Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Unaweza ukatupa nyaraka zinazothibitisha hilo mkuu!!!??
Kakosea kusema diamond ana hisa chache sana, ingawa sio mwenye hisa nyingi pia!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukatupa nyaraka zinazothibitisha hilo mkuu!!!??
Siyo dharau mkuu. Ni stress,Ni nani ambaye ni mzuri? Wewe kwa nafasi yako ambayo hata hujulikani umeliza wangapi?
Jay D pia ni mtu anayejisikia... Unakumbuka shabiki zake walimpigia kura akaondoka na tuzo kadhaa za kilimanjaro music awards, ila akaishia post "Hivi tuzo zishafanyika eti.... ah mimi sikujua kama zimefanyika." Ikiwa ina maana alidharau hizo tuzo wakat mwaka mmoja uliopita alikuwa pia kachukua na akazunguka nao kupiga show.
Kwahiyo huyo mmiliki wa clouds hapo ndo yupi....!?View attachment 1425316
Kakosea kusema diamond ana hisa chache sana, ingawa sio mwenye hisa nyingi pia!..
Huyo mwenye hisa 53% hapo ni mke wa Joseph kusaga, kwahyo wanaamini kuwa hapo yupo kwa kivuli cha kusaga mwenyewe na ndiye anayeratibu kila kitu,hata hivyo inaaminika bifu ya diamond na clouds media imepangwa kibiashara zaidi kwani kama mmiliki wa media zote ni mmoja why kuwe na kutoelewana?Kwahiyo huyo mmiliki wa clouds hapo ndo yupi....!?
Na anamilikije wasafi media.!!?
Mwite huyo chizi atoe ufafanuzi.
mbona ngoma ambazo hazipigwi clouds zinapigwa wasafi.Hivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo ni wasafi tv kna wasafi radio na wasafi media kwa ujumlaView attachment 1425316
Kakosea kusema diamond ana hisa chache sana, ingawa sio mwenye hisa nyingi pia!..
Just a share owner... Sio mmiliki.Huyo mwenye hisa 53% hapo ni mke wa Joseph kusaga, kwahyo wanaamini kuwa hapo yupo kwa kivuli cha kusaga mwenyewe na ndiye anayeratibu kila kitu,hata hivyo inaaminika bifu ya diamond na clouds media imepangwa kibiashara zaidi kwani kama mmiliki wa media zote ni mmoja why kuwe na kutoelewana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zungumza kwa marefu mkuuMWEMBESI ONE,
Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Walisema kwenye kipindi hiki cha corona ndio wametafuta namna ya kuburudisha watuHuo mvurugo wa vipindi sijui ndio creativity au ni kutafuta tension tu baada ya kuona graph inashuka?
But wamefanya vema juu ya ngoma hio ya jide.
son of almighty God.
Sawa kabisa mkuu umeongea point nzuri sana
Swali zuri
Wewe nae ukiambiwa uthibitishe utasemaje?Gadna si ana tembea na mwanawe karen sasa jide wa nini tena
MWEMBESI ONE,
Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Kumbe uko hukuMbona wamerudiana zamani sema jide hataki vijulikane anaona aibuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Very much turuuMambo ya mapenzi usitie neno