The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Mmhu. Mi sijui kama m looking younger than my age!
Bt my hubby is seven years younger than me
Teinaaaa, kwa raha zangu
eeh basi wewe si mchezo....kichuna cha kufa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhu. Mi sijui kama m looking younger than my age!
Bt my hubby is seven years younger than me
Teinaaaa, kwa raha zangu
I really like her smile. I can watch a movie jus to see her smiling!
Khs kunywa maji na protein shakes, ni kweli.
Maji yanaondoa sumu mwilini na kuziongezea seli nguvu na kuziwekea mazingira mazuri ya pH zifanye kazi zake vizuri.
Kazi ya protein ni kujenga mwili. In a sense that cell za binadamu huwa zinakufa daily, na inahitajika proteins na vitamins na vyakula bora kuziba mapungufu hayo. The Boss, na wengine. Waswahili tunazeeka kwa kula vyakula vya wanga, vinavyoongeza nguvu na kunenepesha sababu protini zenyewe huwa ni gharama.
Mayai, samaki, nyama za kuku nk ni kama anasa.
Tuacheni tuzeeke!
eeh basi wewe si mchezo....kichuna cha kufa mtu
Mazoezi mi nafanya lakini niko makini saaana nisije kuwa na misuli kama wanaume...
Hawa wako obsessed...kama Jada Pinkett...
Na huyu ukimcheki sana misuli imeanza kupitiliza...