avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
🔹 Alikuwa amemwaandaa Idd Amin kuwa amiri wa Afrika mashariki ndio maana alituma askari wake kuja kuwapiga Watanzania waliokuwa wanaongozwa na Mkatoliki
🔹 Alikusanya machangudoa kwenda kuichefua ardhi ya wakatoliki huko Italy kwa kuwaandamanisha hukuwakiwa wamembeba msaafu na kuwa wanaimba mitaani Islam ndio dini pekee
🔹 Misaada yake yote ilikuwa kujenga misikiti kwenye nchi za kiafrika.
🔹 Alisapoti wanasiasa na kuwashawishi kwa fedha nyingi wabadili dini ili wake wagombee uraisi na kuwasapoti
🔹 Alisapoti Sana vikundi vya kidini kisirisiri vilivyokuwa vinalingania dini yake
🙆 Ni kiongozi wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea Africa
🔹 Alikusanya machangudoa kwenda kuichefua ardhi ya wakatoliki huko Italy kwa kuwaandamanisha hukuwakiwa wamembeba msaafu na kuwa wanaimba mitaani Islam ndio dini pekee
🔹 Misaada yake yote ilikuwa kujenga misikiti kwenye nchi za kiafrika.
🔹 Alisapoti wanasiasa na kuwashawishi kwa fedha nyingi wabadili dini ili wake wagombee uraisi na kuwasapoti
🔹 Alisapoti Sana vikundi vya kidini kisirisiri vilivyokuwa vinalingania dini yake
🙆 Ni kiongozi wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea Africa