I really like her smile. I can watch a movie jus to see her smiling!
Khs kunywa maji na protein shakes, ni kweli.
Maji yanaondoa sumu mwilini na kuziongezea seli nguvu na kuziwekea mazingira mazuri ya pH zifanye kazi zake vizuri.
Kazi ya protein ni kujenga mwili. In a sense that cell za binadamu huwa zinakufa daily, na inahitajika proteins na vitamins na vyakula bora kuziba mapungufu hayo.
The Boss, na wengine. Waswahili tunazeeka kwa kula vyakula vya wanga, vinavyoongeza nguvu na kunenepesha sababu protini zenyewe huwa ni gharama.
Mayai, samaki, nyama za kuku nk ni kama anasa.
Tuacheni tuzeeke!