Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

Sheikh Mazinde alikuwa anahubiri mambo yake ya kukashif Wakristu anawambia Waislam wenzake Sinagogi ni Msikiti...halafu anawadaganya wenzake Yesu aliingia kwenye Sinagogi na sinagogi ni Msikiti hivyo Yesu alikuwa Mwislam.

Kazi kweli kweli. Sijui yuko wapi siku hizi Mazinde na Mwaipopo
Biblia kwa nyuma Ina kurasa za tafsiri ya maneno magumu,imeandika sinagogi ni msikiti wa wayahudi,we unakuja mkosoa mazinge,siku hizi nasikia wamebadili tafsiri wameandika hekalu la wayahudi
 
Nyerere alimsaidia Obote kwenye nini? Kumpa hifadhi ya ukimbizi?

Sababu pekee inayotajwa kama sababu ya ukaribu wa Obote na Nyerere ni EAC. Nyerere alimwamini zaidi Obote kuliko hata Mzee Jomo Kenyatta kwenye masuala ya EAC.
Obote hakurudi madarakani Uganda!?..kwa nini baadae Nyerere alimuunga mkono Godfrey binaisa badala ya Yusuf lule!?..unadhani nini kilimsukuma!?..ni u-master wa siasa wa Yusuf lule ndiyo uliomfanya aingie ikulu Uganda,Nyerere akimsindikiza airport bila kuongea toka ikulu,walipojitenga wakatoliki kule Nigeria,tukawa wa pili kuitambua nchi yao wa kwanza wakiwa Vatican,alikua motivated na nini!?
 
Inawezekana wewe ndiyo umejaa fikra za kidini. Sisi wengine tulikwishajikomboa kwenye hizo fikra za kijinga miaka mingi, ndiyo maana hata familia zetu zina michanganyiko mikubwa ya kiimani. Hatuunganishwi wala kutenganishwa na fikra za kiimani.

Mimi nimeweka iliyokuwa falsafa ya Gadafi iliyokuwa imelalia kwenye fikra duni za kidini. Sijawahi kumchukia Gadafi au mtu yeyote kwa sababu ya imani yake, bali kwa matendo yake.

Hadafi alikuwa katili kwa kila aliyehoji uongozi wake. Ndiyo maana alifuta hata bunge nchini mwake. Aliua kila aliyehoji. Fuatilia historia ya utawala wake. Hata askari aliyemwua alikuwa na chuki binafsi dhidi ya Gadafi kutokana na Gadafi kumkamata ndugu yake pamoja na watu wengine, jumla watu 250, kuwapeleka gerezani, kisha kuwachukua usiku kwa siri, kuwaua na kuwazika kwenye kaburi moja. Askari wote walipewa amri ya kumkamata Gadafi ili ashtakiwe, siyo kumwua. Askari aliyemwua, alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kumwua Gadafi, akijitetea alisema kuwa hakuona sababu ya Gadafi kushtakiwa wakati yeye Gadafi aliwaua watu wengine akiwemo kaka yake, bila ya kuwashtaki kwenye mahakama yoyote. Hata alipohukumiwa kunyongwa hadi kufa alisema kuwa alikuwa ameridhika, na anafurahi kwa kuwa amelipiza kisasi kwa Gadafi kwa mauaji aliyoyafanya kwa watu wengine.

Gadafi alionekana mtu mzuri kwa watu wa chini wasioweza kuhoji chochote. Lakini kwa wenye akili wote, alionekana ni dikteta mkubwa. Tena aliweka mfumo wa hovyo wa utawala usioeleza nani anashika madaraka ya nchi kama Rais hayupo, kama wanavyofanya madikteta wote Duniani.
Gaddafi na jamahiriya yake hakuwa na agenda za dini Bali kuikomboa nchi yake kiuchumi,hujapona udini,huwezi nidanganya, Gaddafi aliongoza kwa sheria za kiislam tangu alipopindua!?..waliomuaa Gaddafi ni majasusi wa ufaransa waliotumwa personally na rais wa ufaransa,uwe unafuatilia mambo
 
Biblia kwa nyuma Ina kurasa za tafsiri ya maneno magumu,imeandika sinagogi ni msikiti wa wayahudi,we unakuja mkosoa mazinge,siku hizi nasikia wamebadili tafsiri wameandika hekalu la wayahudi
Sinagogi na msikiti ni sawa?
 
Mtu mweusi wengi wao usiwapiganie, watakutia tu dosari.

Mtu mweusi amekaa kulalamika lalamika, kifitina fitina na kiunafiki nafiki.
 
Sasa huyo Gaddafi angemwi-islamise nani maana mimi ata uniahidi inanipa nusu ya utajiri wa dubai siwezi kuwa muislamu.
Mkuu hivi sasa pengine ungekuta unaitwa Nassoro.
 
Sinagogi na msikiti ni sawa?
Jamatini ni msikiti wa wahindi,huwa wanasujudu kule na kunawa maji,labda wayahudi nao husujudu na kunawa maji miguu Kama yesu alivyokua akifanya,Kama ndivyo basi kila panaposujudiwa ni msikiti kwa lugha ya kiarabu (masjid)..lakini pia nilizungumzia kurasa za nyuma za bible ile ya iliyotumika 1990s,kwamba kule kulieleza kuwa sinagogi ni msikiti wa wayahudi,siyo kosa la mazinge Bali waluotafsiri bible
 
Sasa huyo Gaddafi angemwi-islamise nani maana mimi ata uniahidi inanipa nusu ya utajiri wa dubai siwezi kuwa muislamu.
Wewe hakuna hata wa kukuahidi tende. Ukiwa muislam una impact gani kwenye huo uislam?
Labda Mwamposa anaweza kuahidiwa kitu siyo wewe hata mia huna eti nusu ya utajiri wa dubai, labda Dubai ya gamboshi kwenye matunguli.
 
Keeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.

But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.
Umekurupuka au....
Source ya habr yako plz
 
Back
Top Bottom