Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

🔹 Alikuwa amemwaandaa Idd Amin kuwa amiri wa Afrika mashariki ndio maana alituma askari wake kuja kuwapiga Watanzania waliokuwa wanaongozwa na Mkatoliki

🔹 Alikusanya machangudoa kwenda kuichefua ardhi ya wakatoliki huko Italy kwa kuwaandamanisha hukuwakiwa wamembeba msaafu na kuwa wanaimba mitaani Islam ndio dini pekee

🔹 Misaada yake yote ilikuwa kujenga misikiti kwenye nchi za kiafrika.

🔹 Alisapoti wanasiasa na kuwashawishi kwa fedha nyingi wabadili dini ili wake wagombee uraisi na kuwasapoti

🔹 Alisapoti Sana vikundi vya kidini kisirisiri vilivyokuwa vinalingania dini yake

🙆 Ni kiongozi wa hovyo kuliko wote kuwahi kutokea Africa
 
Nyerere hakuwahi kusaidia wahalifu
kama lugha ingekuwa inapanda ungesoma hii ya mgalatia mwenzako ujue jinsi Nyerere alivyokuwa mshenzi wa kumsaidia Obote aliyeuwa waganda wengi kuliko Amin
Lakini mbuzi galatia hii lugha ilikupita kushoto
 
Wewe hakuna hata wa kukuahidi tende. Ukiwa muislam una impact gani kwenye huo uislam?
Labda Mwamposa anaweza kuahidiwa kitu siyo wewe hata mia huna eti nusu ya utajiri wa dubai, labda Dubai ya gamboshi kwenye matunguli.
Kwaiyo Mwamposa mnaweza kumpa pesa ili awe muislam 🤣🤣🤣🤣

Kweli toeni tu pesa kushawishi watu maarufu maana kikubwa alichowaahidi allah waja wake ni papuchi 72 na mito ya pombe
 
mtu mweusi sio wakumpigania,mwisho wa siku atakutia kasoro za udini,ukabila au siasa.
walimuuwa Thomas Sankara,Patrice Lumumba na Gadafi.
[emoji115]
wote hao wametiwa kasoro za udini,siasa na ukabila.
shithole countries.
Wewe utakuwa ndiyo wale wafuasi wa unyonge yaani Jiwe
 
Uislam wa Gaddafi haufikii wa hayati mzee ruksa, Gaddafi alikua bize na kujikwamua kwenye minyororo ya mabeberu wa WB na IMF,alikua na uchumi wake tofauti,alitaka kukata mirija ya mabeberu kuinyonya Africa ambapo Libya isingeathiriwa Tena na vikwazo vya mabeberu,Ila nyie waabudu maajabu huko kwenye visinagogi vyenu mnalishana chuki na unamtazama Gaddafi kwa jicho la dini na kufunga jicho la yakini
Waislam ni watu wa ajabu sana.
 
Inawezekana wewe ndiyo umejaa fikra za kidini. Sisi wengine tulikwishajikomboa kwenye hizo fikra za kijinga miaka mingi, ndiyo maana hata familia zetu zina michanganyiko mikubwa ya kiimani. Hatuunganishwi wala kutenganishwa na fikra za kiimani.

Mimi nimeweka iliyokuwa falsafa ya Gadafi iliyokuwa imelalia kwenye fikra duni za kidini. Sijawahi kumchukia Gadafi au mtu yeyote kwa sababu ya imani yake, bali kwa matendo yake.

Hadafi alikuwa katili kwa kila aliyehoji uongozi wake. Ndiyo maana alifuta hata bunge nchini mwake. Aliua kila aliyehoji. Fuatilia historia ya utawala wake. Hata askari aliyemwua alikuwa na chuki binafsi dhidi ya Gadafi kutokana na Gadafi kumkamata ndugu yake pamoja na watu wengine, jumla watu 250, kuwapeleka gerezani, kisha kuwachukua usiku kwa siri, kuwaua na kuwazika kwenye kaburi moja. Askari wote walipewa amri ya kumkamata Gadafi ili ashtakiwe, siyo kumwua. Askari aliyemwua, alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kumwua Gadafi, akijitetea alisema kuwa hakuona sababu ya Gadafi kushtakiwa wakati yeye Gadafi aliwaua watu wengine akiwemo kaka yake, bila ya kuwashtaki kwenye mahakama yoyote. Hata alipohukumiwa kunyongwa hadi kufa alisema kuwa alikuwa ameridhika, na anafurahi kwa kuwa amelipiza kisasi kwa Gadafi kwa mauaji aliyoyafanya kwa watu wengine.

Gadafi alionekana mtu mzuri kwa watu wa chini wasioweza kuhoji chochote. Lakini kwa wenye akili wote, alionekana ni dikteta mkubwa. Tena aliweka mfumo wa hovyo wa utawala usioeleza nani anashika madaraka ya nchi kama Rais hayupo, kama wanavyofanya madikteta wote Duniani.
Mbona kama alikuwa kama Jiwe
 
Waislam ni watu wa ajabu sana.
Wa ajabu kushinda hawa waliobarikiwa na papa mshogaji

1710629932691.png
 
Wa ajabu kushinda hawa waliobarikiwa na papa mshogaji

View attachment 2936769
Ningekuwekea hapa Ushoga wa mtu fulani maarufu sana alioufanya wazi wazi.
Ila kwakuwa ni Mwezi wa Mzee Ramadhani na sio jukwaa la Dini sipendi kuwaudhi wenye staha zao hapa.
Hao uliowaweka sio Manabii wala mitume na wako katika jamii zote.
Ni wahalifu kama wahalifu wengine.
Bakia kwenye mada usijifanye mjuaji sana.
 
Rafiki wakubwa wa Gadafi wa kiafrika walikuwa Maraisi WAKRISTO, na nchi alizozisaidia nyingi zina idadi kubwa ya wakristo, k.m. Mugabe & Zimbabwe, Museveni & Uganda, Kibaki/Uhuru & Kenya, na hatujaona akiwashawishi kuingia uislamu. Hizo zilikuwa fitina za Nchi za Magharibi. Tuatacha lini uzembe wa kuamini propaganda za wazungu wasiotupenda.
 
Gadafi alikuwa na matatizo makubwa. Alikuwa na falsafa za ajabu, akiwahamasisha waislam kuwa wazaliane sana eti huko mbeleni kutakuwa na vita kati ya Wakristo na Waislam, na hivyo waislam wazaliane sana ili kushinda hiyo vita.

Nchini mwake, kila familia iliyozaa watoto zaidi ya wanne, kila mtoto baada ya hao wanne wa mwanzo, kulikuwa na zawadi toka Serikalini. Aliamini kuwa siku moja Ulaya nzima na America zitakaliwa na kutawaliwa na waislam.
Yaani wapumbavu hamuwezi kuisha
 
Back
Top Bottom