Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake

Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake

Jay D pia ni mtu anayejisikia... Unakumbuka shabiki zake walimpigia kura akaondoka na tuzo kadhaa za kilimanjaro music awards, ila akaishia post "Hivi tuzo zishafanyika eti.... ah mimi sikujua kama zimefanyika." Ikiwa ina maana alidharau hizo tuzo wakat mwaka mmoja uliopita alikuwa pia kachukua na akazunguka nao kupiga show.
Inaelekea ilikuumiza sana hii. Miaka yote hadi leo unakumbuka nukuu neno kwa neno !!!
 
Hii inatufundisha tusimalize maneno kwenye jambo lolote lile... kumbuka kuna kesho... baada ya kumtusi mkewe leo anatamani kurudi kwake? Gardna kipindi kile anagombana na JD alitamba mitandaoni na kwenye media kwamba kachoka kumkojoza mkewe

Hivi kama mume kazi yake ilikuwa nini kwa mkewe? kukojoza ndiyo lengo halisi la ndoa.. Matokeo yake akaja kumdhalilisha JD hadharani. Hivi alidhani akimwacha JD hatopata wa kumkojoza? Alisahau kama hapa mjini mwanaume hayuko peke yake

Tena kuna vidume vinatoa shughuli zaidi ya kukojoza sasa Gadna ameshagundua makosa yake....amegunduwa kuwa hakumkomoa JD amejikomoa mwenyewe na pengine ameshatoswa na yule aliyekuwa anamuona ni zaidi ya JD anakumbuka shuka kumekucha

Wacha mabaharia wachezee shanga za mkeo, Gadna wacha kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote walitukanana hadharani wacha kumshushia lawama Gardner,alivyozungumza Judith hukusikia au una mahaba Sana na yeye?
Simamia kwenye ukweli Kila wakati ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuatilia clouds.....vipindi vyote clouds vimebadilika kisa muda, wao wanasema unatimba pindi lolote na unaliamsha

Gardner, mchomnvu wako PB now...

Huu utaratibu wao mpya binafsi sijauelewa kabisa ile ladha za vipindi imepotea kabisa wamebaki kupayuka kwa mihemko tu, seriousness imepotea kabisa kama mwanzo.
 
Huu utaratibu wao mpya binafsi sijauelewa kabisa ile ladha za vipindi imepotea kabisa wamebaki kupayuka kwa mihemko tu, seriousness imepotea kabisa kama mwanzo.

Yes kuna effect pia

Nadhani ni corona imewafanya ku act hivyo
 
Mkuu Jide alimchafua sana jamaa,amenyamaza sana ,siku moja akatoa tusi moja wanawake wote wakaanza kulalamika wamedhalilishwa ,wakati Jide anatusi yeye katulia zake karibia miaka miwili hajibu,Jide got what she deserve!

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Gadna alirusha kombora moja tu komando Jide chali. Ila sasa hivi wamerudiana.
Kweli mapenzi sio mchezo
 
Back
Top Bottom