Gadner Habash anapokula pesa za watu wa Jide

Hapa mjini kafungueni kesi ya madai muone kama mdaiwa huwa anafungwa.
 
amekula pesa zetu unadhani iyo j3 ni kweli labda alitaka kutangazwa bure kama hivi mana mtu mwenye busara hata siku moja huwezi dhurumu wanyonge!mana watalalamika tu,,ni tofauti na mwenye nazo anaweza kupotezea
Ukitaka kutimba kitaa kivingine basi unatakiwa hata staili ya kunyuka pamba nayo iwe kivingine; staili ya kuongea nayo kivingine! Ni hayo tu kwa sasa.
 

Wanadai haki zao cha muhimuwalipwe haraka. Umbea hapo uko wapi? Kwa nini haraka unawaambia waende polisi? kuna njia nyingiza kudai haki hata kuandika humu ni sehemu mojawapo ya kudai haki! Ni kawaida wasanii kutumia watu bure wakati wenyewe wakipta a lot of money hii haikubaliki hata kidogo.
Unamwambia aende polisi wakatiu wa process za pilisai na mahaka zitakavytochulua muda itakuwa sawa na hela wanazodai/ JD jinsi ulivyomstaarabu walipe haki yao pindi utakapopata habari hiii.
 
Duh! masikio yako yanachuja, yana inbuilt FM Stereo nini!!!?? Umemsikiliza Heloo, ukaja kumsikiliza Faga, ukaona; hata!

Mhh akili haijanipa hata naona tu mtu mmoja ila kaamua kuja kivingine
 
toa upumbafu hapa..kubwa zima unashindwa kufanya kazi ya maana unakazi ya kukata kata viuno kwenye video

Hata hiyo ni kazi kama JD aliona Video yake itauzika bila kukata viuno kwa nini awasumbue watotoi wa watu? Nadhani wkati umefika wa kuvalue 'time' na vipaji vya watu. Tena wewe huenda ndio mkodoleaji mkubwa wa hivyo viuno.
Msipende tetea hata mahalimtu anadai haki yake kama Tshs elfu 2 ni ndogo kwa nini asiwalipe fasta?????>>
 
umeulizwa unadai kiasi gani? badala ya kutaja amount wewe unajambajamba tu jinga kabisa.

mwanaume yoyote anayekwenda kukata mauno kwenye video hana akili na ni mzigo kwa Taifa
Jumlisha kukodi vazi la suti,tax,na kuzungushwa kwa siku mbili tena usiku,na ni kwa masaa 8.uliza kama unamkodi mtu hata ulaya ipo ila hutegemea na nchi na mapatano....
 
Jaman jide unaitwaa hata hauji huku unadaiwaa hebu lipa watu
 
ukweli gani?kusimamia haki....umeambiwa hapa mahakama? ......yeye si anao mkataba wa kazi walizofanya na Komando, Aende pale sarenda darajan.....hapa anajichelewesha kupata haki yk tu!
We binadamu we ! kwani jamii forums inashughulika na nini?watu wanapoleta taarifa hapa na watu kuzijadlil huwa tunachagua nani ajdiliwe na nani asijadiliwe?hii untouchable mnayotaka kumvika JIDE inatokana na nini? tuache upofu hapa, kweli Jide kipenzi chetu lakini akichefua aambiwe tu!
 
Kama kweli hili limetokea bhasi jide na gadner wamekosea na wana paswa kujirekebisha na kuwapa haki yenu mapema.

Lakini ni wazi katika hili uwezi kwenda popote maana unaonekana hauna mkataba wa hii shughuli na wala hamku andikishana bali yalikuwa makubaliano ya mdomo tuu.

Ni vyema Wasanii na Mameneja wao ifike wakati wawe wana wathamini watu wanao fanikisha kazi zao hasa Maproducer,Mamodo wanao tokea kwenye video zao.Si mara ya kwanza kusikia malalamiko ya namna hii.

Ni vyema watu wakathaminiana na kupeana haki kwa wakati.

Sitaki kuamini wewe Heloo una wasingizia kabisa maana sioni sababu hiyo lakini hebu tueleze
:mlikubalia kiasi gani kama :::malipo?
:mlipewa huduma ya chakula?
:gharama za.kurudi kwenye makazi yenu nani aliingia?

Lakini katika maelezo yako hakuna sehemu ambapo umeonesha kudhurumiwa bali kucheleweshewa haki yako.

Nakushauri ufatilie haki yako japo umefanya haraka sana kulileta jambo hili humu.

Pole.
 
Last edited by a moderator:
inaonekana huyu mleta mada ni mmoja wa wathirika wa hii kitu.
 
ukitaka kutimba kitaa kivingine basi unatakiwa hata staili ya kunyuka pamba nayo iwe kivingine; staili ya kuongea nayo kivingine! Ni hayo tu kwa sasa.

aisee! Ina maana hii habari ilishaletwa humu? Duu pengine ana uchungu sana.

NasDaz lakini naona ana haki ya kupata haki yake japo kafanya haraka kuleta hili swala humu.
 
Last edited by a moderator:
Sielewi kwanini wadau wanakushambulia wakati ki haki ilitakiwa aandamwe JIDE ili ijulikane kama ni kweli au la ,wapi ule uthubutu wa JF kusimamia ukweli?

Kweli kabisa Mkuu nashangaa sana wenye haki ndio kushambuliwa. Ushabiki huu wa JF unanishangaza sana. Wakimpenda mtu/CHama/ Kitu basi hata akifanya ndivyosivyo wanakuwa upande wake tu! Let us be neutral , kama mtu kakosea alelezwe!
 
kweli kabisa mkuu nashangaa sana wenye haki ndio kushambuliwa. Ushabiki huu wa jf unanishangaza sana. Wakimpenda mtu/chama/ kitu basi hata akifanya ndivyosivyo wanakuwa upande wake tu! Let us be neutral , kama mtu kakosea alelezwe!

hakika! Ni kweli inabidi sote tusimamie haki bila kujali ni nani lakini me naona bado mtoa mada hajadhulumiwa kabisa na inabidi afatilie mpaka atakapo ambiwa apewi japo hali ina onesha amezungushwa sana.

Na katika hili kama ni kweli basi ni dosari kwa jide na gadner kufanya mambo kama haya na ni aibu kwa status zao.

Lakini mkuu Heloo haja weka wazi walikubaliana kiasi gani kwenye hii shughuli?

Mkuu Mwana katika hili lets wait ukweli utajulikana na siamini mtoa mada ni kichaa au ana wasingizia.

Watu ni vyema waka jifunza kuwapa haki wenzao kwa wakati maana pesa huwa ina poteza thamani kama hita chelewa.

Naamini jide na gadner hawajapanga kuwanyima haki yao kama kulikuwa na makubaliano lakini katika hili inabidi wajirekebishe.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa Mkuu nashangaa sana wenye haki ndio kushambuliwa. Ushabiki huu wa JF unanishangaza sana. Wakimpenda mtu/CHama/ Kitu basi hata akifanya ndivyosivyo wanakuwa upande wake tu! Let us be neutral , kama mtu kakosea alelezwe!

kweli kabisa mkuu, jf watu wakimpenda mtu/chama uwa wanafumbia macho mabaya yake na kujifanya hawayaoni.. kama kweli gadner kafanya hivi, atakuwa anamwangusha mkewe :....
 

Mna risiti za kukodisha hizo nguo au mnaropoka tu bila kujua nini mnataka ww mtu awaambie kama kuna gharama atalipa halafu unakuja na maneno bila stakabadhi ni wizi ru
 
Kutoka kuwa mkata majani/mlinzi TBL Mwanza,,muuza kanda FM pale Mwanza hadi alipo lazima asahau alikotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…