu kwa utalii wa ngono i.e vibibi vya kizungu hupenda kwenda Gabon ili wakutane na vijana mashababi wa kuwapelekea moto.Gabon wako vizuri kwenye nini?
Duh! hii mpya kwakweli 🤣 🤣 🤣Ni moja ya nchi maarufu kwa utalii wa ngono i.e vibibi vya kizungu hupenda kwenda Gabon ili wakutane na vijana mashababi wa kuwapelekea moto.
Afrika ina viongozi na marais wajinga wajinga wasiojitambua. Na wakipatikana wanaojitambua hawadumu.Kwa mfumo huu wa uongozi Afrika maendeleo tushukuru tutakuwa tunayaona kwenye runinga kwa mabara mengine.
Afrika hatuna viongozi wenye fikra za kimaendeleo bali ni watu wenye nia ya kukaa madarakani kwa gharama yoyote. Hovyo sana.
Ilikuwaje mkuu, Oliver Ngoma nilikuwa namkubali sana enzi hizoHii Familia ndio chanzo za Kuafariki kwa Mkali wa rumba Oliver Ngoma. Wajinga sana hao
Umekosea sana kubadilisha avatar picha yako tuliyoizoea. Naona kwenye avatar una gear zako za kitabibu.Mtu mwenyewe bado kule kupooza hajapona vizuri .
View attachment 2684584
Nimechoka kutumia picha ya mtu mwingine. Maturity ni pale unatumia picha yako mwenyewe.Umekosea sana kubadilisha avatar picha yako tuliyoizoea. Naona kwenye avatar una gear zako za kitabibu.