Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

Nyie Tanzania mna bungee na kila baada ya miaka mi5 mnafanya uchaguzi je mmeendelea kuliko libya ya Gadafi?
 
Gaddaf alikuwa mpuuzi sana, bora walimshughulikia, angeleta migogoro ya kidini barani afrika kwa kupindua serikali zisizofuata itikadi ya kiislam. Jicho lake lilikodolea afrika mashariki na kusini mwa afrika kusikokuwa na upuuzi mwingi wa kiislam kama magharibi mwa afrika
 
Mbaambaambaaaa
Kaka yako mwingine huyu katika ugalatia

 
Yote hii migalatia michoko
Mnatuharibia nchi na harufu ya mavi
 
Ndio maana South Africa wanauwa sana wabongo, sababu walikuwa wanawasaidia kinafiki
Soma kitabu cha mgalatia mwenzako mwenye akili, na kazunguka dunia anavyoelezea jinsi wa south walivyokuwa wanateswa na nyerere
Halafu fuatili msaada wa Gaddafi kwa Umkhonto We Sizwe wa dolari, kambi za mafunzo ya kivita na AK47 za kutosha
Sio nyie wa ngulungwesu huko maporini akili zimejaa kamasi, mkishiba mandolo mnaanza kuhubiri upupu wa yesu

Kama lugha haipandi, tafuta mtu akutafsie, najua hii lugha itakuwa mgogoro kwako

 
Hapa siongei
Karibu jukwaa la Dini.
Huu ni mwezi wa Mzee Ramadhani.
Sitaki kuwa kwanza waungwana.

Halafu ujue Wagaratia ni Kabila moja la watu wa Ugiriki.
Ni kama ukisema Wamasai.
Ni hivi
Huko jukwaa la dini mimi siji, sio kwamba JF ni jukwaa huru, haya kuomba ruhusa sijui kuchangia jukwaa fulani ni ufisi
Mambo hadharani, tuendelee hapahapa
 
Keeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.

But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.
Huyu dikteta bora alifutika na mpaka leo hajulikani alikozikwa.
Laanatulah
 
Mtu mweusi wengi wao usiwapiganie, watakutia tu dosari.

Mtu mweusi amekaa kulalamika lalamika, kifitina fitina na kiunafiki nafiki.
Alishindwa kupigania raia wake mpaka wakamuua kama panya halafu ndio akupiganie wewe ngozi nyeusi?!
 
Uwongo nenda kawagawanye mataahira wenzako,waafrika hatutagawanywa na mashetani kama nyie tena kwa mgongo wa dini,kalb hayawan!
Ukweli ni huo. Albert-Benard Bongo (Omar Bongo) wa Gabon hakuwa muisilamu, alipofanya ziara Libya akarudi na kitita akawa muslim. Jean-Bédel Bokassa alifanya ziara Gabon, aliporudi akawa muslim, ila baadaye aliushindwa akarudia Ukristu. Gadafi alitoa support kubwa kwa Idd Amin wa Uganda wakati tunapigana naye, bahati nzuri Mungu akawa upande wa Mkatoliki Julius Nyerere na waLibya kadhaa walitekwa, ila kwa maamuzi ya kiroho walikabidhiwa. Hata Membe naye speech zake siku Gadafi ameuawa, yeye akiwa Waziri wa Mambo ya Nje, ziliashiria kuna kitita kutoka Libya kilimpitia, naye alikuwa anaekekea kuwa kama Omar Bongo
 
Waislamu alikuwa akiongea wanampa hela waligundua kuwa muongo muongo wakaacha kumpa na yeye akazira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…