Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Aisee!
Kuna watu wanasikiliza redio mkuu huu utafiti umezifanya mwenyewe?
Kuna watu wanasikiliza redio mkuu huu utafiti umezifanya mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea ilikuumiza sana hii. Miaka yote hadi leo unakumbuka nukuu neno kwa neno !!!Jay D pia ni mtu anayejisikia... Unakumbuka shabiki zake walimpigia kura akaondoka na tuzo kadhaa za kilimanjaro music awards, ila akaishia post "Hivi tuzo zishafanyika eti.... ah mimi sikujua kama zimefanyika." Ikiwa ina maana alidharau hizo tuzo wakat mwaka mmoja uliopita alikuwa pia kachukua na akazunguka nao kupiga show.
Wanajiita wavunja sheria ktk vipindiFuatilia clouds.....vipindi vyote clouds vimebadilika kisa muda, wao wanasema unatimba pindi lolote na unaliamsha
Gardner, mchomnvu wako PB now...
Hee hee Bado Bado tulia. KwanzaYaani kusema ukweli ndiyo kulia? Hii mpya kwa kweli.
Si unajua ubongo ina ma zerabyte yani ukitrigger tu kitu una recallInaelekea ilikuumiza sana hii. Miaka yote hadi leo unakumbuka nukuu neno kwa neno !!!
mpenzi mtazamajiHayo ndiyo huitwa mapenzi. Wewe uwe mtazamaji tu na mchangiaji kujifanya baba ushauri au mama ushauri.
Wote walitukanana hadharani wacha kumshushia lawama Gardner,alivyozungumza Judith hukusikia au una mahaba Sana na yeye?Hii inatufundisha tusimalize maneno kwenye jambo lolote lile... kumbuka kuna kesho... baada ya kumtusi mkewe leo anatamani kurudi kwake? Gardna kipindi kile anagombana na JD alitamba mitandaoni na kwenye media kwamba kachoka kumkojoza mkewe
Hivi kama mume kazi yake ilikuwa nini kwa mkewe? kukojoza ndiyo lengo halisi la ndoa.. Matokeo yake akaja kumdhalilisha JD hadharani. Hivi alidhani akimwacha JD hatopata wa kumkojoza? Alisahau kama hapa mjini mwanaume hayuko peke yake
Tena kuna vidume vinatoa shughuli zaidi ya kukojoza sasa Gadna ameshagundua makosa yake....amegunduwa kuwa hakumkomoa JD amejikomoa mwenyewe na pengine ameshatoswa na yule aliyekuwa anamuona ni zaidi ya JD anakumbuka shuka kumekucha
Wacha mabaharia wachezee shanga za mkeo, Gadna wacha kulialia
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uthibitisho?lamu kusema hivyo mpaka uwe umewakuta kitandani wanafanya hivyo,Tena muwe watatu,Gadna si ana tembea na mwanawe karen sasa jide wa nini tena
Kitenge akiondoka hapo, utahama naye!?Clouds FM na mda mrefu sijawasikiliza, sioni kama kuna mpya nipo na Maulid Kitenge Wasafi FM
Off course..Kitenge akiondoka hapo, utahama naye!?
Fuatilia clouds.....vipindi vyote clouds vimebadilika kisa muda, wao wanasema unatimba pindi lolote na unaliamsha
Gardner, mchomnvu wako PB now...
Huu utaratibu wao mpya binafsi sijauelewa kabisa ile ladha za vipindi imepotea kabisa wamebaki kupayuka kwa mihemko tu, seriousness imepotea kabisa kama mwanzo.
Gadna alirusha kombora moja tu komando Jide chali. Ila sasa hivi wamerudiana.Mkuu Jide alimchafua sana jamaa,amenyamaza sana ,siku moja akatoa tusi moja wanawake wote wakaanza kulalamika wamedhalilishwa ,wakati Jide anatusi yeye katulia zake karibia miaka miwili hajibu,Jide got what she deserve!
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Huwa na shindwa kuelewa why anapenda kulelewa while kusaga alisema jamaa ni most paid presenter wa bongo