Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake

Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake

Hii inatufundisha tusimalize maneno kwenye jambo lolote lile... kumbuka kuna kesho... baada ya kumtusi mkewe leo anatamani kurudi kwake? Gardna kipindi kile anagombana na JD alitamba mitandaoni na kwenye media kwamba kachoka kumkojoza mkewe

Hivi kama mume kazi yake ilikuwa nini kwa mkewe? kukojoza ndiyo lengo halisi la ndoa.. Matokeo yake akaja kumdhalilisha JD hadharani. Hivi alidhani akimwacha JD hatopata wa kumkojoza? Alisahau kama hapa mjini mwanaume hayuko peke yake

Tena kuna vidume vinatoa shughuli zaidi ya kukojoza sasa Gadna ameshagundua makosa yake....amegunduwa kuwa hakumkomoa JD amejikomoa mwenyewe na pengine ameshatoswa na yule aliyekuwa anamuona ni zaidi ya JD anakumbuka shuka kumekucha

Wacha mabaharia wachezee shanga za mkeo, Gadna wacha kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu usiwadhamini saana wanawake kwenye mapenzi, wana udhaifu fulani hivi.

Usishangae jide akarudi kuchezea miti ya huyo gadna.
 
Usiwe mwehu, unataka kuniambia kuwa hujuwii madhambi aliyotenda Ruge kwa mademu? Uliza mademu aliolala nao japo alijuwa anawaachia nini mwilini kuanzia Zamaradi Mketema na wengine.
nyoosha maelezo, Ruge amemfanya nini nani???
 
Ni nani ambaye ni mzuri? Wewe kwa nafasi yako ambayo hata hujulikani umeliza wangapi?
Jay D pia ni mtu anayejisikia... Unakumbuka shabiki zake walimpigia kura akaondoka na tuzo kadhaa za kilimanjaro music awards, ila akaishia post "Hivi tuzo zishafanyika eti.... ah mimi sikujua kama zimefanyika." Ikiwa ina maana alidharau hizo tuzo wakat mwaka mmoja uliopita alikuwa pia kachukua na akazunguka nao kupiga show.


Hivi jamani mnamjuwa Ruge au mnasikia tu redioni na mitandaoni?
 
MWEMBESI ONE,

Ruge HAKUWA mtu mzuri. Kaliza wasichana wengi sana na wengine wako majumbani mwao wanajiuguza kisirisiri. Ukweli lazima usemwe kwani kuficha maovu yake hayatomfanya aende mbinguni, he already commited enough sins. Watanzania acheni unafiki, lazima ukweli usemwe tu.

hakuwa mtu mzuri lakini wake zake mnachukua na kuwaoa.na kutoa mahali na majigambo mitandaoni kuwa mmenyakua na kumuumiza boss ruge.
 
Huo mvurugo wa vipindi sijui ndio creativity au ni kutafuta tension tu baada ya kuona graph inashuka?
But wamefanya vema juu ya ngoma hio ya jide.

son of almighty God.
Clouds ni radio ya watu. Kila siku inapanda chati/graph
 
hakuwa mtu mzuri lakini wake zake mnachukua na kuwaoa.na kutoa mahali na majigambo mitandaoni kuwa mmenyakua na kumuumiza boss ruge.


Waliochukua wake zake ni wale waliokuwa wanatambiana naye nao sasa wanalia huko waliko.
 
vipi huyu aliyekuja kumuoa zamaradi naye anambebesha nani mzigo?


Mkuu unajuwa kuna ufala wa kujitakia na wa kutojijuwa.....lile jamaa ni fala la kujitakia si unaona limejiingiza kwenye mapenzi mazima mazima huku likilea watoto si wake. Sasa mtu wa namna hii wewe unamchukuliaje?
 
Back
Top Bottom