INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,343
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtangazaji hafai kuitwa mwanamume. Unamtukana mwanamke. eeeeh unaanzaje kwanza! Ohh mwanamke ni kumbe dhaifu
Mbea namba moja inakuwaje unacomment wa tatu badala ya wa kwanza?Gardner ana yake. Ila raha kuchombezwa redion
Dah ni vema wakaendelea tu kupiga nyimbo zake maana bifu lao halina msaada wowote.Ila inaweaza ikawa leo tu.maana wamesema leo ni siku ya kuvunja sheria inamaana wanafanya watakavyo.
Pole sana mkuu kwa kulizwa na Ruge. R. I. PRuge HAKUWA mtu mzuri, kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri....ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Hebu funguka, Ruge amemfanya nini nani?Ruge HAKUWA mtu mzuri, kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Mademu bhana ndiyo waliokuwa wakimsifia kuwa anajua kukaza akiwa kitandani..Ruge HAKUWA mtu mzuri, kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri....ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Hayaaa malaikaa ukiwa duniani upoo kuproove kwamba wewee ni mwanadamu hivyo makosa na haki ni yako...hakuna malaikaa acha kumlaumuu marehemu na usikutee ulimfahamu baaada ya kifooo weweee ...........get sleep with covid19Ruge HAKUWA mtu mzuri, kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri....ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Sasa hacra za. Nn mkuuMWEMBESI ONE,
Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.