Gadner Habash anapokula pesa za watu wa Jide


siwezi kukulaumu sana pengine hujasoma toka mwanzo kifupi umedandika ndege kwa nyuma.
 
Video ya historia ilifanyika November mwaka Jana, hao waliovaa white tupu walialikwa kwa ajili ya kuicheki upya(preview) video ya historia kabla haijatoka, na walioalikwa walikuwa ni fans wake toka facebook ambao aliwauliza maswali kadhaa washindi kadhaa walialikwa kushiriki hiyo party, na wala sio video kama wanavyodai, kuhusu malipo nitarudi
 

Attachments

  • 1392139625298.jpg
    50.9 KB · Views: 157
  • 1392139640955.jpg
    25.2 KB · Views: 148
Warumi mbona nasikia kama ni kinyago usinitishe sijui kumbe ni historia tena
 
Warumi mbona nasikia kama ni kinyago usinitishe sijui kumbe ni historia tena

Hamna lolote binamu, hao walialikwa kwenye party ya historia video music preview ndo wakavaa nguo nyeupe, kwenye video ya historia hakuna mtu aliyevaa nguo nyeupe
 

Jibu hoja ushabiki maana yake nini
 
Warumi mbona nasikia kama ni kinyago usinitishe sijui kumbe ni historia tena

kifupi best yangu achana na Warumi atakupotezea mudi na hajui anachokifanya...kumbe anawajua mpaka akina wancy wale wanaohusika na malipo kwa jide..akaahidi eti aarudi na majibu kimyaaaaaaaaaaaa!mpaka mambo yamekuwa mengine (nimejua ivyo baada ya yeye kunisahisha eti sio hancy ni wancy na ni kweli......anakuja tena na mengine iyo historia anayosemasio huo wimbo bado jina na angalia jpili hii kwenye DIARY YA JIDE...huwa nachukia sana watu waongo tena wanaojiamiisha kama walikuwepo...ivi huo wimbo wa historia una maneno kama kinyago usitishe.?nyamaza subiri utaiona.
 

sio huo wewe,mbona unataka kuchanganya mambo?subilia jpili kwenye diary ya jide na utaona maana ya wk hii alianza na iliporekodiwa na bado kuipa jina!kweli wapambe wana nguvu!
 
aisee! Ina maana hii habari ilishaletwa humu? Duu pengine ana uchungu sana.

NasDaz lakini naona ana haki ya kupata haki yake japo kafanya haraka kuleta hili swala humu.
Ni kweli, ana haki...hata ukimsoma vizuri, wala hupati taabu kugundua kwamba anacholalamikia ni cha ukweli.
 
Heloo, maneno mengi ya nini...si ungesema tu kwamba nyie ni pacha ama ndugu ndo maana hata sauti zinafanana?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…