std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,293
- 3,928
Mudywize alikuwa mahamuma na bado watu wanamuaminiMshamba huyo darasa la saba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mudywize alikuwa mahamuma na bado watu wanamuaminiMshamba huyo darasa la saba.
Amin kampindua Obote 1971,Obote kakimbilia tz,na akina museven,wanaanza kushambulia Uganda na kurudi,Amin baada ya kupindua aliikosea nini tz!?Unawezaje kumsaidia mhalifu kama idd amini alafu ukaaminika,
Sina records za uhalifu wa mseven au obote
Muammar Gaddafi did express aspirations for Africa to embrace Islam to some extent. He promoted his vision of a united Africa under Islamic principles.
Also,
🤣🤣🤣😍🙌🏿Kukuchinja kote huko.
Wewe ukikapenda tu kakijana kaislamu wanakuislamaizi
Amini alikuwa shetani kama alivyokuwa magufuli aliwafanyia waganda uovu meingiAmin kampindua Obote 1971,Obote kakimbilia tz,na akina museven,wanaanza kushambulia Uganda na kurudi,Amin baada ya kupindua aliikosea nini tz!?
Sawa Munga wa kweli na haki hakufurahi ikabidi aruhusu afeSiyo alitaka Bali alifadhili African union
Una ushahidi,au umevimbiwa propaganda ulizolishwa!?Amini alikuwa shetani kama alivyokuwa magufuli aliwafanyia waganda uovu meingi
Dogo! 1971- 1979 nilikuwa mtu mzima tayariUna ushahidi,au umevimbiwa propaganda ulizolishwa!?
Alimsaidia idd amini mercenary kwa kuwa alikuwa mwislam mwenzie alafu eti alitaka kuwa mfadhiri wa African union, upuuzi mtupu. Wenye akili tulishamshtukia
Uislam wa Gaddafi haufikii wa hayati mzee ruksa, Gaddafi alikua bize na kujikwamua kwenye minyororo ya mabeberu wa WB na IMF,alikua na uchumi wake tofauti,alitaka kukata mirija ya mabeberu kuinyonya Africa ambapo Libya isingeathiriwa Tena na vikwazo vya mabeberu,Ila nyie waabudu maajabu huko kwenye visinagogi vyenu mnalishana chuki na unamtazama Gaddafi kwa jicho la dini na kufunga jicho la yakiniGadafi alikuwa na matatizo makubwa. Alikuwa na falsafa za ajabu, akiwahamasisha waislam kuwa wazaliane sana eti huko mbeleni kutakuwa na vita kati ya Wakristo na Waislam, na hivyo waislam wazaliane sana ili kushinda hiyo vita.
Nchini mwake, kila familia iliyozaa watoto zaidi ya wanne, kila mtoto baada ya hao wanne wa mwanzo, kulikuwa na zawadi toka Serikalini. Aliamini kuwa siku moja Ulaya nzima na America zitakaliwa na kutawaliwa na waislam.
Nyerere hakuwahi kusaidia wahalifuNa nyerere alikua alimsaidia Obote kama nani?
Nyerere hakuwahi kusaidia wahalifu
Hata bibi yangu alikua mtu mzima,haimfanyi kujua kila kitu kuhusu Amin,kwenye nchi ya kijamaa na habari zilizochujwa na propaganda tele,ungezijuaje habari za Amin hata redio hukuwa nayo!?Dogo! 1971- 1979 nilikuwa mtu mzima tayari
Nimeuliza alimsaidia Obote Kama nani!?..Obote ambaye hata kwenye msiba wa Nyerere hakujaNyerere hakuwahi kusaidia wahalifu
Ukiwa muislamu inawezekana ukasaidiwa hiyo ya uhalifu hawajali ndio tafsiri ya waislam wote ni ndugu.Unawezaje kumsaidia mhalifu kama idd amini alafu ukaaminika,
Sina records za uhalifu wa mseven au obote
Ushahid hana ni propaganda alizokaririshwaUna ushahidi,au umevimbiwa propaganda ulizolishwa!?