Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kupitia Redio Clouds Fm Gadna hivi karibuni anatarajiwa kusikika tena kupitia Redio zetu hapa Tanzania.
Inasemekana kuwa Gadna atarudi kivingine kupitia Times Redio na kurusha kipindi kitakacho fahamika kwa jina la MASKANI na kitarushwa kuanzia Jumatatu saa Kumi jioni hadi saa moja.
My Take: Je suala la kurudi redioni ni ugumu wa maisha mtaani au ni kusema kazi ya utangazaji ndo iko damuni, na vipi tena kuhusu ile kampuni ya maji ya kunywa ya Mamaa Samfudi?
Inasemekana kuwa Gadna atarudi kivingine kupitia Times Redio na kurusha kipindi kitakacho fahamika kwa jina la MASKANI na kitarushwa kuanzia Jumatatu saa Kumi jioni hadi saa moja.
My Take: Je suala la kurudi redioni ni ugumu wa maisha mtaani au ni kusema kazi ya utangazaji ndo iko damuni, na vipi tena kuhusu ile kampuni ya maji ya kunywa ya Mamaa Samfudi?