Gabrielle Union Reveals Her Secret to Staying Younger

Gabrielle Union Reveals Her Secret to Staying Younger

nyumba kubwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2010
Posts
10,309
Reaction score
8,379
Gabrielle Union Reveals Her Secret to Staying Younger



Hollywood actress Gabrielle Union is already 40 years old, but definitely looks younger than her age.

She was recently featured in People Magazine's List of 100 Most Beautiful Women in World.

When asked how she maintains her young look, the beautiful actress answered:

"I started drinking a gallon of water a day in my mid-thirties. It changed everything from weight maintenance, to hair, skin, nails and digestion.

Plus, I stay younger by dating younger. Dip into the kiddie pool, ladies! It worked for me!"

Gabrielle is currently dating NBA star Dwayne Wade who is 9 years younger than her.
 
Kuna interview nyingine most recent amefunguka kuwa oil skin ndio imemfanya asizeeke...

kwa hiyo wale wenye oil skin vumilieni tu michunusi...mfikapo 40s mtaonekana 25....

Muache mikoroga sio issue
 
Juzi nimeona mahali bi dada naye akidai anasifiwa sana kwa kuonekana below her age na kuwa na skin nzuri sana. Akadai yeye huwa anashukuru tu kwa hizo compliments toka kwa watu mbali mbali, ila hawajui kwamba hali hiyo inasababishwa na yeye kunywa proteins za mumewe zoezi ambalo analifanya mara mbili hadi tatu kwa wiki. Sijui kama hili nalo linasababisha haya.

Kuna interview nyingine most recent amefunguka kuwa oil skin ndio imemfanya asizeeke...

kwa hiyo wale wenye oil skin vumilieni tu michunusi...mfikapo 40s mtaonekana 25....

Muache mikoroga sio issue
 
Mhhh...I will go for gallon la maji a day

Kama ni protein zinapatikana hata kwenye mayai...

ila nshawahi sikia sana hiyo theory...


Juzi nimeona mahali bi dada naye akidai anasifiwa sana kwa kuonekana below her age na kuwa na skin nzuri sana. Akadai yeye huwa anashukuru tu kwa hizo compliments toka kwa watu mbali mbali, ila hawajui kwamba hali hiyo inasababishwa na yeye kunywa proteins za mumewe zoezi ambalo analifanya mara mbili hadi tatu kwa wiki. Sijui kama hili nalo linasababisha haya.
 
Ombi lako linashughulikiwa...maana waombaji mmkekuwa wengi kuliko wale wa Uhamiaji...

Ngoja nimuombe yule kijana wa humu JF (jina nimesahau linafanana na Ananilea) anitengenezee computer software ya kufanyia mchujo...manually sitaweza aisee...


I am younger...date me...Hahaaaa..
 
Ombi lako linashughulikiwa...maana waombaji mmkekuwa wengi kuliko wale wa Uhamiaji...

Ngoja nimuombe yule kijana wa humu JF (jina nimesahau linafanana na Ananilea) anitengenezee computer software ya kufanyia mchujo...manually sitaweza aisee...

Heheee...kumbe tupo wengi hivyoo?
 
hahahahahaaha lol!!!! Shurti kwa mchujo

Ombi lako linashughulikiwa...maana waombaji mmkekuwa wengi kuliko wale wa Uhamiaji...

Ngoja nimuombe yule kijana wa humu JF (jina nimesahau linafanana na Ananilea) anitengenezee computer software ya kufanyia mchujo...manually sitaweza aisee...
 
ulidhani uko peke yako...watu zaidi ya elfu kumi na anayehitajika mmoja...

Itabidi ufanye maombi sana or else nenda Bagamoyo kabisa...

Maana mchujo utakuwa ni hatare na hakuna upendeleo wa eti oooohhhh nilikujua since 2010... oooohhhmimi mkongwe mwenzio...No ...kila mtu ana vigezo na equal chance...hata aliyejiunga JF jana anaruhusiwa ku apply...




Heheee...kumbe tupo wengi hivyoo?
 
ulidhani uko peke yako...watu zaidi ya elfu kumi na anayehitajika mmoja...

Itabidi ufanye maombi sana or else nenda Bagamoyo kabisa...

Maana mchujo utakuwa ni hatare na hakuna upendeleo wa eti oooohhhh nilikujua since 2010... oooohhhmimi mkongwe mwenzio...No ...kila mtu ana vigezo na equal chance...hata aliyejiunga JF jana anaruhusiwa ku apply...

Basi Kazi ipo..
 
Vigezo viko independent of individual applicants...

ndio nataka software ili ni feed hivyo vigezo...afu niingize na CV za hawa applicants...

afu na run tu hiyo program itanipa jibu...tena ntatumia codes ili nisiangalie jina wala sura...
Upendeleo muhimu banaaa, huna vigezo weye unavyovitaka awe navyo yule utayemtunuku?
 
Tena ni kazi wala si ndogo...

kama una roho nyepesi bora ujitoe kwenye kinyng'anyiro...maana chance ya kushinda ni 1/10,0000

Si mchezo..Halafu huyu Gabrielle wanadai ni same age na Beyonce ..na walicheza wote utotoni
 
Okay...basi she is too fake....

Gumzo kubwa marekani ni ndoa ya Beyonce now...imefikia mwisho but wana mikataba ya kibiashara pamoja..kazi ipo hapo kuigiza wanapendana...tour yao ya sasa tu ni dollar milioni 100..wakisema waachane kwa pamoja wana worth 1 billion dollars...Kazi ipo
 
Back
Top Bottom