Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gardner ana yake. Ila raha kuchombezwa redion
Una kapicha ka graph kushuka? Au unabwabwaja tu.Huo mvurugo wa vipindi sijui ndio creativity au ni kutafuta tension tu baada ya kuona graph inashuka?
But wamefanya vema juu ya ngoma hio ya jide.
son of almighty God.
Umeshakuja mzee wa Spartacus Ze mnyama mkali?Una kapicha ka graph kushuka? Au unabwabwaja tu.
Lete kapicha mkuu kwa faida ya WengiUmeshakuja mzee wa Spartacus Ze mnyama mkali?
Acha uzembe tumia akili yako au search kwenye platform mbalimbali au TCRA.
Mimi sio mzazi wako nikutafunie kila kitu,so chukua hiyo hint muhimu.
son of almighty God.
Mbea namba moja inakuwaje unacomment wa tatu badala ya wa kwanza?
Funguka, kaka. Sisi wa Kolomije unatuacha njia panda.MWEMBESI ONE,
Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
wasafi media imeleta mapunduzi makubwa sana. inabidi wapige kwasabau hata wakiacha haina tijaBaada ya bifu la muda mrefu baina ya cloudsfm na msanii Lady Jaydee hatimaye Clouds FM waanza kucheza nyimbo za Lady Jaydee. Mambo yameanza katika kipindi maalum cha uvunjaji sheria cha PB ambacho tofauti na ilivyozoeleka leo kimeendeshwa na Mchomvu, Gadner G Habash na wengine.
Katika kipindi hicho cha asubuhi mambo yalianza kwa Gadner kupiga wimbo wa Yahaya ambapo ilifuatiwa na ombi la mtangazaji huyo nguli kumuomba msanii Lady Jaydee kurudi kwake awe anampikia chai (ikumbukwe kuwa wanandoa hao waliachana).
Basi mambo yakawa si mambo ikawa zamu ya wimbo wa Joto Hasira wa Jide. Na jioni ktk Jahazi B Dozen amecheza wimbo wa Harmonize ft Lady Jaydee uitwao Wife. Twaweza sema huu ndiyo mwisho wa bifu la miaka nenda rudi baina ya Clouds FM na Jide. Marafiki wakigombana shika jembe ukalime, wakipatana nenda kavune.
Aisee hii habari si njema kwa BillnasMademu bhana ndiyo waliokuwa wakimsifia kuwa anajua kukaza akiwa kitandani..
kuna demu mmoja humu JF alikuwa analilia lia mwamba alimsomesha na kumpa goodlife ila alimpa gwegwe
Hivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.wasafi media imeleta mapunduzi makubwa sana. inabidi wapige kwasabau hata wakiacha haina tija
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni she au me?Walisharudiana long Jide akiwa Mwanza walilala rum moja hotelini. Bahati ningejua ningepiga picha.
🙄🚶Hivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nani ambaye ni mzuri? Wewe kwa nafasi yako ambayo hata hujulikani umeliza wangapi?MWEMBESI ONE,
Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.
Kumbe kwa na hisa zaidi ya 40% ni ndogo aiseeeHivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukatupa nyaraka zinazothibitisha hilo mkuu!!!??Hivi hujui kuwa mmiliki wa Wasafi ndio mmiliki wa Cloids? Wasafi FM = Clouds FM, huyo Diamond ni bosheni, ana hisa chache sana.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app